Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Wengine ni mazoezi na kufungaInawezekana ila kuna mtu kauliza swali la maana! Nini ilikua distraction yako???
Namjua mtu ama watu wao Wanakwambia Mjani unakata kiu zote ndo mana wavutaji sio wazinzi..
Hongera sana. Pokea maua yako. Mwanamme akiweza kutawala hisia zake, ametatua 90% ya matatizo yakeMaisha bila uzinzi yanawezekana, na nimetambua hilo baada ya kutimiza miaka miwili+ bila kuwa na uhusiano wala ukaribu wowote wa kimwili dhidi ya mwanamke/binti yeyote ndani ya muda huo.
Changamoto pekee nilivyo Kutana nayo ni kuonekana mwendawazimu hasa kwa majirani zangu wa karibu, watu ambao wanaamini ili mwanaume ukamilike ni lazima ubadilishe wanawake kila weekend.
Kwa mtazamo wao, kutojihusisha na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu kunaonekana kama jambo lisilo la kawaida, hali iliyofanya nionekane kama mtu asiyeeleweka au hata mwendawazimu machoni pao. Hii inaonyesha changamoto ya mitazamo ya kijamii ambayo mara nyingi huathiri watu wanaochagua maisha tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii.
Wito wangu kwa vijana wenzangu ni kwamba wanapaswa kujua Uanaume wa kweli haupimwi kwa idadi ya wanawake bali kwa uwezo wa kujiheshimu, kudhibiti matamanio, na kufanya maamuzi yenye busara.
Kujitunza na kudhibiti hisia si udhaifu bali ni ishara ya ukomavu hasa kwa wale ambao bado hawajaingia katika ndoa.
Swali kwa vijana wenzangu, je mnaamini kuwa inawezekana kuishi bila kufanya uzinzi? Na kama ndiyo, ni muda upi mrefu zaidi umewahi kujizuia au kukaa bila kufanya vitendo hivyo?
Sahihi kabisa, Na ndyomaana vijana hawaoni umuhimu wa ndoa.Naam,dunia ya sasa inajaribu ku~normalize sex kwa kila njia kwa kurahisisha upatikanaji wake.
Vyema sana madame, hisia ni mtihani na kufaulu inahitaji ujasiri.Hongera sana. Pokea maua yako. Mwanamme akiweza kutawala hisia zake, ametatua 90% ya matatizo yake
samaleko ndugu kwema ?Samaleko ndugu yangu
acha uongo wiki mbili una uhakika?Mwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani
Kwema kabisa ndugu yangusamaleko ndugu kwema ?
Upewe sodaNimewahi experience hii kitu sio unaonekana kama chizi
Kiukweli unaanza kuwa kama chizi kiasi fulani
Maana kuna muda kama nilikuwa over thinker
Jambo dogo naanza kulichimba kwa ndani sana na pengine halina maana sana hii yote sababu
Nakuwa sina mawazo ya ngono pia nahisi mawazo ya ngono ukiendekeza uchukua nafasi kubwa sana kichwani
parachchi dar?! nenda mbeya mkuuKwema kabisa ndugu yangu
Naona dalili za mvua dar, nataka kuanzia kuliko Cha parachichi
Ni heri kuwaza mambo mengine kwa kina kuliko kuwaza ngono, na ni kweli kwamba ukikosa sex kwa muda mrefu mawazo yanabadilika, lakini afadhali hivyo kuliko kuwa na mawazo ambayo mwisho wake sio mzuri.Nimewahi experience hii kitu sio unaonekana kama chizi
Kiukweli unaanza kuwa kama chizi kiasi fulani
Maana kuna muda kama nilikuwa over thinker
Jambo dogo naanza kulichimba kwa ndani sana na pengine halina maana sana hii yote sababu
Nakuwa sina mawazo ya ngono pia nahisi mawazo ya ngono ukiendekeza uchukua nafasi kubwa sana kichwani
Mzee una hoja sanaNi heri kuwaza mambo mengine kwa kina kuliko kuwaza ngono, na ni kweli kwamba ukikosa sex kwa muda mrefu mawazo yanabadilika, lakini afadhali hivyo kuliko kuwa na mawazo ambayo mwisho wake sio mzuri.
Uliza mkuu, tupo hapa kujadili pamojaMzee una hoja sana
Nataka kukuuliza maswali kadhaa wa kadhaa, kama utaridhia!
Mkuu sio kweli saa nyingine vishawishi vya sehemu husika vinachangia kukuchea kuwa na mawazo fulani.Nimewahi experience hii kitu sio unaonekana kama chizi
Kiukweli unaanza kuwa kama chizi kiasi fulani
Maana kuna muda kama nilikuwa over thinker
Jambo dogo naanza kulichimba kwa ndani sana na pengine halina maana sana hii yote sababu
Nakuwa sina mawazo ya ngono pia nahisi mawazo ya ngono ukiendekeza uchukua nafasi kubwa sana kichwani
Sawa sawa Mkuu!Uliza mkuu, tupo hapa kujadili pamoja
Baada ya kupata mtoto akili yangu ilibadilika kabisa, nikawa sina mzuka tena na wanawake muda wote naumiza kichwa ni jinsi gani mtoto wangu ataishi.Sawa sawa Mkuu!
Mosi, Nataka kujua ni sababu gani kubwa, ilikupa msukumo wa kuyaenda hayo (Je ni sababu ya kiroho au )
Hakuna njia yoyote zaidi ya ku ignore vishawishi hasa kukwepa uwezekano wa kuanzisha mahusiano na wanawake, japo ilikuwa ngumu maana sometimes wadada wanataka wenyewe ila nikaamua kupiga chini na kuziba masikio.Pili, Ni njia gani ulizitumia katika kufanikisha jambo Hilo? Nina amini Pengine, ulikutana na majaribu au changamoto!
Mimi basi ilikuwa hivyoMkuu sio kweli saa nyingine vishawishi vya sehemu husika vinachangia kukuchea kuwa na mawazo fulani.
Sisi kipindi tumemaliza masomo ramani hazisomi mm na msela wangu tulienda kijiji kimoja huko kaliuwa ndani kabisa karibu na malizevu huko mkoani Tabora kwenda kufanya shughuli za kilimo.
Tulikaa miezi minane bila kuiona papuchi na nilikuwa normal tu, yaani kuna kipindi kilifika mpaka huku chini mjomba hakawa hasimami asubuhi kama ilivyo kawaida yake mpaka nikaanza kupata mashaka.
Alafu mwanaume ukiendekeza uzinzi kama bado unajitafuta basi umejichimbia kabuli la mafanikio yako.
Mwana mke akiwa na akili uzinzi unaweza kumfaidisha akapata maisha.
Kijana ukiweza kuku_control nyege umetoboa kimaisha (utajiri)