Michael Clifford ana uwezekano wa kuweka wazi majina ya wahusika wote ambao alifanya nao online conference ya kumpiga risasi Lissu

Michael Clifford ana uwezekano wa kuweka wazi majina ya wahusika wote ambao alifanya nao online conference ya kumpiga risasi Lissu

Kila kitu kitafumuliwa nje ndani, hii kesi iko London kwa watu wanaojielewa, ushahidi wote uko ndani ya TIGO kampuni la wazungu , mzungu hajawahi kushindwa kesi ya kizembe kama hii
Message za Watsup zilizofutwa zitapatikana?
 
Masikini wa akili na ufahamu wewe...

Kwanini umeshindwa kunisoma na kunielewa..?

Nimekuambia Samia Suluhu Hassan si mama yako wala wangu...

Huyu ni Rais wa JMT...

Anahusika na kuwajibika na kila kilichotokea na kinachotokea sasa hapa nchini sio kama mama yako wewe narogo bali kama Rais wako...

Mpaka hapo huelewi tu? Unadhani nakufokea?
Sio kwa povu hilo.
Unachogomba nn haswa!
We kama sio Mkurya basi utakuwa kabila la lile shetani lenu la Chato mana ndo lilikuwa na hulka za kufokafoka tu kama zako ht kwa vitu vidogo.
Yaani unafura kabisa kisa Samia kuitwa Mama!!
Basi vimba mpk upasuke mi narudia kumwita Samia Mama kama nnavyowaita akina mama wa mtaani kwetu walonizidi umri
 
Back
Top Bottom