msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miuu hii ni JF. Unaweza kukuta mleta mada ndo kwanza kamaliza form four na housegirl anayemzungumzia hapa ni sabuni.mkuu jamaa anamdharau sn mkewe.......
kwa beki 3? kwaio beki 3 anajua udhaifu wa maza house bila shaka!!!..... mbaya sn hii
Una laana mpaka shetani anajuaTulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.
Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Naam, ndiyo inathibitisha muujiza wa Qur'an aliyoshushiwa.Mohammed hajui kusoma wala kuandika
Mohammed hajui kusoma wala kuandika
Naam, huo ndiyo muujiza, masayantisti na wasomi wa hali ya juu wanafata Sunna zake. Ma shaa Allah, unazidi kuyakinisha muujiza.Naam,pia inathibitisha uwezo wa kiakili walionao waislamu
Mohammed hajui kusoma wala kuandika
Acha ufala wewe jamaa, yaani unaomba mkeo atangulie mbele za haki uoe mchepuko yaani msichana wa kazi. Umeona haitoshi kuzini sio. Sasa subiri utangulie mbele wewe uwaachie wakwale waoe huyo mwanamke wa kazi na mkeo.Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.
Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
HahhhaKuna mwenzako pia naye leo anafurahia kutimiza miaka 10 na mkeo
Mambo ya "super sub" hayo.Jamaa anaweza kuwa ameshatunga sala maalum ya kumuombea mkewe akwende kwa amani!Hahahahaaa
Umeonaeee halafu anajiita kidume ngoja siku mambo yabumburuke atatamani dunia igeuke atumbukie,Miaka mi5 na hajashika mimba tena ni house girl bro kama unawatoto kwa bi mkubwa jitafakar huenda sio wako kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo yeye hataki kuolewa anabaki kuwa beki 3 wa mapenzi tuu usiku zote auDa mi nlishtukiwa 3yrs akatimuliwa ila bado namla hadi kesho, ni mta balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa haaaa hilo nalo neno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miuu hii ni JF. Unaweza kukuta mleta mada ndo kwanza kamaliza form four na housegirl anayemzungumzia hapa ni sabuni.
Sasa kama huyo anavyo omba mke atangulie unazani mke ajue atamfanya nini mmewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa kupata sehemu ya kujipa rahaa sababu tunaishi ili kufurahisha nafsi zetu ulipokosea ni hapo pa kumuwazia afe usikute na yy kashaanza mipango utangulie ww wanaume wengi tunawaza wenzi wetu wakitangulia ila tunataka iwe mipango ya Mungu ila wanawake wanatutanguliza kwa stress kutuloga kwa sumu so maisha ya ndoa nyingi ni kuviziana
Unanifurahishaga sana we jamaa. [emoji16]Punguza mapovu
Mohammed hajui kusoma wala kuandika