Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kweli. Wana sura ngumu huwezi amini wako state[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona wapo wamarekan wana sura ngumu tu
Naam tena yule wa kufungwa nyororo DinaMtumwa kabisa
Hata European football, wapo waliovuma enzi hizo sasa wamegeuka manamba. Wengine wameishia kufanya kazi kwenye old folks homes au kuosha vyombo kwenye restaurants, kuwa na nidhamu ya matumizi na kuwekeza ni akili ambayo wengi hawana.Mkuu NBA ngumu sana sana. Wengine wanaishia kuwa omba omba. Yani ukifuatilia the dark side of NBA kuna stress nyingi na kuishi kwa mashaka
lijinga[emoji57][emoji16]Ushamba ile nafasi hakutegemea kuipata
Unatoka USA unakja bongo unahangaika
Na wanawake huku
Mara kaenda coco kapaki range kazungukwa na watu Hahaha
Ova
Katika comedian mpumbavu ni huyu jamaa.... angalia stand up comedy zake anafanya zilezile negative stereotypes
sio huyo tu, maceleb wenye asili ya west africa ambao wamefanikiwa marekani na kuishi huko, karibia wote wana mapenzi ya dhati sana na nchi zao za asili.
mwanamzki akon kafanya mambo makubwa sana kwao senegal. anajenga mji mkubwa sana unaofahamika kama akon city.
When an R&B star vows to build a futuristic city in your backyard
Tatizo jina lake sio la ki afrikaHuyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana anapenda kucheza miziki ya Afrika, vyakula vya nyumbani yeye ndio anakula hata akiwa marekan mara nyingi anakula ugali.
Pia anarudi sana kwao Ghana anajenga shule huko Ghana ili watoto wasome pia
Kila mara anaenda Kwao kwa mama yake, anapenda kuvaa nguo za vitenge
Anafaa kuigwa japo ana zile live zake za kutwerk na wadada wenye big ass Ila poa Tu.
Ingekuwa mwingine sipati picha ambavyo Angekuwa ananata
Na wengine muige muwe mnarudi nyumbani mfanye na vya maana sio kunywa bia tu
Michael yupo vizuri kiukweli anawapenda sana watu wake wa nyumbani kiujumla Afrika.
View attachment 1779465
Morning mathafakaz[emoji16]Huyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana anapenda kucheza miziki ya Afrika, vyakula vya nyumbani yeye ndio anakula hata akiwa marekan mara nyingi anakula ugali.
Pia anarudi sana kwao Ghana anajenga shule huko Ghana ili watoto wasome pia
Kila mara anaenda Kwao kwa mama yake, anapenda kuvaa nguo za vitenge
Anafaa kuigwa japo ana zile live zake za kutwerk na wadada wenye big ass Ila poa Tu.
Ingekuwa mwingine sipati picha ambavyo Angekuwa ananata
Na wengine muige muwe mnarudi nyumbani mfanye na vya maana sio kunywa bia tu
Michael yupo vizuri kiukweli anawapenda sana watu wake wa nyumbani kiujumla Afrika.
View attachment 1779465
Kumbe alimlamba kidoti...dah basi ana akili kubwa sana....mwanaume hela utumie kula mbususu hayo ya kujenga shule na hospital waachie serikali ndio jukumu laoMB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
Kumbe alimlamba kidoti...dah basi ana akili kubwa sana....mwanaume hela utumie kula mbususu hayo ya kujenga shule na hospital waachie serikali ndio jukumu lao
Tatizo umeambiwa anapenda big assLazima awe amekupendeza.... Ushawahi ku-DM??
Kidding!.
Hii mbususu imelambwa na wengi wakuu
Aaah mkuu ya kweli hayo?Harakati za kusambaza umeme kwenye gridi ya taifa.