Saana. Nakumbuka BBM nilikuwaga na mtoto mkali kipindi hiko ndio iko hot. Ilikuwa ni hakuna kulala! πHTC alikuwa smart sana ila kilicho mponza ni jeuri ya bado kuwaza hakuna mpinzani kama BB na Nokia
Kabisa.... Upo sawa.Ila miaka 90 mpaka 2003 kila eneo lilijulika lina watu waina gani na makuzi gani.
Ukienda TMK ni watu wa kuzamia na mabaharia
ukienda Magomeni ni wauza unga na mashangingi
Ukienda sinza ni wakishua na watafutaji
ukienda mazenzese,buruguni na tandika ni sehemu
za waswahili
ukienda ubungo,gongo lamboto,tabata,airport na mwenge ni wazee wastaafu wa jeshi na waliochelewa kuja mjini kumiliki katikati mjini
ukienda ilala,msimbazi,kinondoni na magomeni kidogo wenye mji wao Mzizima na wajanja wa Dar
Chesco mzee wa matunda yupo wapi? Zamani sana. Akina bokoman mwanamkongo man, tewa s tewa, father nagumo fanani comoro?Miaka 90-2000
kuna watoto waleo sijui kama wanafahamu jiwe la fatuma.
sijui kama wanafahamu antena ya makopo ya castle na mifupa ya samaki.
Gari ya saibaba na ile iliyokuwa chinja chinja.
Miaka hiyo sabasaba ilikuwa sabasaba kweli na nanenane kweli.
Panasonic,JVC,Nation na hitach uwezi kukosa nyumba ya mtu.
Makongo kipindi cha kina marehemu ngwear na afande miraji.
wemesepetu na kajala mpaka leo walitakiwa waitwe bibi.
Chesko mzee wa matunda alitamba sana clouds fm bado hipo posta karibu na IFM.
Dar ya zamani ilikuwa nzuri sana
Hawa ndo walikuwa wateja sana.... Akiinuka unamwona anashindwa hata kutembea....jicho jekundu.... Unacheka tu.. anakuja mwingine na makaratasi kibao kama ana issue ya msingi vile. Anakwambia nina issue nyeti nataka computer ya sehemu tulivu. Kumbe anataka akacheck porno.Wadau wa pilau walikuwa wakiingia cafe hawataki computer za mwanzoni!! Utakuta mtu anaenda kujificha mwishoni kabisa ili acheki porns..ukipita unaona mtu katoa macho, jicho jekundu kama kala weed kumbe anacheki pilau. Hadi wamama walikuwa wanalipa kucheki porns
Kulikuwa na need for speed underground na mortal combat...baadaye ikaja GTAUmenikumbusha myaka hiyo nilimiliki desktop pekee kitaani.
Basi masela walikuwa hawakauki magetoni kipindi hicho nina ots turntable ma dj wa uswazi hawakauki achana na wale wanakuja kucheza need for speed.
Wengi hawajawahi hata kulisikia jiwe la fatuma. Ukisikia Kiih.... Tayari jamaa wamo ndani.Miaka 90-2000
kuna watoto waleo sijui kama wanafahamu jiwe la fatuma.
sijui kama wanafahamu antena ya makopo ya castle na mifupa ya samaki.
Gari ya saibaba na ile iliyokuwa chinja chinja.
Miaka hiyo sabasaba ilikuwa sabasaba kweli na nanenane kweli.
Panasonic,JVC,Nation na hitach uwezi kukosa nyumba ya mtu.
Makongo kipindi cha kina marehemu ngwear na afande miraji.
wemesepetu na kajala mpaka leo walitakiwa waitwe bibi.
Chesko mzee wa matunda alitamba sana clouds fm bado hipo posta karibu na IFM.
Dar ya zamani ilikuwa nzuri sana
Yaani Kwa hicho kichwa nilijua lazima unavuts bangiMiaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.
Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.
Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.
Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.
Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.
Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.
Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
Sasa unaachaje Bhangi ndugu yangu? Yaani niache bhangi nivute hewa tu? We mwenyewe mbali na kunywa maji kuna vitu vingine unakunywa....uongo?umeacha bangi wee mzee? π au bado unashtua mara moja moja π
Heeeeh....umekionea wapi?Yaani Kwa hicho kichwa nilijua lazima unavuts bangi
Nakunywa al-kasus mujarrab ankal πSasa unaachaje Bhangi ndugu yangu? Yaani niache bhangi nivute hewa tu? We mwenyewe mbali na kunywa maji kuna vitu vingine unakunywa....uongo?
See..... Kipenda roho hula nyama mbichiNakunywa al-kasus mujarrab ankal π
GTA nimeicheza sana kazi yangu ni kukariri cheat codes kama "i cant take this anymore" lol gone are the daysKulikuwa na need for speed underground na mortal combat...baadaye ikaja GTA
Wewe ni mwanamke? Utakuwa wa kwanza mimi kumsikia amecheza GTA.GTA nimeicheza sana kazi yangu ni kukariri cheat codes kama "i cant take this anymore" lol gone are the days
Achana games za waptrick na java, watu tumeanza kuperuzi kwa Siemens zile zinatoa mwanga wa orangeWazee wa Java tulikuwa tukijifungia ndani kusaka magemu kwenye Waptrick. π
Nashangaa watoto wa Android na IOS wanavimba!
Hivi owner wake bado ananyea debe? Jamaa alikosea adabu sana mzee wa msoga.Umeisahau ze utamu
yap ni mwanamke, hio need for sped nilikia siiwezi naona imekaa kiume ume sana lakini GTA na ile sjui ni bar sjui ni club inaitwa MALIBU nimecheza mnoo mpaka basWewe ni mwanamke? Utakuwa wa kwanza mimi kumsikia amecheza GTA.