Michael Jackson (MJ) kamwe hawezi kumfikia Chriss Brown kwenye "kudance"

Michael Jackson (MJ) kamwe hawezi kumfikia Chriss Brown kwenye "kudance"

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Nimeona mijadala mingi sana watu wakijaribu kumfananisha Chriss Brown na Michael Jackson, wengi wakienda mbali saana na kusema Chriss ni mwanafunzi wa Michael Jackson, sikatai maana Mwanafunzi anaweza kua bora zaidi ya Mwalimu wake nimebaki kushangaa na kusikitika tu.

Hapa siongelei kuimba naongelea kucheza na kumiliki jukwaa, alichokifanya Michael Jackson, chriss anakifanya vizuri zaidi, lakini anachokifanya chriss, MJ hawezi hata kidogo na angejaribu angevunja mifupa yoote.

Nimeangalia show ya grammy award mwaka 1995 ambayo watu wanaisifiaa nikabaki kushangaa tu, sawa alikua anajua ila muda mwingi ni "kushake " na kutikisa kichwa tu, kurudi rudi nyuma, kuvaa vinyago mixer kupiga makelele, hata mimi ukinifundisha mwezi tu najua, lakini brizzy mwamba anaruka masarakasi, bending, flip za kutosha aaaah brizzy achana nae,

Kwenye kuimba MJ ni noma zaidi ya chriss brown.

Mawazo yangu yaheshimiwe.
 
Mkuu zamani tulikuwa tunatumia mkaa na watu wakabuni wakaja na jiko la mafuta, mara la umeme na kwa Sasa ndo hivi tunatumia majiko ya gesi, mfano huo nautoa Tena kwa Bruce Lee alipoanzisha style yake ya kimapigano ikajurikana ila Kuna watu wakajifunza style yake pia wakaongeza na style nyingine tofauti, na ndo hivyo hivyo kwa MJ na huyo mwana, alikuwa na style yake, kwaiyo jamaa amekuja kachukua za MJ Na kuongezea style zake tofauti ndo kama hivyo sarakasi, na kujikunja kunja hivyo nk.
 
Nimeona mijadala mingi sana watu wakijaribu kumfananisha Chriss Brown na Michael Jackson, wengi wakienda mbali saana na kusema Chriss ni mwanafunzi wa Michael Jackson, sikatai maana Mwanafunzi anaweza kua bora zaidi ya Mwalimu wake nimebaki kushangaa na kusikitika tu.
Hapa siongelei kuimba naongelea kucheza na kumiliki jukwaa, alichokifanya Michael Jackson, chriss anakifanya vizuri zaidi, lakini anachokifanya chriss, MJ hawezi hata kidogo na angejaribu angevunja mifupa yoote.
Nimeangalia show ya grammy award mwaka 1995 ambayo watu wanaisifiaa nikabaki kushangaa tu, sawa alikua anajua ila muda mwingi ni "kushake " na kutikisa kichwa tu, kurudi rudi nyuma, kuvaa vinyago mixer kupiga makelele, hata mimi ukinifundisha mwezi tu najua, lakini brizzy mwamba anaruka masarakasi, bending, flip za kutosha aaaah brizzy achana nae,

Kwenye kuimba MJ ni noma zaidi ya chriss brown.

Mawazo yangu yaheshimiwe.
Hapana ni maoni yako MJ ana vibe lake
 
Nimeona mijadala mingi sana watu wakijaribu kumfananisha Chriss Brown na Michael Jackson, wengi wakienda mbali saana na kusema Chriss ni mwanafunzi wa Michael Jackson, sikatai maana Mwanafunzi anaweza kua bora zaidi ya Mwalimu wake nimebaki kushangaa na kusikitika tu.
Hapa siongelei kuimba naongelea kucheza na kumiliki jukwaa, alichokifanya Michael Jackson, chriss anakifanya vizuri zaidi, lakini anachokifanya chriss, MJ hawezi hata kidogo na angejaribu angevunja mifupa yoote.
Nimeangalia show ya grammy award mwaka 1995 ambayo watu wanaisifiaa nikabaki kushangaa tu, sawa alikua anajua ila muda mwingi ni "kushake " na kutikisa kichwa tu, kurudi rudi nyuma, kuvaa vinyago mixer kupiga makelele, hata mimi ukinifundisha mwezi tu najua, lakini brizzy mwamba anaruka masarakasi, bending, flip za kutosha aaaah brizzy achana nae,

Kwenye kuimba MJ ni noma zaidi ya chriss brown.

Mawazo yangu yaheshimiwe.
Atamfikiaje wakati kasha fariki?
 
Mkuu zamani tulikuwa tunatumia mkaa na watu wakabuni wakaja na jiko la mafuta, mara la umeme na kwa Sasa ndo hivi tunatumia majiko ya gesi, mfano huo nautoa Tena kwa Bruce Lee alipoanzisha style yake ya kimapigano ikajurikana ila Kuna watu wakajifunza style yake pia wakaongeza na style nyingine tofauti, na ndo hivyo hivyo kwa MJ na huyo mwana, alikuwa na style yake, kwaiyo jamaa amekuja kachukua za MJ Na kuongezea style zake tofauti ndo kama hivyo sarakasi, na kujikunja kunja hivyo nk.
Point nzuri hii.
 
Hii nayo chai

Huwezi kumlinganisha Chris na Michael , Hata cris mwenyew atakukatalia

Michael anabaki kuwa mfalme wa Pop na Dance kiujumla.


Chris ana vingi vya kujifunza kwa Michael,



Moves za dance za cris hata k.dot anazipiga vizuri tu

Cris ana vingi vya kujifunz kwa bwaplatnum upande wa dance

Hzo sarakasi zake hata vijana wa pale kidamali wanazipiga vzuri tu
 
Cb hajaw
Nimeona mijadala mingi sana watu wakijaribu kumfananisha Chriss Brown na Michael Jackson, wengi wakienda mbali saana na kusema Chriss ni mwanafunzi wa Michael Jackson, sikatai maana Mwanafunzi anaweza kua bora zaidi ya Mwalimu wake nimebaki kushangaa na kusikitika tu.
Hapa siongelei kuimba naongelea kucheza na kumiliki jukwaa, alichokifanya Michael Jackson, chriss anakifanya vizuri zaidi, lakini anachokifanya chriss, MJ hawezi hata kidogo na angejaribu angevunja mifupa yoote.
Nimeangalia show ya grammy award mwaka 1995 ambayo watu wanaisifiaa nikabaki kushangaa tu, sawa alikua anajua ila muda mwingi ni "kushake " na kutikisa kichwa tu, kurudi rudi nyuma, kuvaa vinyago mixer kupiga makelele, hata mimi ukinifundisha mwezi tu najua, lakini brizzy mwamba anaruka masarakasi, bending, flip za kutosha aaaah brizzy achana nae,

Kwenye kuimba MJ ni noma zaidi ya chriss brown.

Mawazo yangu yaheshimiwe.
CB hajawai kuzimisha watu kama alivyofanya Mj
 
Back
Top Bottom