Miaka ya zamani niliambiwa haya maneno kuntu kuhusu kuishi na mwanamke

Miaka ya zamani niliambiwa haya maneno kuntu kuhusu kuishi na mwanamke

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
"Hakuna kitu wewe kama mwanaume unachoweza fanya ili kumfanya mwanamke aishi na wewe kwa uaminifu, sio pesa, sio mwonekano, sio power, sio chochote kile. Bali mwanamke mwenyewe tu akiamua kuishi na wewe kiuaminifu ataishi na ww hivo, lkn asipotaka hata uwe na pesa kiasi gani, handsome kiasi gani au umfunge GPS kwenye uke wake bado atakusaliti tu. Ishi na mwanamke ambae yupo tyr kuishi na wewe sio ambaye unamlazimisha aishi na wewe"

Nina jamaa yangu mmoja chapombe kila nikimuona yeye na mke wake nakumbukaga haya maneno, jamaa ni mlevi wa kutupwa, huwa analewa anazima tunampelekea mke wake home. Lkn mkewe anampenda kinoma huyo mshikaji. Tukiwa kwake yule mke anakua na heshima hadi nasema kimoyomoyo kuna wanaume wenzetu wana bahati. Na sio kwamba mwamba hacheat, yule mwamba tunapasiana madem watundu.

Hayana formula.
 
"Hakuna kitu wewe kama mwanaume unachoweza fanya ili kumfanya mwanamke aishi na wewe kwa uaminifu, sio pesa, sio mwonekano, sio power, sio chochote kile. Bali mwanamke mwenyewe tu akiamua kuishi na wewe kiuaminifu ataishi na ww hivo, lkn asipotaka hata uwe na pesa kiasi gani, handsome kiasi gani au umfunge GPS kwenye uke wake bado atakusaliti tu. Ishi na mwanamke ambae yupo tyr kuishi na wewe sio ambaye unamlazimisha aishi na wewe"

Nina jamaa yangu mmoja chapombe kila nikimuona yeye na mke wake nakumbukaga haya maneno, jamaa ni mlevi wa kutupwa, huwa analewa anazima tunampelekea mke wake home. Lkn mkewe anampenda kinoma huyo mshikaji. Tukiwa kwake yule mke anakua na heshima hadi nasema kimoyomoyo kuna wanaume wenzetu wana bahati. Na sio kwamba mwamba hacheat, yule mwamba tunapasiana madem watundu.

Hayana formula.
na huu ndio ukweli, too bad kwenye makuzi ya watoto wa kiume wazazi hawafunguki kuwaambia haya
 
Atakuwa alimtoa bikra na akamuoa. Tatizo vijana wengi mnaoa Malaya.
Hata kama alikua ni bikra au sio bikra kabla hamjaonana, akiwa hayuko tyr kukaa na wewe hesabu maumivu. Yaani hata kama ukute nj sealed kiasi kwamba muichane kwa wembe, kama hayuko tyr utachapiwa tu tena na wengi maana huyo anakua anatafuta tastes zingine
 
Hata kama alikua ni bikra au sio bikra kabla hamjaonana, akiwa hayuko tyr kukaa na wewe hesabu maumivu. Yaani hata kama ukute nj sealed kiasi kwamba muichane kwa wembe, kama hayuko tyr utachapiwa tu tena na wengi maana huyo anakua anatafuta tastes zingine
Aliye tayari kukaa na wewe kitaalam Inaitwa bond. Bond ya mwanamke inapungua Kila anapokutana na mwanamme mpya.

Bond ya bikra ni 100% na success ya kuendelea kukaa na wewe ni 100%.

Kachukue kiruka njia chenye bond -200% ukiweke ndani uone sarakasi zake.
 
Aliye tayari kukaa na wewe kitaalam Inaitwa bond. Bond ya mwanamke inapungua Kila anapokutana na mwanamme mpya.

Bond ya bikra ni 100% na success ya kuendelea kukaa na wewe ni 100%.

Kachukue kiruka njia chenye bond -200% ukiweke ndani uone sarakasi zake.
Kuna swali la kujiuliza hapo unalikwepa.

Je kwa nn mwanamke awe tyr kuishi na wewe?

Sababu kuu ni zile zinazoanzia ndani yake na sio zinazokua influenced na external factors kama pesa.

Zinaanziaje ndani yake?

->Maybe ameshazunguka kwa wanaume kadhaa amechoka hayo maisha na kutaka kutulia (hawa hawawezi kuwa bikra)

->Maybe hajawajua wanaume vzr na alipokutana na ww ndio ukawa mwanaume wa kwanza akaona ni muujiza (hapa mabikra wako ndo wanaangukia). Ila hawa wakija kusikia story kutoka kwa wanawake wenzie khs mambo ambayo humpatii basi hesabu maumivu, it' s bet kwa maneno mengine 50% win rate, 50% lose rate.

