Miaka yangu 6 Jf

Nilikuwa kwenye magroup fulani ya kisiasa Facebook watu wakawa wanaiongelea saa nyingine wanaleta link, nikalike page yao baadae na mimi nikajoin, halafu mwanzo nilijua ni forum ya kisiasa tu.
Zamani za kale ilikuwa imejikita huko zaidi...

Haya majukwaa mengine ni watoto na wajukuu wa jukwaa la siasa...
 
Huwa unanikera ...

Maandishi yako madogo

Hafu unaongea kwa sauti ndogo sana we msichana
 
Hahaa mimi 2014 ndio nimeacha, nawakumbuka baadhi ya memba akina Kimeta wa Mpui, Bruno Kims, mheshimiwa Bananga, akina Ben daah magroup yalikuwa hot yale
Hahahaha

Hivi bado yapo haya magroup? Sijaingia FB toka 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…