Michael Blackson mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani yupo real sana


Acha tu ulimbukeni/Ushamba ulimponza.
 
Watu wengi Marekani kila mmoja ana nchi yake.

Likitokea lolote utawaona wana support nchi zao.

Leo Palestina wako vitani, utawaona kina DJ Khaled wanaiombea nchi yao. Israel vivyo hivyo.

Kina Mia Khalifa - Lebanoni

US imekusanya idadi kubwa ya watu waliokimbia vita, mapigano, umasikini, udikteta, n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…