herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
mwamposa unamfahamu au kashashaSimfahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwamposa unamfahamu au kashashaSimfahamu.
Mkuu rich mavoko kaacha somoMbosso akijitegemea angekua mbali zaidi. Nyumba yake binafsi na gari kali zaidi. Sio ile Lexus ya mkopo kutoka WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
atakupepea uku kakuinamishaTatizo nyimbo zake zote zinafanana ila ni msanii mkali sana Mbosso.. zima feni (nipepee) [emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
sio yaliyomkuta barozi wa sayona?hivi unajua kama mbosso mziki ulishamshinda baada ya kuvunjika kwa yamoto band? Mbn mnapenda kuwajaza ujinga hawa watoto? Ebu mwache atengeneze maisha pale WCB bana msitake mumjaze ujinga hlf yamkute yalomkuta rich mavoko
Nadekezwa.[emoji445]Nakutahadharishaa simu za usiku punguzaa[emoji444][emoji445] huu wimbo naupenda Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogodogo, je utanipenda zilikuwa nominated kwenye tuzo za Sound city ya south Africa, Inama ilikuwa Afrima, sikomi ilikuwa nominated kwenye tuzo ya euasa ya Marekani, Tetema ilikuwa nominated tuzo ya AFRIMMA.Kanyaga na baba lao ndo sijaona zikiwa nominated labda ziwe mwaka Huu maana zilitoka mwaka Jana.Zilihit wapi hizo ngoma? Ktk hizo hakuna hata moja iliyowahi kuhit international na kuwa nominated tuzo kubwa
Tukubali tukatae, mbosso hayupo ki international yeye anafit kwenye soko la local pekee na mwenzake lavalava. Inshort wasanii wa wcb waliokuwa kiinternational ni harmonize na rayvanny tu bas. So kama ni karata ya kimataifa basi lavalava na mbosso ni magarasa when it comes to business.
Mboso khan
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ipi iliyochukua Tuzo hapo? Kwenye Msafara wa mamba na Kenge Wako hizo ngoma ni kama kenge,.Mdogodogo, je utanipenda zilikuwa nominated kwenye tuzo za Sound city ya south Africa, Inama ilikuwa Afrima, sikomi ilikuwa nominated kwenye tuzo ya euasa ya Marekani, Tetema ilikuwa nominated tuzo ya AFRIMMA.Kanyaga na baba lao ndo sijaona zikiwa nominated labda ziwe mwaka Huu maana zilitoka mwaka Jana.
Kwa kweli umeingilia mada ambayo uelewi na sijui Kama umesoma vizuri swali la aliyeniuliuza.Tukiachana Hilo ukizungumzia masuala ya tuzo hakuna msanii yoyote wa East Africa alishinda tuzo hata kufika nusu tu ya tuzo alizoshinda mondi Hadi sasa mondi ana tuzo si chini ya 100.Ipi iliyochukua Tuzo hapo? Kwenye Msafara wa mamba na Kenge Wako hizo ngoma ni kama kenge,.
Dimpoz ngoma alitoa ngoma mbili tu akaibuka na tuzo,.
Mimi namkubali ila aache kutajataja vyakula kwenye kila nyimbo, mara chapati, maandazi, kacholi, kalimati na ufuta n.k
Kawadanganye Watoto Wa Chekechea..Kwa kweli umeingilia mada ambayo uelewi na sijui Kama umesoma vizuri swali la aliyeniuliuza.Tukiachana Hilo ukizungumzia masuala ya tuzo hakuna msanii yoyote wa East Africa alishinda tuzo hata kufika nusu tu ya tuzo alizoshinda mondi Hadi sasa mondi ana tuzo si chini ya 100.
Kama hili tu unabisha basi ukapimwe akili.Kawadanganye Watoto Wa Chekechea..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi namkubali ila aache kutajataja vyakula kwenye kila nyimbo, mara chapati, maandazi, kacholi, kalimati na ufuta n.k