Michael Blackson mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani yupo real sana

Michael Blackson mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani yupo real sana

Ana reception ilio changamka sana, sema tu Mungu hakunyimi vyote...😇
 
Muddasuckaaaa!

Blackson.jpg
 
Kuna movie waliigiza naMike Epps nilicheka sana scene ya Bwana Blackson. Hahahaa.. WaAfrica wengi watoto wao wanaoishi US wapo real. Kuna Rapper kutoka Houston, TX, Maxo Kream wazazi wake ni wa Africa kutoka Nigeria lakini jamaa kwenye album yake ya Punken ameongea ki-Nigeria cha asili kabisa then Akatafsiri kwa English. Yaani nilifurahi sana kuona watu wanaappreciate acenstors wao walipokulia.
 
Mkuu NBA ngumu sana sana. Wengine wanaishia kuwa omba omba. Yani ukifuatilia the dark side of NBA kuna stress nyingi na kuishi kwa mashaka
Hata European football, wapo waliovuma enzi hizo sasa wamegeuka manamba. Wengine wameishia kufanya kazi kwenye old folks homes au kuosha vyombo kwenye restaurants, kuwa na nidhamu ya matumizi na kuwekeza ni akili ambayo wengi hawana.
 
Huyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana anapenda kucheza miziki ya Afrika, vyakula vya nyumbani yeye ndio anakula hata akiwa marekan mara nyingi anakula ugali.

Pia anarudi sana kwao Ghana anajenga shule huko Ghana ili watoto wasome pia
Kila mara anaenda Kwao kwa mama yake, anapenda kuvaa nguo za vitenge
Anafaa kuigwa japo ana zile live zake za kutwerk na wadada wenye big ass Ila poa Tu.

Ingekuwa mwingine sipati picha ambavyo Angekuwa ananata
Na wengine muige muwe mnarudi nyumbani mfanye na vya maana sio kunywa bia tu
Michael yupo vizuri kiukweli anawapenda sana watu wake wa nyumbani kiujumla Afrika.

View attachment 1779465
Tatizo jina lake sio la ki afrika
 
Huyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana anapenda kucheza miziki ya Afrika, vyakula vya nyumbani yeye ndio anakula hata akiwa marekan mara nyingi anakula ugali.

Pia anarudi sana kwao Ghana anajenga shule huko Ghana ili watoto wasome pia
Kila mara anaenda Kwao kwa mama yake, anapenda kuvaa nguo za vitenge
Anafaa kuigwa japo ana zile live zake za kutwerk na wadada wenye big ass Ila poa Tu.

Ingekuwa mwingine sipati picha ambavyo Angekuwa ananata
Na wengine muige muwe mnarudi nyumbani mfanye na vya maana sio kunywa bia tu
Michael yupo vizuri kiukweli anawapenda sana watu wake wa nyumbani kiujumla Afrika.

View attachment 1779465
Morning mathafakaz[emoji16]
 
MB anafanya vizuri ,katika mastar wa bongo walionisikitisha mmoja wapo ni "Hashimu Sabiti" ,Jamaa alikuwa ashatoka kimaisha na angepata mshauri mzuri angefanya mambo makubwa sana nchini na kutengeneza ajira za kutosha,lakini mwili mkubwa akili kisoda akaishia kuwalamba kina Kidoti na kupiga mitama kina TID.
Kumbe alimlamba kidoti...dah basi ana akili kubwa sana....mwanaume hela utumie kula mbususu hayo ya kujenga shule na hospital waachie serikali ndio jukumu lao
 
Kumbe alimlamba kidoti...dah basi ana akili kubwa sana....mwanaume hela utumie kula mbususu hayo ya kujenga shule na hospital waachie serikali ndio jukumu lao

Yap alilamba mbususu ya kisarawe oyeeee!!
 
Back
Top Bottom