Michango ya harusi imekua kero kwangu, mbona mimi sikuchangisha mtu ata senti moja

Michango ya harusi imekua kero kwangu, mbona mimi sikuchangisha mtu ata senti moja

Habari za kuchakarika wakuu,

Aisee hapa navyoandika nimeungwa kwenye magroup matatu ya harusi zinazokuja mwisho wa mwaka huu, 1 ni binti ndugu wa ukoo sio immediate family link kwa mababu huko, mmoja ni jamaa nilitinga nae job kabla sijahamia nilipo, mwingine jamaa tumesoma wote high school.

Me nilioa harusi ya kiislam very simple hawakuzidi watu 200 hv vyakula ilikua chai ya maziwa, tende, sambusa, kabab, cookies, kuku za kukaanga na juice za azam embe vichupa vidogo na maji vichupa vidogo na watu wote walikula na kubeba , eneo nyumba ya ndugu yake wife (hatukutaka ukumbi), kwa kifupi nilitoa 2M tu kufanikisha shughuli + mapambo, usafiri.

Kusema ukweli ukiangalia vzuri sku hz watu wanatumia michango kutafuta mitaji or else mana haiwezekani eti unaweka kiwango cha chini labda 100,000/=

Unakuta mtu hamjaongea kitambo hakuna ukaribu unashangaa simu imeita unapewa taarifa! punde umeungwa kwenye group watu wametiririka ma plege.

Mwezi uliopita kuna jamaa mwngine aliniunga kwenye group pledge kiwango cha chini 200,000 nikamwambia me ntakusupport laki akasema poa ila nilibanwa nikatuma 50k nikamwambia ingne ntamalizia. Asee simu zkawa za usumbufu nikawa simpokelei hadi sku naona status kaoa nikampa hongera akanilia buyu blue tick tu. Nikaja kuonana nae town ananipa attitude nkasema safi ndo imeisha hiyo ila najuta ata kwann nlituma 50 yani unamaind kisa sina? Na muda huo najua kabisa washkaji wetu wengine kweny hiyo circle hawakutoa kabisa.

Wadau mnaonaje hv inakuaje u force michango hivyo kwa jambo linalokuhusu ww na huyo mwenzio kwann utuwajibishe watu kutoa ma ahadi ya kishingo upande imradi tu tusigombane wakati hali yenyewe mambo kizungumkuti songombingo mafrekeche ya kutosha.

Kama hujajipanga kuoa si kausha kwanza, watu tuna support ila imekua too much imekua ni shuruti sasa dah, usipotoa unaonekana mbinafsi na haufungamani na jamii.

Sijioni nikiendelea kua mtoa michango sijioni kabisa kwanza in real sense nakuchangia kwenda kukojozana kwenye hotel honeymoon uko... Shabaash,!!
Siku nyingine usijichoshe kuanzisha uzi. Unatulia na kuendelea na harakati zingine tu.
 
Kama mama yako mzazi bado yupo hai, hio mipango yako, isahau, mama zetu wa kiafrika ndo huwa Wana shughuli, utaona wageni hao siku ya harusi hata huwafahamu wewe kazi yako kupokea zawadi na kuwashika mikono😃😃

Haya ni maneno ya wengi wanaopenda sherehe kusingizia mama zao.

Majizo mama yake yupo hai. Na lulu mama yake yupo hai. Ila hawajafanya sherehe kubwa ya kuitaji michango.

Millard ayo mama yake yupo hai ila hajafanya sherehe kubwa ya kuitaji michango.
 
Moja ya kanuni zangu za kuishi kwa furaha ni kwamba huwa sichangii harusi, send off, au birthday. Na ukileta kadi nakuambia hapo hapo kuwa "MIMI HUWA SICHANGII SHEREHE ZA HARUSI, SEND OFF NA BIRTHDAY". Hili limenisaidia kuishi kwa amani na imesaidia kuwa na marafiki wachache.
 
