Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Ndoa ya maigizo hii.umemdharau mkeo vibaya sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ya maigizo hii.umemdharau mkeo vibaya sn
Hajui chochote maana tunafanya kwa siri sanaSi uliapa utakuwa mwaminifu kwa mwenzio mpk kifo, huyo binti amekuwa kifo?! Ni tatzo gani hiloi ambalo hamuwez kukaa na kuzungumza, mpk umuumize mwenzio hvyo cku akijua!!!. Loh! wanaume nyie
Una mindset mbovu mkuu tena sanaHivi unahitaji kua low class kiasi gani hadi kulala na house girl?
Dah.... Merry Christmas [emoji2960]Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili.
Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
masayantisti hawa wazungu mashoga wala riba wala nguruwe au masayantisti gani?? hakuna mwarabu sayantisti hata mmoja
Nafahamu kuwa jibu langu ni zaidi ya uelewa wako. Sikushangai.mbona unajibu usichoulizwa?? unajua ulichoelezwa??Unanichekesha!!
Lugha unayoitumia inaonesha wazi kuwa kinachokusumbua ni "ignorance" aka ujinga.
Hivyo vyuo vikuu vinavyotoa wanasayansi usingevielewa leo hii isingekuwa Mwarabu. Jisomee kijana.
Fatima bint Muhammad Al-Fihriya Al-Qurashiya was an Arab Muslim woman who is credited with founding the oldest existing, continually operating and first degree-awarding educational institution in the world, the University of al-Qarawiyyin in Fez, Morocco in 859 CE. She is also known as "Umm al-Banayn". Wikipedia
Born: 800 AD, Kairouan, Tunisia
Died: 880 AD, Fes, Morocco
Parents: Muhammad al-Fihri
Known for: Founding first and oldest-surviving madrasa and university, Al-Qarawiyyin
Organization founded: University of al-Qarawiyyin