Miaka miwili bila uhusiano/ uzinzi iliyopelekea nionekane mwendawazimu machoni mwa watu

Miaka miwili bila uhusiano/ uzinzi iliyopelekea nionekane mwendawazimu machoni mwa watu

Baada ya kupata mtoto akili yangu ilibadilika kabisa, nikawa sina mzuka tena na wanawake muda wote naumiza kichwa ni jinsi gani mtoto wangu ataishi.

Kila nikifikiri kuhusu mapenzi najiuliza kama ni pesa si afadhali nitumie kumhudumia mwanangu kuliko wanawake, nafsi ikawa inanisuta.

Sababu nyingine ni ya kiroho, na hiyo ni baada ya kujifunza kwamba zinaa inaharibu na kuondosha baraka za Mungu katika maisha ya mwanadamu.

Hakuna njia yoyote zaidi ya ku ignore vishawishi hasa kukwepa uwezekano wa kuanzisha mahusiano na wanawake, japo ilikuwa ngumu maana sometimes wadada wanataka wenyewe ila nikaamua kupiga chini na kuziba masikio.
Good! Nimefurahishwa na majibu yako Mkuu!

Naweza kusema, sababu ya kwanza ni Upendo ulizidi na kuwa nguvu dhidi ya ubinafsi.

Uliwaza na kuona kuwa, katika kuchakata mbususu, ni lazima tu Pesa ingekutoka hata kama sh 500.

Ndipo ukaona ni vema, hata hiyo 500 kumpatia mtoto wako, kuliko kuchakatia mbususu! NIMEKUPATA!

Sababu ya pili ni ya Kiroho! Sina pingamizi katika hiyo.

Sawa! Tuendelee

Umesema ni baada ya kupata mtoto, ni wazi katika maelezo yako kuwa huna au hukuwa na ndoa ila ulipata mtoto.

Nauliza jeeee (in eliud's voice)

Uliwezaje kuendelea kuhusiana na mzazi mwenzako? Kuna Ile kupasha viporo

Ila pia naamini Pengine, ila Sina hakika! Huyo uliyezaa nae ulikuwa unampenda (au ikitokea bahati mbaya?

Uliwezaje pia kulishinda Hilo,
 
Umesema ni baada ya kupata mtoto, ni wazi katika maelezo yako kuwa huna au hukuwa na ndoa ila ulipata mtoto.

Nauliza jeeee (in eliud's voice)

Uliwezaje kuendelea kuhusiana na mzazi mwenzako? Kuna Ile kupasha viporo
Mzazi mwenzangu bahati mbaya kwa sasa hatuna uhusiano wa kimapenzi zaidi ya kuwa wazazi tu, pia tunaishi mbali na huwa nasafiri tu kwenda kumuona mtoto.
Ila pia naamini Pengine, ila Sina hakika! Huyo uliyezaa nae ulikuwa unampenda (au ikitokea bahati mbaya?

Uliwezaje pia kulishinda Hilo,
Mpaka tumezaa mtoto means tulipendana, ila kuna mambo yalitokea upendo ukaota mbawa.
 
Mzazi mwenzangu bahati mbaya kwa sasa hatuna uhusiano wa kimapenzi zaidi ya kuwa wazazi tu, pia tunaishi mbali na huwa nasafiri tu kwenda kumuona mtoto.

Mpaka tumezaa mtoto means tulipendana, ila kuna mambo yalitokea upendo ukaota mbawa.
Hapo nimekupata! Je Pengine, hiyo sababu iliyosababisha upendo kuota mbawa.

Katika hayo mambo yaliyotokea, nayo yalichangia wewe kufanya maamuzi hayo uliyofanya?
 
Maisha bila uzinzi yanawezekana, na nimetambua hilo baada ya kutimiza miaka miwili+ bila kuwa na uhusiano wala ukaribu wowote wa kimwili dhidi ya mwanamke/binti yeyote ndani ya muda huo.

Changamoto pekee nilivyo Kutana nayo ni kuonekana mwendawazimu hasa kwa majirani zangu wa karibu, watu ambao wanaamini ili mwanaume ukamilike ni lazima ubadilishe wanawake kila weekend.

