Miaka mitano ya Hayati Magufuli taifa lilipiga hatua kubwa kuliko miaka kumi ya Jakaya

Miaka mitano ya Hayati Magufuli taifa lilipiga hatua kubwa kuliko miaka kumi ya Jakaya

Simbilisi mnahangaika Sana..

JPM wako angefanya nusu tuu ya hili la Samia sijui tungecomment wapi 👇
Mwaka mmoja wa jpm ni sawa sawa na miaka yote ya awamu ya nne na hii ya sita itakapomaliza muda wake
 

Attachments

  • Screenshot_20220930-112338.png
    Screenshot_20220930-112338.png
    81.8 KB · Views: 1
Yalifanyika hata wakati wa mkoloni, waliotaka uhuru hawakuwa na macho? Jitokeze uwaambia chuki dhidi ya mkoloni ilikuwa ya nini wakati maendeleo yalikuwa yanafanyika?
Pointless
 
Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.

Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.

Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Kwani haya yote unayosema si yamerudi Kwa Kasi enzi hii tuliyonayo
Muulizeni aliyeshikilia mbona kumetokezea ULAJI , Wizi kila Kona.
Mungu atende Kwa kweli!!
 
nasemaga watanzania tunajua kulaumu sana. Kila kiongozi ana namna yake ya kuongoza cha msingi ww fanya mipango yako tafta maisha yako huko kusema jk sjui hakufanya hiki jpm sjui kafanya vizur hayo mambo hayana msaada wwte kwenye maisha yako ya kila siku heb tuache kulalamika kila mtu apambanie kombe
 
Nachelea umri wa Muandishi labda enzi za JK jamaa alikuwa mvaa kaptula pale Colomije primary school ikapelekea akili yake kujikuta imestick kwenye kombolela na kucheza mdako
 
Alikuwa anawafuga majambazi
Mchana anajifanyanya kujenga madaraja usiku yuko na Waaiojulikana nakumbuka Sabaya aliwahi kusema kuwa huwa wanapigiana simu usiku wa manane.
 
Back
Top Bottom