Michael Jackson special thread....

Michael Jackson special thread....

Kuna kasongi flani Cha Michael kanaitwa 'FOR ALL TIME'. he was pure talented
 
Nyimbo Za Mj Of All Time

1. Billie Jean
2.Human Nature
3.Smooth Criminal
4.The Way You Make Me Feel
5.Liberian Girl
6.Will You Be There
7.Man In The Mirror
8.Thiller
10.Dangerous

Za Kucheza
1.Bad
2.Smooth Criminal
3.Don't Stop Till You Get Enough
4.Billie Jean
5.Dangerous
6.Blood On The Dance Floor
7.Off The Wall
8. Thriller
9. Speed Demon
10. The Way you make me feel

Emotional
1.She's Out Of My Life
2.Man In The Mirror
3.I'll Be There
4.Heal The World
5.Heaven Can Wait
6.Will You B There
7.Billie Jean
8.Lost Children
9.You're Not Alone
10.Break Of Down
 
Na SAA 7 hii Ya usiku ninabeng"" ns kwanja zake, HUYU MTU NI WA HATARI SANA_, KAMA YUPO HAI VILEEE... MICHAEL JACKSON, "HE LIVES ON"
 
Screenshot_20180412-071021.jpg

Hapa Alikuwa Akiimba Heal The World , Pamoja Na Watoto.
 
Mimi zote ninazipenda ila zaidi Thriller watu wanafufuka
 
Kuna yule legendary wa pop and rock..James Brown aliwahi kuulizwa kuhusu Michael akasema "Michael makes me rethink why I'm I considered the king of pop while I see a young man who is legend and king at his young age."
 
Then issue nyingine ilikuwa kwa Trump miaka ile ya 1990's alikuwa akiarika watu mashuhuri kwenye kasri lake la Trump tower mwafrika pekee aliekuwa anamuarika alikuwa Wacko Jacko pekee na akiulizwa na watu wa habari why only one black man? Anasema neno moja tu kwamba "Michael is special" so don't talk about Michael.

Alikuwa anawaona waafrika wote kama nyani tu lakini ikifika kwa Michael anakwambia yule dogo nuache kama alivyo..yule sio mwafrika wala mzungu he is special human being.

Kweli MJ alikuwa ana genius level talent ya hali ya juu.

Pia kuna kipindi alikuwa anafanya kazi na Akon kwenye ile ngoma ya "Hold my hand" Akon anakwambia Michale ni perfectionist anapenda vitu vikamilike to infinity..unaambiwa kila muda Akon alikuwa akifika studio na kuiskiza ile ngoma anaiona ni Kali balaa...lakini akifika Michael anamwabia Akon ngoma bado kidogo...hadi anakufa ile ngoma ilikuwa haijatoka sababu Wacko aliamini haijakaa fresh..but ilipotoka kila mtu akaikubali kwamba ni Kali but kwa Michael ilikuwa ya kawaida sana.

Perfectionist ...Wacko Jacko!
 
Then issue nyingine ilikuwa kwa Trump miaka ile ya 1990's alikuwa akiarika watu mashuhuri kwenye kasri lake la Trump tower mwafrika pekee aliekuwa anamuarika alikuwa Wacko Jacko pekee na akiulizwa na watu wa habari why only one black man? Anasema neno moja tu kwamba "Michael is special" so don't talk about Michael.

Alikuwa anawaona waafrika wote kama nyani tu lakini ikifika kwa Michael anakwambia yule dogo nuache kama alivyo..yule sio mwafrika wala mzungu he is special human being.

Kweli MJ alikuwa ana genius level talent ya hali ya juu.

Pia kuna kipindi alikuwa anafanya kazi na Akon kwenye ile ngoma ya "Hold my hand" Akon anakwambia Michale ni perfectionist anapenda vitu vikamilike to infinity..unaambiwa kila muda Akon alikuwa akifika studio na kuiskiza ile ngoma anaiona ni Kali balaa...lakini akifika Michael anamwabia Akon ngoma bado kidogo...hadi anakufa ile ngoma ilikuwa haijatoka sababu Wacko aliamini haijakaa fresh..but ilipotoka kila mtu akaikubali kwamba ni Kali but kwa Michael ilikuwa ya kawaida sana.

Perfectionist ...Wacko Jacko!
Mkuu Uchambuzi Wako Umenikosha.
Kuna Vitu Vingi Nyuma Ya Pazia Hatuvijui Kuhusu MJ.

Pia Kitu Cha Tofauti Nilicho Kiona Allikuwa Concerned Sana Na Wahitaji Kipindi Cha 2000 Till His Death.
Amefanya Tour Nyingi Africa.
 
Ila wanasema huyu jamaa alikuwa ni mfalme Wa ulimwengu Wa Giza ni kweli!?
 
Hayo Ni Masuala Nyeti.
Anayejua Ni Yeye Na Mungu Wake.
Ila Mziki Wake Hata Kama Alikuwa Anatumika Na Shetani Aisee Waliwin Kuteka Watu.

All In All Michael Jackson Ni Legendary.
 
Hii picha ni kutoka Video ta Smooth Criminal inayopatikana kwenye Album yake ya "BAD" ya mwaka 1987..

Ukiangalia hii video, huyu jamaa alikuwa mbali sana kulinganisha na watu wengine wa miaka hiyooo na hata sahizi hii video kuanzia idea yake , dance moves, na kila kitu ni bonge moja la videoView attachment 738372

Hatari sana hii "[emoji445] [emoji443] ..Annie you're ok.."[emoji445] [emoji443] [emoji442] × 9
 
Nyimbo Za Mj Of All Time

1. Billie Jean
2.Human Nature
3.Smooth Criminal
4.The Way You Make Me Feel
5.Liberian Girl
6.Will You Be There
7.Man In The Mirror
8.Thiller
10.Dangerous

Za Kucheza
1.Bad
2.Smooth Criminal
3.Don't Stop Till You Get Enough
4.Billie Jean
5.Dangerous
6.Blood On The Dance Floor
7.Off The Wall
8. Thriller
9. Speed Demon
10. The Way you make me feel

Emotional
1.She's Out Of My Life
2.Man In The Mirror
3.I'll Be There
4.Heal The World
5.Heaven Can Wait
6.Will You B There
7.Billie Jean
8.Lost Children
9.You're Not Alone
10.Break Of Down
Dirty Diana.
 
Back
Top Bottom