Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Sasa unataka niseme uongo mkuu. Nyie si ndo huwa mnaficha siri Kuwa hamujaoa. Hafu msikremishe dhambi mkuu. Punyeto yenyewe hairuhusiwi ingawa watu wafanya sirini
kama ulidate kwa kutojua kama mme wa mtu sitakulaumu ila kama ulijua kwamba mme wa mtu then ukadate nae mbaya sana hii...........
 
kuna dada namfahamu alikua anadate na mme wa mtu, then akawa anajifanya rafiki wa huyo dada mwenye mme..........


nasubiri nikisikia ameolewa ndoa yake aijui itakuaje..... but i know, karma is bitch!
 
Ndio ale tu vzuri mkuu, lakini sio kumlaumu mkewe. Nyie wanaume huwa hamutujuagi vzuri wanawake ukiona kitu tumekigomea ujue tumeshakitoa moyoni siku mingi na tumeshachagua option. Nyie sasa ndo mwaumiza kichwa hapo inabaki ulezi tu wa watoto.

Sasa hyo ya matumizi hatujali mana Kuna wanawake wanajiwekeza kivyao
Ila michepuko ndio inafanya ndoa iwe imara zaidi maana hata km siku mkeo amechoka au ajisiki unakuwa huna presha Jana au leo ushapiga au kesho unaenda kupiga yani dahh ndoa ndio inazidi kunawili
Siku mkeo akijisikia anasha tu mwenyewe Massa kibao wazungu hawajakuja yani dahh huyu jamaa sijui wa wapi
 
Dahh hapo sister umeongea point siku zote mchepuko huwa anangalia hisia zako kwa mkeo ukimzarau na yeye anamdharau
Sasa unaomba atangulie akijua hilo atamuwekea sumu ili atangulie kweli
Hapo umechemka bro jirekebishe
Hapo anawasiliana na wakwao asubilie tu, mara mke kawa kichaa mara kaondoka nyumbani majibu atayapata , akiolewa tu beki 3 naye anaweka beki 3
 
Si bora hata mchepuko kuliko dada wa kazi maana nyumba nyingine kuanzia Baba wanawe ka si mzima inakuwaje hafu kuvuliana chupi na beki Tatu ni kupunguziana heshima imagine ashike mimba kah. Hafu michepuko mingine iko vzuri tu.
Ila michepuko ndio inafanya ndoa iwe imara zaidi maana hata km siku mkeo amechoka au ajisiki unakuwa huna presha Jana au leo ushapiga au kesho unaenda kupiga yani dahh ndoa ndio inazidi kunawili
Siku mkeo akijisikia anasha tu mwenyewe Massa kibao wazungu hawajakuja yani dahh huyu jamaa sijui wa wapi
 
Hapo kuna point, lakini wanawake waliyo buys na kazi na wanapokuwa kitandani wanajidai wamechoka au anafanya mapenzi kama vile hana hisia, ndiyo hupelekea mume kutembea na beki tatu, na Mara nyingi anayefanya hivyo hufanya kumkomoa mke wake,
Na kumbuka uzuri wa hawa beki tatu unashika muda wowote hata awe jikon au anafua anakuja tu, huwa hawakatai! Ila kwa hawa wake visirani acha wakome tu!
Sasa mnawatoto na wapo nyuma nyuma unafanyaje muda wowote na sehemu yeyote? Kadri unavyokuwa na majukumu yanaongezeka na lazima kichwa kifanye kazi.
 
Wengi hudaganya mkuu sasa wafanzaje unafikiri unakuja Kujua baadae
kama ulidate kwa kutojua kama mme wa mtu sitakulaumu ila kama ulijua kwamba mme wa mtu then ukadate nae mbaya sana hii...........
 
Hafu ukiwa busy huo mda mchafu huwazi aisee
Sasa mnawatoto na wapo nyuma nyuma unafanyaje muda wowote na sehemu yeyote? Kadri unavyokuwa na majukumu yanaongezeka na lazima kichwa kifanye kazi.
 
Sasa unataka niseme uongo mkuu. Nyie si ndo huwa mnaficha siri Kuwa hamujaoa. Hafu msikremishe dhambi mkuu. Punyeto yenyewe hairuhusiwi ingawa watu wafanya sirini
Achana nao hao sisi tunawatafuta ili ndoa zetu zizidi kuwa imara wengine wanawaraumu usijali
Kesho nitakutafuta
 
Na mimi kama mke nakuachia kabisa huyo beki Tatu wako nyumba Ili mu enjoy vzuri bora nijali kazi yangu na wanangu kuliko mwanaume asiye jiheshimu unalaje na msaidizi woi. Mbona nyie unakuta hamuturizishi tunawavumilia tu huku hamjui kutukojoza kabisa.
Sema hata wewe magoli ya kuku lakini wake wapo tu, ila wao kuona wanaonewa ndiyo maana wengi wanaishia kwa bodaboda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Achana nao hao sisi tunawatafuta ili ndoa zetu zizidi kuwa imara wengine wanawaraumu usijali
Kesho nitakutafuta
Hahaaaaa kweli mkuu kusaidiana majukumu ya hapa na pale sio mbaya kizuri kula na nduguyo eti
 
Dive kwenye ule uzi nilisema kuoa ni upumbavu ona uyu sasa miaka mitano anachepuka tu na house girl
 
Sema hata wewe magoli ya kuku lakini wake wapo tu, ila wao kuona wanaonewa ndiyo maana wengi wanaishia kwa bodaboda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaume kwa kusema madhaifu ya wake zao hawajambo kabisa loh
 
kuna dada namfahamu alikua anadate na mme wa mtu, then akawa anajifanya rafiki wa huyo dada mwenye mme..........


nasubiri nikisikia ameolewa ndoa yake aijui itakuaje..... but i know, karma is bitch!
Naye watakuja tu wakudate na mmewe kwani malipo ni hapa hapa wapo wanao danganywa pia wapo wanajua kama ana mke
 
Utakuwa unatania.....umeamua tu usogeze wakati
 
Naye watakuja tu wakudate na mmewe kwani malipo ni hapa hapa wapo wanao danganywa pia wapo wanajua kama ana mke
yeye hakudanganywa, ........


yan alikua anadate na jamaa, baadae jamaa akaoa mtu mwingine lkn yeye akaendeleza game na jamaa........


akawa anajidai wifi wifi wkt analiwa na mme wa huyo wifi........


mkimsema anakua na wivu na jamaa utadhan mmewe!.....

yule dada Mungu anamwona!
 
Wanaume kwa kusema madhaifu ya wake zao hawajambo kabisa loh
Sasa waambiwe wao hawezi kukojoza wanavyolalamika mke hana siri, wanakimbilia kwa mabeki watatu maana ni sekunde tu kamaliza mambo ya kuandaana hakuna ni kama jogoo halafu anajisifia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom