Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

mkuu jamaa anamdharau sn mkewe.......

kwa beki 3? kwaio beki 3 anajua udhaifu wa maza house bila shaka!!!..... mbaya sn hii
Wake zetu wengine wana mambo ya ajabu, mengine wanayaonyesha mbele ya mabeki3, mabeki wanaona ni fursa hiyo, maana saa ingine anamuona mama anachezea almasi anaamua kuichukua na kuihifadhi sehemu salama.
 
Huyu sio kumkosea tu mkewe hununua na malaya wa ambiance, hataki ku solve matatizo yake yeye ni uhuni tu. Mi kati ya kosa linaloweza vunja ndoa ni mume kutoka na housegirl what if akinogewa na mapenzi ategeshe sumu kwa familia Ili abaki na mume. Kukiri baadhi ya vtu hadharani ni udhaifu mkubwa
Hapo kuna point, lakini wanawake waliyo buys na kazi na wanapokuwa kitandani wanajidai wamechoka au anafanya mapenzi kama vile hana hisia, ndiyo hupelekea mume kutembea na beki tatu, na Mara nyingi anayefanya hivyo hufanya kumkomoa mke wake,
Na kumbuka uzuri wa hawa beki tatu unashika muda wowote hata awe jikon au anafua anakuja tu, huwa hawakatai! Ila kwa hawa wake visirani acha wakome tu!
 
Na mimi kama mke nakuachia kabisa huyo beki Tatu wako nyumba Ili mu enjoy vzuri bora nijali kazi yangu na wanangu kuliko mwanaume asiye jiheshimu unalaje na msaidizi woi. Mbona nyie unakuta hamuturizishi tunawavumilia tu huku hamjui kutukojoza kabisa.
Hapo kuna point, lakini wanawake waliyo buys na kazi na wanapokuwa kitandani wanajidai wamechoka au anafanya mapenzi kama vile hana hisia, ndiyo hupelekea mume kutembea na beki tatu, na Mara nyingi anayefanya hivyo hufanya kumkomoa mke wake,
Na kumbuka uzuri wa hawa beki tatu unashika muda wowote hata awe jikon au anafua anakuja tu, huwa hawakatai! Ila kwa hawa wake visirani acha wakome tu!
 
Dahh hapo sister umeongea point siku zote mchepuko huwa anangalia hisia zako kwa mkeo ukimzarau na yeye anamdharau
Sasa unaomba atangulie akijua hilo atamuwekea sumu ili atangulie kweli
Hapo umechemka bro jirekebishe
Ni kweli no one is perfect huwezi linganisha beki Tatu na mkeo au malaya huo ni utahira mie nime date na waume za watu walikuwa matured nikiona anaanza kumdharau mkewe namshushia na mahusiano yanakufa. Tamaa za kimwili zisitufanye kuzalilisha wenza wetu tena waliotupa heshima za watoto. Mie sipendi kabisa wajinga wa hivo wallah. Na huyo beki Tatu mke akifa naye anaanza ujeuri, wa hatari na hana uchungu na wewe kabisa mana kumtumia kingono huwa hawapendi.
 
Ni kweli no one is perfect huwezi linganisha beki Tatu na mkeo au malaya huo ni utahira mie nime date na waume za watu walikuwa matured nikiona anaanza kumdharau mkewe namshushia na mahusiano yanakufa. Tamaa za kimwili zisitufanye kuzalilisha wenza wetu tena waliotupa heshima za watoto. Mie sipendi kabisa wajinga wa hivo wallah. Na huyo beki Tatu mke akifa naye anaanza ujeuri, wa hatari na hana uchungu na wewe kabisa mana kumtumia kingono huwa hawapendi.
Kumbe umekuja kuanika siri zetu huku hadharani, ngoja nikuandalie talaka ili usidate nami tena maana sikukutuma uje ujisifie huku kuwa ushadate na mimi Mume wa Mtu.
 
Na mimi kama mke nakuachia kabisa huyo beki Tatu wako nyumba Ili mu enjoy vzuri bora nijali kazi yangu na wanangu kuliko mwanaume asiye jiheshimu unalaje na msaidizi woi. Mbona nyie unakuta hamuturizishi tunawavumilia tu huku hamjui kutukojoza kabisa.
Huwa siamini kama mwanaume rijali akashindwa kumkojoza mkewe makae muongee, unajua kinachowaponza wanawake ni kujifanya mnafanana wakati huwa mpo tofauti sana!
 
