Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfate kaburini kama umeshindwa kubaliana na mabadiliko
Mfate kaburini kama umeshindwa kubaliana na mabadiliko
Alikuwa anawatuma Wasiojulikana halafu yeye anajifanya yuko bize na Daraja.
Nchi yangu ya amani Tanzania ilikuwa imetapakaa maelfu ya Wasiojulikana watu wakawa wanaishi kwa khofu kubwa.
Zikaanza nyimbo za kumsifu na "Stockholm syndrome" ikafuatia.
Umeongea ukweli mtupu. Ila wachawi watakuja kupingaRais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Nyie sukuma gang mpo kwenye denial,mtaendelea kumsifu mwizi mpaka lini?tumeishaambiwa hata zile tilioni 360 ilikuwa kanyaboya Bado hsmuamini tu,Kikwete hakufukuza watumishi hewa,lakini pesa ilikuwa kibao mtaani,sekta binafsi ilishamili,GDP ilipanda kutoka 19 .6T mpaka 47 5T,deni la Taifa lilikuwa tilioni 17,akaingia shetani wa kinyantuzu,akaua watu,amefunga watu,alikuwa muhongo,anasema anajenga kwa pesa ya ndani kumbe linapola na kuiba,Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Mayanga Hawa walipewa tender ya kujenga airport Chato bila kufsta utaratibu,watu walibambikiwa kesi Ili watoe pesa,tilioni 360 kumbe ni kanyaboya,sekta binafsi ilidumaa,deni la Taifa limepanda mara tu kutoka enzi za Kikwete,mshenzi alikuwa anasema anajenga kwa pesa ya ndani.serikali iliuua kila siku,Umeongea ukweli mtupu. Ila wachawi watakuja kupinga
Mchawi mmoja wapo huyu keshajitokezaMayanga Hawa walipewa tender ya kujenga airport Chato bila kufsta utaratibu,watu walibambikiwa kesi Ili watoe pesa,tilioni 360 kumbe ni kanyaboya,sekta binafsi ilidumaa,deni la Taifa limepanda mara tu kutoka enzi za Kikwete,mshenzi alikuwa anasema anajenga kwa pesa ya ndani.serikali iliuua kila siku,
Bunge gani lilipitisha ujenzi wa chato airport,na sasa hv Ndege ngapi zinatua,
Jiwe alikuwa shetani kabisa,tunashukuru Mungu,aliamua ugomvi
Wajinga na mbumbumbu wa nchi ndio mnamuona bora twenye akili tunaona kirusi kilichotaka kuchafua landscape nzuri ya nchi yetu. No wonder Mungu hakutaka hilo litokee.JPM ni rais bora kuwahi kutokea tangu 1961.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.....
Dikteta hana lakukumbukwa, apotelee mbaliRais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Mwenzio yupo jehanam huko anaungua, kila ngozi ikibabuka anabadilishiwa ngozi nyingine afaidi Moto vizuri,JPM ni rais bora kuwahi kutokea tangu 1961.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.....
Mungu alisaidia kuondoa ibilisiMayanga Hawa walipewa tender ya kujenga airport Chato bila kufsta utaratibu,watu walibambikiwa kesi Ili watoe pesa,tilioni 360 kumbe ni kanyaboya,sekta binafsi ilidumaa,deni la Taifa limepanda mara tu kutoka enzi za Kikwete,mshenzi alikuwa anasema anajenga kwa pesa ya ndani.serikali iliuua kila siku,
Bunge gani lilipitisha ujenzi wa chato airport,na sasa hv Ndege ngapi zinatua,
Jiwe alikuwa shetani kabisa,tunashukuru Mungu,aliamua ugomvi
Mbona husemi wewe ulipata nini!Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Wewe huna macho? Hukuona yaliyofanyika? Acha chuki zako.Tofautisha maendeleo na propaganda. Kipindi cha dhalimu maendeleo yalikuwa ya taarifa za kupikwa zaidi, huku ikiwa mwiko vyombo vya habari kusema tofauti na alichokipenda. March 2021 ilitusaidia kuondokana na lile dubwasha ongo na hatari.
We kenge peleka ujinga wako huko..Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Yalifanyika hata wakati wa mkoloni, waliotaka uhuru hawakuwa na macho? Jitokeze uwaambia chuki dhidi ya mkoloni ilikuwa ya nini wakati maendeleo yalikuwa yanafanyika?Wewe huna macho? Hukuona yaliyofanyika? Acha chuki zako.