Uchaguzi 2020 Michango kwa Tundu Lissu: Huyu mbeba mizigo Kariakoo amenitoa chozi

Uchaguzi 2020 Michango kwa Tundu Lissu: Huyu mbeba mizigo Kariakoo amenitoa chozi

HII KIKI NA IGIZO HILI NALO LITABUMA VIBAYAA SAANAA. YAAANI MNAKUTANA CHUMBANI HAPO UFIPANI MNATUNGA NGONJERA WENYEWEE HALAFU MNATUPIA APA MTANDAONII?? SHIDA KWELI KWELIIII.
Usipanic chukilia kawaida tu na Ni mtazamo wake mwanaccm mwezako kaamua
 
Ccm weanza kutafuta wasaliti hali mbaya.
Kiujumla hakuna USALITI ni matokeo ya kukandamiza uhuru kwa kipindi chote toka 2016 hadi kipindi cha kampeni hizi za 2020.
Kura nyingi za upinzani zitatoka ccm kwakuwa mmeshindwa kuleta maendeleo kwa wapiga kura,mmefanya vitu ambavyo hamkutumwa,mnialazimisha tu!
Reli,umeme wa nyerere,flyover,midege hayakuwa mahitaji ya sasa.Biashara zimekufa,fedha zimepotea,maisha yamekuwa magumu,usalama wa maisha haupo tena.Watu wamechoka sana kiujumla,watumishi ndio usiseme.
#NI YEYE
 
HII KIKI NA IGIZO HILI NALO LITABUMA VIBAYAA SAANAA. YAAANI MNAKUTANA CHUMBANI HAPO UFIPANI MNATUNGA NGONJERA WENYEWEE HALAFU MNATUPIA APA MTANDAONII?? SHIDA KWELI KWELIIII.
Kama vile umepaniki.Relax mkuu uuone uzee.utakufa kabla ya siku zako.
 
HII KIKI NA IGIZO HILI NALO LITABUMA VIBAYAA SAANAA. YAAANI MNAKUTANA CHUMBANI HAPO UFIPANI MNATUNGA NGONJERA WENYEWEE HALAFU MNATUPIA APA MTANDAONII?? SHIDA KWELI KWELIIII.
Akili huna hiv umesoma hyo content kweli....ivi hujui kama imetoka lumumba
 
Bora kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti , Mimi Sina akili za kinafiki nimuunge mkono mtu aliyetesa watanzania kwa miaka mitano , waendelee tu viongozi wa dini wanafiki , sisi wengine hatujaumbwa na roho za kinafiki kusapoti insanity inayoendelea nchini .
 
Back
Top Bottom