-> Maybe ana kila kitu (material things) anachohitaji ila anataka furaha na male figure

-> E.t.c.....
 
Kuna swali la kujiuliza hapo unalikwepa.

Je kwa nn mwanamke awe tyr kuishi na wewe?

Sababu kuu ni zile zinazoanzia ndani yake na sio zinazokua influenced na external factors kama pesa.

Zinaanziaje ndani yake?

->Maybe ameshazunguka kwa wanaume kadhaa amechoka hayo maisha na kutaka kutulia (hawa hawawezi kuwa bikra)

->Maybe hajawajua wanaume vzr na alipokutana na ww ndio ukawa mwanaume wa kwanza akaona ni muujiza (hapa mabikra wako ndo wanaangukia). Ila hawa wakija kusikia story kutoka kwa wanawake wenzie khs mambo ambayo humpatii basi hesabu maumivu, it' s bet kwa maneno mengine 50% win rate, 50% lose rate.

-> Maybe ana kila kitu (material things) anachohitaji ila anataka furaha na male figure

-> E.t.c.....
Kila mwanamke anamuhitaji mwanamme na mwanamme huwezi kuwa na Kila kitu anachokihitaji mwanamke. Mwanamke akifikia hatuna ya kukuvulia inamaana anakuhitaji.

Mwanamke Bikra mapungufu Yako hatayaona maana Hana wa kukulinganisha naye.
Ila Dem Ambaye ametoka na wengi atakulinganisha na wengine Kisha ataona kasoro zako na itakuwa vigumu kuendelea kukaa na wewe.

Mfano:
1. Tarimo kwa mwezi alikuwa anampa 1,000,000/= wewe unamba 50,000/=.
2. Hamisi kabla ya kumuingilia alikuwa anampiga deki na anasimamia kucha lisaa, wewe unaona kinyaa kupiga deki na dakika 5 Chali.
3. Juma alikuwa anamtoa out wanaenda viwanja, anakaa naye siku nzima, wanaogelea pamoja, wanacheza pamoja, wanapika pamoja, anamsaidia kazi za nyumbani ila wewe uko busy mnaonana usiku tuu na asubuhi ukiamka unasepa kazini.
4. Kelvin yeye alikuwa anampigia simu asubuhi mchana na jioni, anamtumia texts za mahaba, anamsifia sifia, anampa vizawadi vidogo vidogo ila wewe haumpi attention yoyote.


Huyu mwanamke hata kama ndoa yenu mtafungishwa na papa vatcan, ni lazima akukimbie.
 
Kila mwanamke anamuhitaji mwanamme na mwanamme huwezi kuwa na Kila kitu anachokihitaji mwanamke. Mwanamke akifikia hatuna ya kukuvulia inamaana anakuhitaji.

Mwanamke Bikra mapungufu Yako hatayaona maana Hana wa kukulinganisha naye.
Ila Dem Ambaye ametoka na wengi atakulinganisha na wengine Kisha ataona kasoro zako na itakuwa vigumu kuendelea kukaa na wewe.

Mfano:
1. Tarimo kwa mwezi alikuwa anampa 1,000,000/= wewe unamba 50,000/=.
2. Hamisi kabla ya kumuingilia alikuwa anampiga deki na anasimamia kucha lisaa, wewe unaona kinyaa kupiga deki na dakika 5 Chali.
3. Juma alikuwa anamtoa out wanaenda viwanja, anakaa naye siku nzima, wanaogelea pamoja, wanacheza pamoja, wanapika pamoja, anamsaidia kazi za nyumbani ila wewe uko busy mnaonana usiku tuu na asubuhi ukiamka unasepa kazini.
4. Kelvin yeye alikuwa anampigia simu asubuhi mchana na jioni, anamtumia texts za mahaba, anamsifia sifia, anampa vizawadi vidogo vidogo ila wewe haumpi attention yoyote.


Huyu mwanamke hata kama ndoa yenu mtafungishwa na papa vatcan, ni lazima akukimbie.
Sijapinga hayo,

Concern yangu ni kwamba hata huyo bikra akisikia au kusimuliwa na wanawake wengine bashasha za mabwana zao na huku hapewi na bwana wake kisha akatokea mwamba ambae atamuahidi hayo basi ni game point mkuu, unless huyo bikra awe labda kakulia kwenye maadili sana. Na unajua hio ndio sababu waislamu wenye msimamo mkali wanawanyima wanawake exposure sababu hata kama mwanamke ni bikra, ukimpa exposure sana umemuahiribu tyr.
 
Sijapinga hayo,

Concern yangu ni kwamba hata huyo bikra akisikia au kusimuliwa na wanawake wengine bashasha za mabwana zao na huku hapewi na bwana wake kisha akatokea mwamba ambae atamuahidi hayo basi ni game point mkuu, unless huyo bikra awe labda kakulia kwenye maadili sana. Na unajua hio ndio sababu waislamu wenye msimamo mkali wanawanyima wanawake exposure sababu hata kama mwanamke ni bikra, ukimpa exposure sana umemuahiribu tyr.
Point yangu ya msingi ni kuhusiana na bonding. Mwenye bond ya 80% siyo sawa na mwenye bond ya 20% .

