Miaka Miwili ya giza, uchawa, unafiki na mateso kwa Watanzania

Watu ka wewe ndiyo ile isiyotumia akili. Nani kakuambia Ben alipotezwa? Muulize Dj kengeza. Mnataka kutuaminisha ili mwisho wa siku mje mseme eti Rais Samia na yeye alikuwa Makamu wa Rais anajua na yeye hafai.
Tujiulize maswali(hii inawahusu wenye akili timamu tu)
-Kwanini polisi hawafanyi/hawakufanya upelelezi kuhusu kupotea kwa Ben Saanane? Je wanamlinda au walikuwa wakimlinda nani, Jiwe au Mbowe?
-Polisi kuficha CCTV camera footages za tukio la Lissu walikuwa wanamlinda Jiwe au Mbowe?
- Ni mamlaka ya Jiwe au ya Mbowe iliyahakikisha polisi waliokuwa wakilinda eneo la viongozi aliposhambuliwa Lissu wasiwepo lindoni(the area is guarded 24/7) na kwanini hawahojiwi wala wahusika wa kupanga ratiba za polisi wa zamu hawatoi maelezo? Anayelindwa na kadhia hiyo ni Jiwe au Mbowe?
-Kwanini mauaji yote(political related) yaliyofanywa kipindi cha utawala wa Jiwe polisi hawakutafanyia upelelezi? Ni Jiwe au ni Mbowe aliyeamuru polisi wasifanye upelelezi kuhusu hayo mauaji?
 
Chama chochote cha siasa hasa viongozi wao kama wapo humu...Aisee hizi ndo hoja za kuchukua,waachane na mambo ya kazi ya Boda ni laaana,Vicoba si kitu.....Mzee hongera sana .
 

At least hujapata hasara ya kukatwa mguu au kupotezwa au jamaa yako kupotezwa na kulea mayatima na wajane kuwasaidia
 
Watu ka wewe ndiyo ile isiyotumia akili. Nani kakuambia Ben alipotezwa? Muulize Dj kengeza. Mnataka kutuaminisha ili mwisho wa siku mje mseme eti Rais Samia na yeye alikuwa Makamu wa Rais anajua na yeye hafai.

KENGE nyingine hii ndugu wanaBodi.
 
Wewe ni mpumbavu!

Kabla ya hao kina ben una habari kama kuna watu waliuawa kwa kurushiwa bomu kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha?

Mwangosi yuko wapi?
Ulimboka yuko wapi?
Inasikitisha sana kuona watu wanajadili petty issues huku wakisahau watoto wao wanakaa chini, wanasahau migao ya umeme, maji gharama za maisha kupanda, tozo n.k.Hii ndiyo Tz
 
Mungu amrehemu na amlaze mahali pema peponi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…