Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hapana sio galasa kuna watu wanajua kula na vipofu acha kabisaShunie! [emoji23] [emoji23] [emoji23] miaka 5 mke usigundue kitu huyo mke galasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio galasa kuna watu wanajua kula na vipofu acha kabisaShunie! [emoji23] [emoji23] [emoji23] miaka 5 mke usigundue kitu huyo mke galasa
Una wanaume wangapi?
Poa maana kuanzia aanze kuniulizia ni muda.namkwepa Sana. Familia ni Kila kitu
Mungu uwe nasi.Najipongeza huu mwaka wa 6 niko na mke wa mchungaji nakula mema ya nchi[emoji16][emoji16][emoji16]
Mke wa mtu mtamu cha wizi kitamu ndie ananifanya nisifikirie kuoa
Mkuu umesema kwel. Hii mioyo ingekuwa inaonesha mawazo ya kila mmoja wetu, tusingekuwepo duniani. Jamaa anawaza anawaza mkewe afe na mke anawaza mme afe. Ila siri zao.Atakufa yeye atamuacha mkewe na house girl then mkewe nae anaona jamaa anachelewa kufa ili ammelete kiben 10 wake ale mema ya nchi
Mambo ya "super sub" hayo.Jamaa anaweza kuwa ameshatunga sala maalum ya kumuombea mkewe akwende kwa amani!HahahahaaaYaani ushaweka na malengo, endapo mkeo akifa tu baasi beki 3 anaziba pengo!
Umeongea vizuri lakini uliposema big mkubwa akitangulia ndo umeharibu maana imeonekana unamuombea mabayaTulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.
Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
AiseeeAsante Da. Tedi kwa kunitunzia siri hii