Mwenye bond ndogo atashawishika kirahisi kuliko mwenye bond kubwa.

Na kumbuka bond ya mwanamke inapungua kulingana na idadi ya wanaume alio lala nao.
 
"Hakuna kitu wewe kama mwanaume unachoweza fanya ili kumfanya mwanamke aishi na wewe kwa uaminifu, sio pesa, sio mwonekano, sio power, sio chochote kile. Bali mwanamke mwenyewe tu akiamua kuishi na wewe kiuaminifu ataishi na ww hivo, lkn asipotaka hata uwe na pesa kiasi gani, handsome kiasi gani au umfunge GPS kwenye uke wake bado atakusaliti tu. Ishi na mwanamke ambae yupo tyr kuishi na wewe sio ambaye unamlazimisha aishi na wewe"

Nina jamaa yangu mmoja chapombe kila nikimuona yeye na mke wake nakumbukaga haya maneno, jamaa ni mlevi wa kutupwa, huwa analewa anazima tunampelekea mke wake home. Lkn mkewe anampenda kinoma huyo mshikaji. Tukiwa kwake yule mke anakua na heshima hadi nasema kimoyomoyo kuna wanaume wenzetu wana bahati. Na sio kwamba mwamba hacheat, yule mwamba tunapasiana madem watundu.

Hayana formula.
Mademu watundu=wanaopiga miguu yote=line mbili=wanaotoa YAS
 
Aliye tayari kukaa na wewe kitaalam Inaitwa bond. Bond ya mwanamke inapungua Kila anapokutana na mwanamme mpya.

Bond ya bikra ni 100% na success ya kuendelea kukaa na wewe ni 100%.

Kachukue kiruka njia chenye bond -200% ukiweke ndani uone sarakasi zake.
Bond ndio mdudu gani, wanawake wote ni kenge tu.
 
Kila mwanamke anamuhitaji mwanamme na mwanamme huwezi kuwa na Kila kitu anachokihitaji mwanamke. Mwanamke akifikia hatuna ya kukuvulia inamaana anakuhitaji.

Mwanamke Bikra mapungufu Yako hatayaona maana Hana wa kukulinganisha naye.
Ila Dem Ambaye ametoka na wengi atakulinganisha na wengine Kisha ataona kasoro zako na itakuwa vigumu kuendelea kukaa na wewe.

Mfano:
1. Tarimo kwa mwezi alikuwa anampa 1,000,000/= wewe unamba 50,000/=.
2. Hamisi kabla ya kumuingilia alikuwa anampiga deki na anasimamia kucha lisaa, wewe unaona kinyaa kupiga deki na dakika 5 Chali.
3. Juma alikuwa anamtoa out wanaenda viwanja, anakaa naye siku nzima, wanaogelea pamoja, wanacheza pamoja, wanapika pamoja, anamsaidia kazi za nyumbani ila wewe uko busy mnaonana usiku tuu na asubuhi ukiamka unasepa kazini.
4. Kelvin yeye alikuwa anampigia simu asubuhi mchana na jioni, anamtumia texts za mahaba, anamsifia sifia, anampa vizawadi vidogo vidogo ila wewe haumpi attention yoyote.


Huyu mwanamke hata kama ndoa yenu mtafungishwa na papa vatcan, ni lazima akukimbie.
Hizo kilometa gari limechoka balaa gari inasoma kilomita 1000,000 kitu bahari
 
Wanawake wa hivyo wapo wengi tu ila vijana mmeamua kuchagua nyash weupe na swaga lazima kiumane tu😅
 
Mapenzi hayana formula lakini amini nakwambia hii ndio formula ya pekee ambayo ina guarantee kufanya kazi kwa muda mrefu.

Mtu akikupenda, ana uwezo wa kuishi na wewe kwa muda mrefu bila kashikashi.

Na kukubadilikia atakubadilikia akichoka matukio. Manaake unakuwa umembadilisha anakuwa medusa.

Binafsi siwezi ishi na mtu simpendi, never on earth abadani asilani, sasa i have options… Kuna wale hawana options anayekuja tu wanachukua ndio mwanzo wa kwenda kusumbua kwa watu huko…

Learn or perish!
 
dah! kwanini wanawake mnatukatili kiasi hiki? si muamue tu kumpenda mmoja kutoka moyoni! msitufanyie hivyo jama.
 
Wanawake ni ngumu sana kuwakariri akili zao mkuu

Anaweza akaolewa na mtu kwa kufuata kile yeye hana (urahisi wa maisha)


Hapa utachapiwa sana na yule wa hisia nae (anaempenda)
 
Back
Top Bottom