Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nimeliona mkuu, 100%Michango ya harusi siku hizi ni biashara za watu,shtuka
Umemtaja Alhamis akafariki IjumaaImekua biashara mkuu, mtu kama dida wa wasafi atakua anachangisha kila kukicha anachota mahela tu
Mambo☺️Na usipochanga unanuniwa 😄😄
Dida amekufa?? 😳😳😨 nmefuta comment mkuu dahUmemtaja Alhamis akafariki Ijumaa
Ndiyo hivyoDida amekufa?? 😳😳😨 nmefuta comment mkuu dah
Imagine mchango wa kipaimara, upuuzi tu bora tuonekane mabandiduNa siku hizi kuna wapuuzi wanaomba hadi michango ya graduation, vipaimara sijui na Birthday. Shenzi kabisa sijui sherehe zao huwa ni dharula au wanahisi ni kitu flani cha lazima mtu kutoa.
Mwingine hujawasiliana naye zaidi ya miaka 3 ukiona simu inaita unawaza hapa kama sio mchango sijuiunakuta kweli anaomba mchango anaoa. Wadau wanazingua sanaa.
Ya kwangu nilifanya hivi mpaka leo amani ndugu wanabaki wakishangaa tu hawazubutu kunisumbua kuchangaPlan yangu ya kuoa nimepanga watakao hudhuria harusi yangu ni wazazi wangu na ndugu watatu, wazazi wa mwanamke na ndugu zake 10 hakuna kuomba michango, wala hakuna habari za mziki na kukodisha kumbi za sherehe ndoa inafungwa Asubuhi hadi saa 12 kila mtu anarudi kwake.
Yote hii ni kutaka kuiga kunya kwa tembo kupasuka msamba.Habari za kuchakarika wakuu,
Aisee hapa navyoandika nimeungwa kwenye magroup matatu ya harusi zinazokuja mwisho wa mwaka huu, 1 ni binti ndugu wa ukoo sio immediate family link kwa mababu huko, mmoja ni jamaa nilitinga nae job kabla sijahamia nilipo, mwingine jamaa tumesoma wote high school.
Me nilioa harusi ya kiislam very simple hawakuzidi watu 200 hv vyakula ilikua chai ya maziwa, tende, sambusa, kabab, cookies, kuku za kukaanga na juice za azam embe vichupa vidogo na maji vichupa vidogo na watu wote walikula na kubeba , eneo nyumba ya ndugu yake wife (hatukutaka ukumbi), kwa kifupi nilitoa 2M tu kufanikisha shughuli + mapambo, usafiri.
Kusema ukweli ukiangalia vzuri sku hz watu wanatumia michango kutafuta mitaji or else mana haiwezekani eti unaweka kiwango cha chini labda 100,000/=
Unakuta mtu hamjaongea kitambo hakuna ukaribu unashangaa simu imeita unapewa taarifa! punde umeungwa kwenye group watu wametiririka ma plege.
Mwezi uliopita kuna jamaa mwngine aliniunga kwenye group pledge kiwango cha chini 200,000 nikamwambia me ntakusupport laki akasema poa ila nilibanwa nikatuma 50k nikamwambia ingne ntamalizia. Asee simu zkawa za usumbufu nikawa simpokelei hadi sku naona status kaoa nikampa hongera akanilia buyu blue tick tu. Nikaja kuonana nae town ananipa attitude nkasema safi ndo imeisha hiyo ila najuta ata kwann nlituma 50 yani unamaind kisa sina? Na muda huo najua kabisa washkaji wetu wengine kweny hiyo circle hawakutoa kabisa.
Wadau mnaonaje hv inakuaje u force michango hivyo kwa jambo linalokuhusu ww na huyo mwenzio kwann utuwajibishe watu kutoa ma ahadi ya kishingo upande imradi tu tusigombane wakati hali yenyewe mambo kizungumkuti songombingo mafrekeche ya kutosha.
Kama hujajipanga kuoa si kausha kwanza, watu tuna support ila imekua too much imekua ni shuruti sasa dah, usipotoa unaonekana mbinafsi na haufungamani na jamii.
Sijioni nikiendelea kua mtoa michango sijioni kabisa kwanza in real sense nakuchangia kwenda kukojozana kwenye hotel honeymoon uko... Shabaash,!!
amna banaUzuri siku hizi WhatsApp ukileft hamna anaejua.
For sureamna bana
ngoja kuna makundi ni kama niliwekwa kifungoni wacha niyafanyie kazi kwa mstariFor sure
KWema mkuu?Mambo☺️
Mimi kanuni yangu sichangii harushi maana ni voluntary and non emergence action. Nachangia ugonjwa na misiba. Aidha, hata mimi sichangishi harusiWee ndo tunaelewana sasa ni watu mnaheshimiana huwezi kuwakazia kibandidu
😂😂 sema 14 kazi unayo mkuu
Ndio maana mimi sina marafiki,na ukifika muda wa kuoa ni kibabe tu naenda kuchukua huko kijijini weka gumba kwa DC overMi hapa Nina kadi 14 na ni kwahii oct mpaka dec, hata sijui nafanyaje..shida ni watu wa karibu mno hata pakuchomokea hupaoni!