Rais ni muajiriwa siyo MunguNidhamu ya wapi kwenu kibororoni??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shkamoo Bongo.Kumbe Nifah nawe ni mtoto hivyo. Alikuja mpaka kijitonyama mabatini polisi nyuma yake kuna kituo cha watoto wenye mtindio wa akili. Na mlinzi wake mmoja aliibiwa camera moja sony nzuri sana. Weee achaaa tu.
so sadmkuu acha kumsema mfu kwa ubaya hata kama kakosea kumbuka hakuna mkamilifu sisi wote ni wakosaji na mbona ana sifa nyingi tu nzuri kwa nini usizitaje hizo?mojawapo Michael alikuwa mpole na mwema sana kwa watoto wake,muangalie huyu mwanawe Paris anasema nini katika hii video
Mamndenyi tatizo tumeshazoweshwa kuwasifia marehemu... pengo halizibiki, aliishi vizuri, alikuwa mfano wa kuigwa....etc yaani hata majambazi wakifa maneno huwa ni hayoKakosea nini. Unawasema hadi marehemu.
Usiamini kila unalosikia Ndugu.Hivi kumbe alifanyaga naye mazungumzo,maana stori za mtaani wanasema aliishia uwanja wa ndege
Hahahaha concentration ingehamia wapi?Eti Magu angemkata kibao...acha kumsemea Mtu mwingine fikira zako......wakati concetration kubwa ingehamia kwenye kukamata hilo ng'eng'e linaloporomoshwa hapo na kurudisha majibu, hilo la alikaaje lingekuja kuonwa baadae kwenye picha kama tunavyoangalia sasa.
Mnaamini sana katika shuruti na utukufu, eti?View attachment 315530
Hutu tu michael tulikuwa na dharau sana.Tunawekaje miguu juu mbele ya Rais?Au alimwona mzee mwinyi dhaifu.Ingekuwa wakati huu Magufuli angemkata makofi na kumpa masaa 24 awe amerudi kwao.
Hakuna alipokosea. Ni nidhamu zetu tu za uoga watu wa Africa. Tunaona kama rais ndo mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shkamoo Bongo.
Hadi MJ kalizwa?
BTW...Mimi sio mdogo kihivyo mkuu [emoji126][emoji126][emoji126]
Asante kwa taarifa.
Nami nimetania tu mkuu...Hapana Nifah sijakuona mdogo nimetania tu. Ila kweli alilizwa hapo kijitonyama camera na vibaka wa bongo.