Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Njelela ndio ile video mtoto alihojiwa anasema anenda Njelela kwa mjomba
Marianus.
Marianus.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NIlivyoelewa amemaanisha kuwa hao walimu wanalipwa 100,000/= kwa kila mmoja kwa mwezi ikiwa ni posho yao.Shida Iko hapo kuwalipa hao walimu wanao jitolea hiyo pesa ni kubwa sana ukichuka idadi ya wanafunzi 400 × 100,000=40,000,000/= Kwa mwezi na walimu wenyewe wako 3 sio sawa kabisa
Sawa sawa nashukuru Kwa ufafanuzi Mimi nilielewa tofautiNIlivyoelewa amemaanisha kuwa hao walimu wanalipwa 100,000/= kwa kila mmoja kwa mwezi ikiwa ni posho yao.
Hiyo 100,000/= ya posho kwa mwalimu inatokana na 10,000 ya mchango ikiwa ni sehemu ya ile 15,000/=
Hakuna mchango wa 100,000/=
Kama alivyosema👇
"Mchanganuo wa michango hiyo ipo kama ifuatavyo: -
a) 5,000/- ya kukobolea Mahindi
b) 10,000/- inatumika kwenye matumizi mengine ikiwemo kulipia Walimu hao wanaojitolea."