Umslopagaas
Member
- Nov 13, 2016
- 47
- 112
Huyu mwamba hakuwahi kuandika kitabu cha historia yake?
Asante Mkuu. Nimekiona Amazon Kindle 7USDOn My Father’s Wings
Kitakupa majibu mengi ambayo humu yanuulizwa. Ameeleza history ya maisha yake, biashara alizofanya na changamoto zake pamoja na biashara ya ndege kwa ujumla
Asante Mkuu. Nimekiona Amazon Kindle 7USD
Wahuni wanatambaa na fursa. Vipi kile cha Le Mutuz? "My American Dream" at a 5 star hotel. U know!Kwa TZ Elite Bookstores wanacho pia, kilikuwa 35k sasa kimefika 50k
M.City hapo ni 50,000/tu...ni kizuri tukisome hatutauliza Wala kuwazia mabaya kwa wengine. Mzee amejitahidi sana kuacha alamaAsante Mkuu. Nimekiona Amazon Kindle 7USD
mmh hii Bei ya 35,000 ni ya wapi? Tangia siku anazindua kinauzwa 50,000/-... eneweiKwa TZ Elite Bookstores wanacho pia, kilikuwa 35k sasa kimefika 50k
Bia za kumwaga. Chunga puru yako tu.View attachment 2658501
Ngoja nasi tujongee Kijiji Cha nayeme kwa ajili ya safari ya kumuaga mpendwa wetu ngaleku
AseeBia za kumwaga. Chunga puru yako tu.
Huyu mwenyewe mgogo maana mpwayungu ni Kijiji kipo ugogoni ukipita mpunguzi Kwa mbele hukoooMwanangu una tatizo lolote na wagogo?Dako lyako.
Alikuwa mpenzi na mwanamichezoHivi hapa wamemaanisha Nini hizo fimbo?
View attachment 2660038
Umaskini mbayaMnufaika wa ufisadi habari zenu hamzipendi, ulikua haujazaliwa bado kujua haya
Hasa uliotokana na ufisadi,check fisadi anapiga pesa zote za mradi unaoweza waondolea wananchi umasikini na hatua achukuliwiUmaskini mbaya