Michango ya Gari Jipya la Tundu Lissu yazidi kusonga mbele, Vigogo waanza kutoa vitita vizito

Michango ya Gari Jipya la Tundu Lissu yazidi kusonga mbele, Vigogo waanza kutoa vitita vizito

Narudia chama kikuu cha upinzani kupitusha bakuli kuchangisha michango ya kununua gari la Makamu mwenyekiti wa chama ni AUBU. Hilo lingefanyika miaka ya 1995 ndo chama kina miaka 2 au 3 ya kuanzishwa ni sawa, sio baada ya miaka 30. Hivi hamlioni hilo!?,au kwasababu limeanzishwa na Lissu basi mnaona sawa na kukenua kama MAZUZU. Kama miaka za 30 ya uhai wa chama bado mnachangisha ela kumnunulia Makamu mwenyekiti wa chama gari, hamko SERIOUS. Mwenye akili atanielewa.
CCM mna akili za kifisadi sana..... sasa ulitaka watumie hela za chama kumnunulia mmkiti gari? Ndio unaona ingekuwa matumizi bora hayo???
Na kama ingefanyika hivyo mngekuwa wa kwanza kuruka hewani na lawama za ufisadi ndani ya CDM, viongozi watumia mamilioni kujinunulia magari.....
 
Kwa vile gari lina comprehensive insurance class one, nachangia mawazo kwamba fungua madai insurance wacha kuchangisha masikini. Zipo fedha za mafao, rainbow, Ujerumani, Ubeligiji na wafadhili hazitoshi?
 
Hivi kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliobakiza miezi michache na uchaguzi mkuu mwakani, CHADEMA hamna sera mpya za kutangaza mitandaoni zaidi ya hizi CHEAP politics za kuchangia gari la mtu mmoja ndani ya chama!?,hivi kwa ukubwa wa CDM hamuoni ni aibu na kejeli kushindwa kumnunulia Makamu mwenyekiti gari mpaka mchangishe ela mwezi mzima kutoka kwa wanyonge!??,.. haya ndio mambo huwa yanaonyesha hampo serious kabisa.
Cheap politics halafu wanataka kutawala nchi hii. HAIWEZEKANI!!!
 
We
Hivi kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliobakiza miezi michache na uchaguzi mkuu mwakani, CHADEMA hamna sera mpya za kutangaza mitandaoni zaidi ya hizi CHEAP politics za kuchangia gari la mtu mmoja ndani ya chama!?,hivi kwa ukubwa wa CDM hamuoni ni aibu na kejeli kushindwa kumnunulia Makamu mwenyekiti gari mpaka mchangishe ela mwezi mzima kutoka kwa wanyonge!??,.. haya ndio mambo huwa yanaonyesha hampo serious kabisa.
Zuzu wa Lumumba kwani wewe hufurahii sera za chama cko cha mambuzi hadi uzi5ake za CHADEMA!?. 😂
 
Kwa vile gari lina comprehensive insurance class one, nachangia mawazo kwamba fungua madai insurance wacha kuchangisha masikini. Zipo fedha za mafao, rainbow, Ujerumani, Ubeligiji na wafadhili hazitoshi?
Wewe kula yako ya kuunga unga huna uwezo wa kuchangia na hakuna aliyekuletea fomu ya mchango.
 
Hivi kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliobakiza miezi michache na uchaguzi mkuu mwakani, CHADEMA hamna sera mpya za kutangaza mitandaoni zaidi ya hizi CHEAP politics za kuchangia gari la mtu mmoja ndani ya chama!?,hivi kwa ukubwa wa CDM hamuoni ni aibu na kejeli kushindwa kumnunulia Makamu mwenyekiti gari mpaka mchangishe ela mwezi mzima kutoka kwa wanyonge!??,.. haya ndio mambo huwa yanaonyesha hampo serious kabisa.
Ila walimwengu ni noma sana. Chadema wangemnunulia gari..mngewachamba kwamba wakubwa wanapendeleana kwa kununuliana magari ya kifahari. Moto ungewaka! Wameamua kutumia grassroot approach…mnawashukia.

Dunia ni ngumu sana ukitaka kumridhisha kila mtu.
 
Narudia chama kikuu cha upinzani kupitusha bakuli kuchangisha michango ya kununua gari la Makamu mwenyekiti wa chama ni AUBU. Hilo lingefanyika miaka ya 1995 ndo chama kina miaka 2 au 3 ya kuanzishwa ni sawa, sio baada ya miaka 30. Hivi hamlioni hilo!?,au kwasababu limeanzishwa na Lissu basi mnaona sawa na kukenua kama MAZUZU. Kama miaka za 30 ya uhai wa chama bado mnachangisha ela kumnunulia Makamu mwenyekiti wa chama gari, hamko SERIOUS. Mwenye akili atanielewa.

..hujasikia DONALD TRUMP anachangisha wananchi kwa ajili ya makesi yake na kampeni?

..Je, unajua chama cha Republican kina miaka mingapi tangu kianzishwe?

..Chama na harakati za kisiasa zinapaswa kugharamiwa na wananchi wenyewe kwa kujitolea fedha, muda, na maarifa.

..Ccm imeharibu fikra na mitizamo ya vijana wetu ndio maana umekuja na hoja kama hii. Sio kosa lako.
 
..hujasikia DONALD TRUMP anachangisha wananchi kwa ajili ya makesi yake na kampeni?

..Je, unajua chama cha Republican kina miaka mingapi tangu kianzishwe?

..Chama na harakati za kisiasa zinapaswa kugharamiwa na wananchi wenyewe kwa kujitolea fedha, muda, na maarifa.

..Ccm imeharibu fikra na mitizamo ya vijana wetu ndio maana umekuja na hoja kama hii. Sio kosa lako.
Mkuu pole sana kwa kufundisha hawa wajinga
 
Nina buku 3 yangu hapa, ila sichangii, ngoja nikanunue yogurt, niwe nakunywa huku natizama wachangiaje.
 
Hivi kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliobakiza miezi michache na uchaguzi mkuu mwakani, CHADEMA hamna sera mpya za kutangaza mitandaoni zaidi ya hizi CHEAP politics za kuchangia gari la mtu mmoja ndani ya chama!?,hivi kwa ukubwa wa CDM hamuoni ni aibu na kejeli kushindwa kumnunulia Makamu mwenyekiti gari mpaka mchangishe ela mwezi mzima kutoka kwa wanyonge!??,.. haya ndio mambo huwa yanaonyesha hampo serious kabisa.
Sera ni nini na zinatumika wapi?
Jibu kama una akili.
 
MBWEMBWE ZA KUONGEZA HAMASA, QUI QUI QUI.
Tuliza mshono, kitu cha Dukani kinakuja, Double Armored Plate hata huyo Mkuu wenu wa Mkoa akija na Wasiojulikana wake na Mabunduki safari hii Risasi haziingii.
 
Back
Top Bottom