Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ya Tz ukiwa na mahusiano na mwanamke kwamiezi 6 nimkeo so oa tu mkuuTulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
kwa iyo unatamani atangulieTulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Nakuja kumchukua dada angu shenz zako ulkuja na kimbuz chako kimekonda na Mahal yenyewe hujamaliza alfu unasema useng****Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Huyo mwanaume jinga kabisa. Ikifikia hatua mme anamlinganisha mkewe na hausegirl basi akili ya mume imeoza.mkuu jamaa anamdharau sn mkewe.......
kwa beki 3? kwaio beki 3 anajua udhaifu wa maza house bila shaka!!!..... mbaya sn hii
Hahahaha nakazia mkuu aya mambo malipo huwa sio mbali ni hapahapa dunianiKuna mwenzako pia naye leo anafurahia kutimiza miaka 10 na mkeo
Hizi bangi za namna hii nazitafuta saaana sema sizipati mamaeee dadeque Shun Shun NgwaHappy birthday kwenu mkuu we na house girl wako muendelee kuzini mpaka mkeo awafumanie