Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Hata kama ni kweli unawaza hivyo, ila Sio vema kusema hadharan... unamkosea heshima Mke wako na wanawake wote waliiolewa, wakiona huu Uzi wataanza kuwachunguza tena na tena mabeki 3 walionao, Maana huyo wife hajawakamata miaka 5 na Beki 3 hajabeba mimba miaka yote hiyo.. Mko smart
 
Najipongeza huu mwaka wa 6 niko na mke wa mchungaji nakula mema ya nchi[emoji16][emoji16][emoji16]
Mke wa mtu mtamu cha wizi kitamu ndie ananifanya nisifikirie kuoa
Una roho ngumu, Huend Mbinguni aiseee
 
Huyu sio kumkosea tu mkewe hununua na malaya wa ambiance, hataki ku solve matatizo yake yeye ni uhuni tu. Mi kati ya kosa linaloweza vunja ndoa ni mume kutoka na housegirl what if akinogewa na mapenzi ategeshe sumu kwa familia Ili abaki na mume. Kukiri baadhi ya vtu hadharani ni udhaifu mkubwa
Hata kama ni kweli unawaza hivyo, ila Sio vema kusema hadharan... unamkosea heshima Mke wako na wanawake wote waliiolewa, wakiona huu Uzi wataanza kuwachunguza tena na tena mabeki 3 walionao, Maana huyo wife hajawakamata miaka 5 na Beki 3 hajabeba mimba miaka yote hiyo.. Mko smart
 
Utakuta mkewe kutwa kujitambulisha, "mimi mke wa Joshua" kumbe anaombewa kufa kwa sababu ya house girl!
Acha kabisa mkuu najaribu kuvaa viatu vya huyu mke havinitoshi haya mambo uyasikie tu
 
Hawa mabinti ukikutana nae mwelewa anayejua kutunza siri, mnaweza mkaishi nae na bosi wake vizuri sana. Yaani anakula nyama ya bosi wake bila bosi kujua. Bosi ni mama mwenye nyumba.
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Yaani hadi unaanza kumwombea your innocent wife kifo ili uendelee kumtanua house girl? So sad kwa kweli. Muachane tu kuliko kumwombea kifo. Umefikia hatua mbaya sana.
 
Mh! Ila hawa wake zetu wana visirani balaa yaani ni kuwavumilia kwakweli pamoja na hayo hatutakiwi kuwadharau mkuu.
Hata huyo house girl akishakuwa Mke atakuwa kisirani na dharau
Kwa sasa huezi jua kwa kuwa unakula kwa Siri na kujificha
 
Huyu sio kumkosea tu mkewe hununua na malaya wa ambiance, hataki ku solve matatizo yake yeye ni uhuni tu. Mi kati ya kosa linaloweza vunja ndoa ni mume kutoka na housegirl what if akinogewa na mapenzi ategeshe sumu kwa familia Ili abaki na mume. Kukiri baadhi ya vtu hadharani ni udhaifu mkubwa
Dahh hapo sister umeongea point siku zote mchepuko huwa anangalia hisia zako kwa mkeo ukimzarau na yeye anamdharau
Sasa unaomba atangulie akijua hilo atamuwekea sumu ili atangulie kweli
Hapo umechemka bro jirekebishe
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Kwa full visirani hapo ndio umesema point.
 
Hawa walaji wa house girl huwa wakati mwingine anampeleka Mke kwao Hata Kama kuna birthday ya Mtoto wa shangazi
Utasikia baby nauli na hela ya matumizi si kuna birthday ya Mtoto Wa shangazi
Mke aondolewa ili afaidi beki 3
Chezea beki 3 wewe
Chamnatooo
 
Back
Top Bottom