Miaka miwili bila uhusiano/ uzinzi iliyopelekea nionekane mwendawazimu machoni mwa watu

Hongera sana. Pokea maua yako. Mwanamme akiweza kutawala hisia zake, ametatua 90% ya matatizo yake
 
Nimewahi experience hii kitu sio unaonekana kama chizi

Kiukweli unaanza kuwa kama chizi kiasi fulani
Maana kuna muda kama nilikuwa over thinker

Jambo dogo naanza kulichimba kwa ndani sana na pengine halina maana sana hii yote sababu

Nakuwa sina mawazo ya ngono pia nahisi mawazo ya ngono ukiendekeza uchukua nafasi kubwa sana kichwani
 
Upewe soda
 
Ni heri kuwaza mambo mengine kwa kina kuliko kuwaza ngono, na ni kweli kwamba ukikosa sex kwa muda mrefu mawazo yanabadilika, lakini afadhali hivyo kuliko kuwa na mawazo ambayo mwisho wake sio mzuri.
 
Ni heri kuwaza mambo mengine kwa kina kuliko kuwaza ngono, na ni kweli kwamba ukikosa sex kwa muda mrefu mawazo yanabadilika, lakini afadhali hivyo kuliko kuwa na mawazo ambayo mwisho wake sio mzuri.
Mzee una hoja sana
Nataka kukuuliza maswali kadhaa wa kadhaa, kama utaridhia!
 
Mkuu sio kweli saa nyingine vishawishi vya sehemu husika vinachangia kukuchea kuwa na mawazo fulani.
Sisi kipindi tumemaliza masomo ramani hazisomi mm na msela wangu tulienda kijiji kimoja huko kaliuwa ndani kabisa karibu na malizevu huko mkoani Tabora kwenda kufanya shughuli za kilimo.
Tulikaa miezi minane bila kuiona papuchi na nilikuwa normal tu, yaani kuna kipindi kilifika mpaka huku chini mjomba hakawa hasimami asubuhi kama ilivyo kawaida yake mpaka nikaanza kupata mashaka.
Alafu mwanaume ukiendekeza uzinzi kama bado unajitafuta basi umejichimbia kabuli la mafanikio yako.
Mwana mke akiwa na akili uzinzi unaweza kumfaidisha akapata maisha.
 
Uliza mkuu, tupo hapa kujadili pamoja
Sawa sawa Mkuu!

Mosi, Nataka kujua ni sababu gani kubwa, ilikupa msukumo wa kuyaenda hayo (Je ni sababu ya kiroho au )

Pili, Ni njia gani ulizitumia katika kufanikisha jambo Hilo? Nina amini Pengine, ulikutana na majaribu au changamoto!

Tuanzie hapo!
 
Sawa sawa Mkuu!

Mosi, Nataka kujua ni sababu gani kubwa, ilikupa msukumo wa kuyaenda hayo (Je ni sababu ya kiroho au )
Baada ya kupata mtoto akili yangu ilibadilika kabisa, nikawa sina mzuka tena na wanawake muda wote naumiza kichwa ni jinsi gani mtoto wangu ataishi.

Kila nikifikiri kuhusu mapenzi najiuliza kama ni pesa si afadhali nitumie kumhudumia mwanangu kuliko wanawake, nafsi ikawa inanisuta.

Sababu nyingine ni ya kiroho, na hiyo ni baada ya kujifunza kwamba zinaa inaharibu na kuondosha baraka za Mungu katika maisha ya mwanadamu.

Pili, Ni njia gani ulizitumia katika kufanikisha jambo Hilo? Nina amini Pengine, ulikutana na majaribu au changamoto!
Hakuna njia yoyote zaidi ya ku ignore vishawishi hasa kukwepa uwezekano wa kuanzisha mahusiano na wanawake, japo ilikuwa ngumu maana sometimes wadada wanataka wenyewe ila nikaamua kupiga chini na kuziba masikio.
 
Mimi basi ilikuwa hivyo

Kwa upande wako ilikuaa hivyo
Tunashare experience tu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…