OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mimi nitachangia laki 2.5 jioni ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chukua hiyo kama ulikuwa hujuiAisee Kumbe Lema ni kigogo
Mungu akuongezeeMimi nitachangia laki 2.5 jioni ya leo
Huna akili ya Kibinadamu wewe, unachokosoa hata hakieleweki, na hapo ulipo inaonekana una maisha magumu na una ugomvi hata a nafsi yako.Kwahiyo kila mchangiaji humu ni mwanasiasa!?,au kila anayekosoa jambo la CHADEMA haitakii mema!?,hivi shule mlienda kusomea nini?
Huyu Lema ndio kigogo!🤣🤣🤣🤣
Uko sahihiHuyu Lema ndio kigogo!🤣🤣🤣🤣
Hahaa.....let it be so😂😂😂
Anajiandalia Uwaziri huko mbele😃
Mtu ambaye Hali Rushwa kama ccm na chawa wengine unadhani ni Mchezo kumzawadia Mtu 5M cash?Huyu Lema ndio kigogo!🤣🤣🤣🤣
HaswaaAisee Kumbe Lema ni kigogo
So you Trusted Him? Now unstrust?This is an abuse of public trust.
Never trusted the guy.So you Trusted Him? Now unstrust?
Si amchangie tu matangazo ya nini nae rushwa walizochukua wanastahili bila kelele!
Who are you by the way?Never trusted the guy.
Kwani wewe nani pia.Who are you by the way?
Uchaguzi gani boss, Tanzania hakuna uchaguzi Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Hivi kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliobakiza miezi michache na uchaguzi mkuu mwakani, CHADEMA hamna sera mpya za kutangaza mitandaoni zaidi ya hizi CHEAP politics za kuchangia gari la mtu mmoja ndani ya chama!?,hivi kwa ukubwa wa CDM hamuoni ni aibu na kejeli kushindwa kumnunulia Makamu mwenyekiti gari mpaka mchangishe ela mwezi mzima kutoka kwa wanyonge!??,.. haya ndio mambo huwa yanaonyesha hampo serious kabisa.
Haya ungemwambia Mbowe anayetafuna tu hela za Ruzuku!!Hivi kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliobakiza miezi michache na uchaguzi mkuu mwakani, CHADEMA hamna sera mpya za kutangaza mitandaoni zaidi ya hizi CHEAP politics za kuchangia gari la mtu mmoja ndani ya chama!?,hivi kwa ukubwa wa CDM hamuoni ni aibu na kejeli kushindwa kumnunulia Makamu mwenyekiti gari mpaka mchangishe ela mwezi mzima kutoka kwa wanyonge!??,.. haya ndio mambo huwa yanaonyesha hampo serious kabisa.