Wengi wa wanaume wahuni hawajuagi mapenzi wala kujali familia. Sasa utembee na beki Tatu eeeh k yangu huoni milele. Mwanaume mjua mapenzi hata aombi unamtega tu daily upate kitu hamna haja ya kutumia nguvu.

Sasa mimi nihangaike nini na asiye jielewa jamani nakuacha hata ukibaka kuku. Na ukiona hivo mkeo kapata anaye mjali huko nje ndo mana hakupi wala hakujali sasa wewe wa fikiria wa mkomoa kumbe hisia zilishahama siku nyingi hata hajali
Huwa siamini kama mwanaume rijali akashindwa kumkojoza mkewe make muongee, unajua kinachowaponza wanawake ni kujifanya mnafanana wakati huwa mpo tofauti sana!
 
Wengi wa wanaume wahuni hawajuagi mapenzi wala kujali familia. Sasa utembee na beki Tatu eeeh k yangu huoni milele. Mwanaume mjua mapenzi hata aombi unamtega tu daily upate kitu hamna haja ya kutumia nguvu.

Sasa mimi nihangaike nini na asiye jielewa jamani nakuacha hata ukibaka kuku. Na ukiona hivo mkeo kapata anaye mjali huko nje ndo mana hakupi wala hakujali sasa wewe wa fikiria wa mkomoa kumbe hisia zilishahama siku nyingi hata hajali
Sasa kama yeye hisia zimehama kwanini asijilie beki tatu, si mnasema nyama moja bucha tofauti,
kwanza akila beki tatu anabana matumizi ya kuendelea kuwajengea watoto wake.
 
Hahaaaaa ndio nipe tu hyo talaka mzee Baba hamna shida
Kumbe umekuja kuanika siri zetu huku hadharani, ngoja nikuandalie talaka ili usidate nami tena maana sikukutuma uje ujisifie huku kuwa ushadate na mimi Mume wa Mtu.
 
Ndio ale tu vzuri mkuu, lakini sio kumlaumu mkewe. Nyie wanaume huwa hamutujuagi vzuri wanawake ukiona kitu tumekigomea ujue tumeshakitoa moyoni siku mingi na tumeshachagua option. Nyie sasa ndo mwaumiza kichwa hapo inabaki ulezi tu wa watoto.

Sasa hyo ya matumizi hatujali mana Kuna wanawake wanajiwekeza kivyao
Sasa kama yeye hisia zimehama kwanini asijilie beki tatu, si mnasema nyama moja bucha tofauti,
kwanza akila beki tatu anabana matumizi ya kuendelea kuwajengea watoto wake.
 
Ndio shida ya kukaa na h.gal mda mrefu! Lazma kutakuwa na kitu! Me akikaa kwangu mwaka mmoja inatosha! Ni wasiri Sana na wana roho ngumu mno!
Hapo pengine madam anampenda na kumwamini kwelikweli!
Anamwamini kumbe mke mwenza madhaifu yote anayajua ya mother house duu
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Happy fifth years anniversary mkuu, kila la kheri ila usisahau hakuna marefu yaliyokosa ncha.
 
Ni kweli no one is perfect huwezi linganisha beki Tatu na mkeo au malaya huo ni utahira mie nime date na waume za watu walikuwa matured nikiona anaanza kumdharau mkewe namshushia na mahusiano yanakufa. Tamaa za kimwili zisitufanye kuzalilisha wenza wetu tena waliotupa heshima za watoto. Mie sipendi kabisa wajinga wa hivo wallah. Na huyo beki Tatu mke akifa naye anaanza ujeuri, wa hatari na hana uchungu na wewe kabisa mana kumtumia kingono huwa hawapendi.
unajisifia kudate waume za watu???........



aisee wanawake mkoje lakn?
 
Sasa unataka niseme uongo mkuu. Nyie si ndo huwa mnaficha siri Kuwa hamujaoa. Hafu msikremishe dhambi mkuu. Punyeto yenyewe hairuhusiwi ingawa watu wafanya sirini
unajisifia kudate waume za watu???........



aisee wanawake mkoje lakn?
 
Back
Top Bottom