Miaka Tisa (9) ndani ya JF: Kumbukizi nilivyojiunga na kuishi JF nikiwa kama Mwanafunzi wa Sekondari

Aiii ambrr mbrrr mbrrr pata kitu hicho maamaee.

Nyau de adriz
 
Dah! Kumbe wewe ni classmate wangu kabisa. Na mimi mwaka 2015 nilikuwa Form One shule ya sekondari ya vipaji, Ilboru Arusha. 🥵
 
Aisee kumbe sisi wengine ni watu WAZIMA sanaa
Kumbe vijana wadogo mpo wengi Sanaa na wajifunze kuheshimu wakubwa.

Hongeraaaa sanaa mkuu kwa kuishi Jf muda wa miaka 9.

All the Best.
 
Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…