Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
chronology_chart_from_adam_to_abraham_1.jpg
 
Shem mtoto wa Noah kutoka kwenye safina alikufa mwaka 2158 toka Adamu kuumbwa. Hapo ni baada ya kuishi miaka 600.

Abrahamu alikufa mwaka 2183 toka Adamu. Baada ya kuishi miaka 175.

Hii inamaanisha Abrahamu na Shemu wameishi pamoja. Bila shaka Abrahamu alizijua habari za gharika toka kwa mtu aliyeishuhudia.
 
Hizi stories za adam na Eva ni vigano na visassili vya wa Sumerian vilivyokuwa vikisimuliwa na mtawala mbabe wa dunia, ndugu yangu na rafiki yangu Gilgamesh
Hata hivyo mafuliko yanayoongelewa kwenye kitabu hicho kitakatifu, ni mafuliko yaliyotokea katika nchi aliyokuwa akiitawala Gilgamesh ikijumuisha mji wa UR inasadikika alikotoka Ibrahim.

Kuna mito miwili Tigris na Euphrates inaingia kwenye Persian Gulf, mvua kubwa ilinyesha na kuleta maafa maeneo ya Ur na miji ya karibu.

Map-of-ancient-Sumer-and-Elam-wwwhyperhistorycom-2016.png
 
Adam hakuwa binadamu wa kwanza kuishi duniani,hizi habari sijuwi mnazitoa wapi na mnazisambaza kwa malengo gani.
Hakuna ushahidi wa kihistoria ya kuwa Adam alikuwa binadamu wa kwanza kuishi.
Wakati huyo Adam anaishi miaka 3000-4000bc iliyopita huku Africa Jamii ya Homo ilishaishi miaka million 2-3 iliyopita na walishasambaa hadi maeneo ya mbali sana.
 
Hizi stories za adam na Eva ni vigano na visassili vya wa Sumerian vilivyokuwa vikisimuliwa na mtawala mbabe wa dunia, ndugu yangu na rafiki yangu Gilgamesh
Hata hivyo mafuliko tanayoongelewa kwenye kitabu hicho kitakatifu, ni mafuliko yaliyotokea katika nchi aliyokuwa akiitawala Gilgamesh ikijumuisha mji wa UR inasadikika alikotoka Ibrahim.

Kuna mito miwili Tigris na Euphrates inaingia kwenye Persian Gulf, mvua kubwa ilinyesha na kuleta maafa maeneo ya Ur na miji ya karibu.

View attachment 2030014
Ndiyo safina ikaenda kutua mlima Ararat, mbali kabisa na huko Ur?
 
Adam hakuwa binadamu wa kwanza kuishi duniani,hizi habari sijuwi mnazitoa wapi na mnazisambaza kwa malengo gani.
Hakuna ushahidi wa kihistoria ya kuwa Adam alikuwa binadamu wa kwanza kuishi.
Wakati huyo Adam anaishi miaka 3000-4000bc iliyopita huku Africa Jamii ya Homo ilishaishi miaka million 2-3 iliyopita na walishasambaa hadi maeneo ya mbali sana.
Miaka 2 m umepata wapi wakati modern human kulingana na evolution alitikea miaka laki mbili iliyopita?
Hizi habari zipo kwa biblia, katika sehemu nyingi biblia imeonyesha kuwa ni kitabu sahihi kihistoria. Mambo mengi ya kihistoria yaliyozungumzwa na biblia yameonekana kuwa ni kweli.
 
Kwa hiyo mkuu ile gharika huku kwetu bongo hazikufika?

Vipi kuhusu upinde wa mvua mwanzo wake si ulikua baada ya hio gharika, mbona na sisi tunauona huo huo upinde.
Venus Star
Inaonekana ni dunia nzima. Kuhusu upinde wa mvua, inaonekana kabla ya Noah mvua ilikuwa hainyeshi, bible inasema ardhi ilinyeshwa kwa umande. Na ndiyo sababu watu walishindwa kumuamini Noah. So upinde ukaanza kuonekana baada ya mvua kuanza.
 
Kwa hiyo mkuu ile gharika huku kwetu bongo hazikufika?

Vipi kuhusu upinde wa mvua mwanzo wake si ulikua baada ya hio gharika, mbona na sisi tunauona huo huo upinde.
Venus Star
Mzee upinde wa mvua haujaletwa na matokeo ya gharika. Hiyo ni pure science Mzee. Pale maji yanapoingiliana na mwanga katika angle fulani unapata rangi saba za light.

Mzee hiyo ni practical unaweza kuifanya kwenye maabara. Watoto na watu wasio na elimu ya sayansi unaweza kuwadanganya kuhusu upinde wa mvua kuwa ni agano.
Huwezi ona upinde wa mvua usiku.
 
Inaonekana ni dunia nzima. Kuhusu upinde wa mvua, inaonekana kabla ya Noah mvua ilikuwa hainyeshi, bible inasema ardhi ilinyeshwa kwa umande. Na ndiyo sababu watu walishindwa kumuamini Noah. So upinde ukaanza kuonekana baada ya mvua kuanza.
Mzee kumbe unang'aka bure tu hata biblia huijui. Soma Bible Mzee achana na simulizi

5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi;
Mwanzo 2:5

6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi.
Mwanzo 2:6
 
Hizi stories za adam na Eva ni vigano na visassili vya wa Sumerian vilivyokuwa vikisimuliwa na mtawala mbabe wa dunia, ndugu yangu na rafiki yangu Gilgamesh
Hata hivyo mafuliko yanayoongelewa kwenye kitabu hicho kitakatifu, ni mafuliko yaliyotokea katika nchi aliyokuwa akiitawala Gilgamesh ikijumuisha mji wa UR inasadikika alikotoka Ibrahim.

Kuna mito miwili Tigris na Euphrates inaingia kwenye Persian Gulf, mvua kubwa ilinyesha na kuleta maafa maeneo ya Ur na miji ya karibu.

View attachment 2030014
Kuna vile mafuriko haya yalisababishwa na Ice age miaka zaidi ya 12000? Kuna miji ya kale sehemu mbali chini ya bahari kama vile pande za Japan, India/Sri Lanka, Easter Islands, Egypt na sehemu nyingine.
Nafikiri Epic of Gilgamesh ni baada ya mafuriko hayo.
 
Mzee kumbe unang'aka bure tu hata biblia huijui. Soma Bible Mzee achana na simulizi

5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi;
Mwanzo 2:5

6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi.
Mwanzo 2:6
Hadithi za biblia zinatokana na simulizi za Sumeria na Misri. There's nothing original about the Bible.
 
Ngano za Sumerian, Assyrian na Babylon hizo hazina uhalisia wowote Zaidi ya hekaya za kiabunuwasi!
Kwa biblia Dunia haizidi miaka 6000. Kwa uhalisia Dunia ni zaidi ya miaki bilioni 4.5 na binadamu amekuwa muda huo wote ila maafa Kwa njia ya mafuriko, Asteroids, Alien invasion na mengine mengi yamekuwa yakitokea na yataendelea kutokea. We are not the first technologically advanced civilization and neither are we the last.
 
Back
Top Bottom