Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Changa changa mkuu, kutoa ni moyo, we kula mwendokasi swaafi kabisa!Tuliza mshono kitu cha Dukani kinakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changa changa mkuu, kutoa ni moyo, we kula mwendokasi swaafi kabisa!Tuliza mshono kitu cha Dukani kinakuja.
Najisikia fahari sana kumchangia mhanga wa Utawala DHALIMU wa CCM.Changa changa mkuu, kutoa ni moyo, we kula mwendokasi swaafi kabisa!
-Mimi Crocodiletooth nitachangia million 2.
Lema kumbe siyo mtu wa mchezo mchezo
Kwani walipata matatizo?NASHAURI NI VYEMA TUKAWACHANGIA VIONGOZI WOTE WAANDAMIZI WA CHADEMA, MWENYEKITI, KAIMU WAKE, NA TOP LEADERS WOTE, TUSIBAGUE HAWA WOTE NI VIONGOZI WA CHAMA.
-Wekeni simu za mbowe hapa, tuanze kazi, chadema ni uzalendo, Wekeni namba za,
°Mwenyekiti, na wote, hapa!
Mkuu pole sana kwa kufundisha hawa wajinga
Ahadi yako tasafali ndugu Crocodileteeth,kwani Tz yetu sote na wenye nia njema na taifa hili ni wakuungu mkono kwa nguvu,ari hamasa na kila aina ya uwezeshaji ili kazi yao nzuri isonge mbele kama alivyo mwamba TAL🤔MBWEMBWE ZA KUONGEZA HAMASA, QUI QUI QUI.
Mbowe kawakosea nini lakini? Mbona watu hawachoki kuntaja Mbowe, Lissu CHADEMA? Tanzania ina wanasiasa wengi tu wa upinzani. Na wao wanastahili kutajwatajwa.Haya ungemwambia Mbowe anayetafuna tu hela za Ruzuku!!
Hivi kati ya Messi Ronaldo na Mo nani tajiri zaidi.Huna uwezo huo na nilishakwambia huko nyuma, unawaitaga watu maskini, kapuku humu, nikakwambia wewe ni mtu wa kawaida tu sema una ushamba fulani wa wale watu wanaokuwaga wamezungukwa na watu wa hali ya chini, basi kumiliki gari au nyumba mnajionaga tajiri. Niliwahi kukwambia hakuna tajiri, mwenye asili ya utajiri kwao anayemwitaga binadamu mwingine kapuku au maskini. Wewe una ela ya kubadilisha mboga tu. Ni mpiga debe wa Mbowe tu(CHAWA wake).
Kingine hakuna tajiri DUNIANI anayeshinda mitandaoni masaa 24 akipiga debe maswala ya kisiasa kichawa kama ufanyavyo wewe, hayupo. Matajiri wapo bize na mambo mengine ya msingi sio uchawa wa viongozi. Kwenye orodha ya matajiri hata wa eneo dogo kama Makambako au Njombe haupo. ONDOA hiyo mentality kichwani mwako watu hua wanakuchora tu humu, wanakuona limbukeni usiye na exposure yoyote. Messi na Ronaldo tuwaiteje kama we tajiri!?..
Naunga hojaKwa vile gari lina comprehensive insurance class one, nachangia mawazo kwamba fungua madai insurance wacha kuchangisha masikini. Zipo fedha za mafao, rainbow, Ujerumani, Ubeligiji na wafadhili hazitoshi?
Kuna mwenyekiti wa CCM wa Mkoa fulani amechanga.Uzuri michango kama hii hata sisi wana CCM huwa tunachanga, ni vile tu hatuwezi kukiri mbele ya viongozi wetu.
Uzuri michango kama hii hata sisi wana CCM huwa tunachanga, ni vile tu hatuwezi kukiri mbele ya viongozi wetu.
Uzuri michango kama hii hata sisi wana CCM huwa tunachanga, ni vile tu hatuwezi kukiri mbele ya viongozi wetu.