Sasa elimu Bure ina maana gani?wananchi waambie hakuna elimu Bure wajiandae mapema,huku kuwarudisha watoto nyumbani kunawadhiri kisaikolojia Kama ingekuwa wazi hizo gharama wangejiandaa Ila makelele elimu Bure yaleta shidaAcha kupenda vya bure wewe, Mimi mwenyewe Kuna dogo nampeleka next week akaanze shule nimeambiwa nipeleke kiti na meza nimechukulia kawaida tu, Kama vipi mpeleke shule ya baba ako(yaani shule ya babu yake huyo mwanao) ambayo hakuna mchango hata kidogo. Mtoto umemzaa mwenyewe unapenda vya bure bure tu.
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.
Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
Na huu ndio ukweli.Sasa elimu Bure ina maana gani?wananchi waambie hakuna elimu Bure wajiandae mapema,huku kuwarudisha watoto nyumbani kunawadhiri kisaikolojia Kama ingekuwa wazi hizo gharama wangejiandaa Ila makelele elimu Bure yaleta shida
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wewe uliyechukulia kawaida ndo hujielewi. Ni sheria ipi inayozuia mwanafunzi mwanafunzi kuanza masomo kama hajapeleka dawati na fyekeo?Acha kupenda vya bure wewe, Mimi mwenyewe Kuna dogo nampeleka next week akaanze shule nimeambiwa nipeleke kiti na meza nimechukulia kawaida tu, Kama vipi mpeleke shule ya baba ako(yaani shule ya babu yake huyo mwanao) ambayo hakuna mchango hata kidogo. Mtoto umemzaa mwenyewe unapenda vya bure bure tu.
Toa ndugu, toa ndugu ulichonacho!
[emoji276][emoji1535]