Kwa mtazamo wao, kutojihusisha na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu kunaonekana kama jambo lisilo la kawaida, hali iliyofanya nionekane kama mtu asiyeeleweka au hata mwendawazimu machoni pao. Hii inaonyesha changamoto ya mitazamo ya kijamii ambayo mara nyingi huathiri watu wanaochagua maisha tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii.

Wito wangu kwa vijana wenzangu ni kwamba wanapaswa kujua Uanaume wa kweli haupimwi kwa idadi ya wanawake bali kwa uwezo wa kujiheshimu, kudhibiti matamanio, na kufanya maamuzi yenye busara.

Kujitunza na kudhibiti hisia si udhaifu bali ni ishara ya ukomavu hasa kwa wale ambao bado hawajaingia katika ndoa.

Swali kwa vijana wenzangu, je mnaamini kuwa inawezekana kuishi bila kufanya uzinzi? Na kama ndiyo, ni muda upi mrefu zaidi umewahi kujizuia au kukaa bila kufanya vitendo hivyo?
Safi kabisa!
 
Hapana, maamuzi haya yana sababu tofauti na hilo na nadhani nimeshaeleza hizo sababu.
Ni sawa! Nilichomekea ili kuchokoza tu, ili kutaka kujua juu ya jambo Hilo.

Ninawafahamu watu waliowahi kusalitiwa na waliowapenda sana. Hata wakafikia hatua ya kuamua kuacha kuingia kwenye mahusiano na kujihusisha na sex!

Swali lilitokea hapo!

Hongera Mkuu! Juhudi zako ni kubwa, siwezi kukubeza hata kidogo!

Swali la mwisho ili nisikuchoshe!

Ni faida gani umezipata katika maamuzi hayo uliyofanya!

Na pengine unahisi na kuamini (by observing) kama usingefanya maamuzi hayo!

Faida hii na hii, usingeipata
 
Ni sawa! Nilichomekea ili kuchokoza tu, ili kutaka kujua juu ya jambo Hilo.

Ninawafahamu watu waliowahi kusalitiwa na waliowapenda sana. Hata wakafikia hatua ya kuamua kuacha kuingia kwenye mahusiano na kujihusisha na sex!

Swali lilitokea hapo!

Hongera Mkuu! Juhudi zako ni kubwa, siwezi kukubeza hata kidogo!

Swali la mwisho ili nisikuchoshe!

Ni faida gani umezipata katika maamuzi hayo uliyofanya!

Na pengine unahisi na kuamini (by observing) kama usingefanya maamuzi hayo!

Faida hii na hii, usingeipata
Mkuu nadhani inatosha kwa leo😁

But Nashukuru kwa maswali yako kwani yamefanya tujadili na kubadilishana mawazo ipasavyo 🙏
 
Maisha bila uzinzi yanawezekana, na nimetambua hilo baada ya kutimiza miaka miwili+ bila kuwa na uhusiano wala ukaribu wowote wa kimwili dhidi ya mwanamke/binti yeyote ndani ya muda huo.

Changamoto pekee nilivyo Kutana nayo ni kuonekana mwendawazimu hasa kwa majirani zangu wa karibu, watu ambao wanaamini ili mwanaume ukamilike ni lazima ubadilishe wanawake kila weekend.

Kwa mtazamo wao, kutojihusisha na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu kunaonekana kama jambo lisilo la kawaida, hali iliyofanya nionekane kama mtu asiyeeleweka au hata mwendawazimu machoni pao. Hii inaonyesha changamoto ya mitazamo ya kijamii ambayo mara nyingi huathiri watu wanaochagua maisha tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii.

Wito wangu kwa vijana wenzangu ni kwamba wanapaswa kujua Uanaume wa kweli haupimwi kwa idadi ya wanawake bali kwa uwezo wa kujiheshimu, kudhibiti matamanio, na kufanya maamuzi yenye busara.

Kujitunza na kudhibiti hisia si udhaifu bali ni ishara ya ukomavu hasa kwa wale ambao bado hawajaingia katika ndoa.

Swali kwa vijana wenzangu, je mnaamini kuwa inawezekana kuishi bila kufanya uzinzi? Na kama ndiyo, ni muda upi mrefu zaidi umewahi kujizuia au kukaa bila kufanya vitendo hivyo?
Inawezekana kabisa, hamu zikikubana nawewe unazibana, unashangaa mwaka huu hapa.
 
Back
Top Bottom