The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mwaka mmoja wa jpm ni sawa sawa na miaka yote ya awamu ya nne na hii ya sita itakapomaliza muda wake
PointlessYalifanyika hata wakati wa mkoloni, waliotaka uhuru hawakuwa na macho? Jitokeze uwaambia chuki dhidi ya mkoloni ilikuwa ya nini wakati maendeleo yalikuwa yanafanyika?
Kwani haya yote unayosema si yamerudi Kwa Kasi enzi hii tuliyonayoRais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Jibu zuri sana kwa huyo sukuma gangMfate kaburini kama umeshindwa kubaliana na mabadiliko
Kwiiiisha sukuma gangHuu upuuzi mwambie baba yako
Alikuwa anawafuga majambaziHuo ni mtazamo wako, sisi tulimuona Magufuli kama Dikteta wa hatari kabisa, aliyekuwa amejificha nyuma ya Madaraja.
View attachment 2380972
Akachimbe mashimo karibu na nyumba ya milele ya jiweNa bado utalialia sana humu na kamwe hatofufuka shetani wako.
Fanyia tu kazi ushauri wa Zito
Waliotoa matusi ni wale wa vyeti feki. Njoo kwa ground ndio utajua alichokiongea kina ukweliJitafakari why umepokea matusi mazito baada ya kumfananisha JK na JPM?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Pointless
Hata awamu nzima % ilimezwa na wizara ya JPMMwaka mmoja wa jpm ni sawa sawa na miaka yote ya awamu ya nne na hii ya sita itakapomaliza muda wake
Endelea kujidanganyaMwaka mmoja wa jpm ni sawa sawa na miaka yote ya awamu ya nne na hii ya sita itakapomaliza muda wake
chadema iko icu mbowe uko wapiHuu upuuzi mwambie baba yako
Mchana anajifanyanya kujenga madaraja usiku yuko na Waaiojulikana nakumbuka Sabaya aliwahi kusema kuwa huwa wanapigiana simu usiku wa manane.Alikuwa anawafuga majambazi