Habari za kuchakarika wakuu,

Aisee hapa navyoandika nimeungwa kwenye magroup matatu ya harusi zinazokuja mwisho wa mwaka huu, 1 ni binti ndugu wa ukoo sio immediate family link kwa mababu huko, mmoja ni jamaa nilitinga nae job kabla sijahamia nilipo, mwingine jamaa tumesoma wote high school.

Me nilioa harusi ya kiislam very simple hawakuzidi watu 200 hv vyakula ilikua chai ya maziwa, tende, sambusa, kabab, cookies, kuku za kukaanga na juice za azam embe vichupa vidogo na maji vichupa vidogo na watu wote walikula na kubeba , eneo nyumba ya ndugu yake wife (hatukutaka ukumbi), kwa kifupi nilitoa 2M tu kufanikisha shughuli + mapambo, usafiri.

Kusema ukweli ukiangalia vzuri sku hz watu wanatumia michango kutafuta mitaji or else mana haiwezekani eti unaweka kiwango cha chini labda 100,000/=

Unakuta mtu hamjaongea kitambo hakuna ukaribu unashangaa simu imeita unapewa taarifa! punde umeungwa kwenye group watu wametiririka ma plege.

Mwezi uliopita kuna jamaa mwngine aliniunga kwenye group pledge kiwango cha chini 200,000 nikamwambia me ntakusupport laki akasema poa ila nilibanwa nikatuma 50k nikamwambia ingne ntamalizia. Asee simu zkawa za usumbufu nikawa simpokelei hadi sku naona status kaoa nikampa hongera akanilia buyu blue tick tu. Nikaja kuonana nae town ananipa attitude nkasema safi ndo imeisha hiyo ila najuta ata kwann nlituma 50 yani unamaind kisa sina? Na muda huo najua kabisa washkaji wetu wengine kweny hiyo circle hawakutoa kabisa.

Wadau mnaonaje hv inakuaje u force michango hivyo kwa jambo linalokuhusu ww na huyo mwenzio kwann utuwajibishe watu kutoa ma ahadi ya kishingo upande imradi tu tusigombane wakati hali yenyewe mambo kizungumkuti songombingo mafrekeche ya kutosha.

Kama hujajipanga kuoa si kausha kwanza, watu tuna support ila imekua too much imekua ni shuruti sasa dah, usipotoa unaonekana mbinafsi na haufungamani na jamii.

Sijioni nikiendelea kua mtoa michango sijioni kabisa kwanza in real sense nakuchangia kwenda kukojozana kwenye hotel honeymoon uko... Shabaash,!!
Na wanapoachana hawatuchangishi kwenda kushangilia kuachana kwao....
 
Mimi huwa nina Msimamo! Kama sina huwa naeleza ukweli tu na wananielewa! Kama ninazo sawa!
Just imagine unapokea kadi ya Harusi kila mwezi au unapokea kadi sita baada ya miezi kadhaa kwa pamoja! Unafanyaje?
Usipoangalia Kadi za Harusi ni PEPO LA UMASIKINI!
 
MICHango ya harusi ni uchawi na roho mbaya tu ya kimaskini...kwa nini tusichangishane kufanya harambee za kupeleka mwanafunzi ulaya kuusoma,,,kwa nini tusichangishane mtoto wa flani kamaliza degree tumchangie mtaji afungue biashara yake.... tumchangie ajenge kiwanda chake...tuchange tuje tulewe kwa kujumuika na kuonyeshana umevaaje...
 
Michango imekuwa shida sana kuna mwana grupo la kazini alikuwa anataka kuoa basi ile michango watu wamesha pledge kila kitu ila kila muda anarudia mkeka. Basi bwana si nikamchana kuwa atulie tushaona mkeka tutachanga. Kumbe raia wengine walikuwa wanakereka sana lakin hawasemi ila baada ya kuanzisha hivyo ndio wakajitokeza.

Ila michango imekuwa mingi sana ila ni kutokana na tecnlojia ya whatspp na Instagram hii

Mwanzoni zilikuwa hazipo hizo ilikuwa ngumu kutafutana na kupeana info.
 
Back
Top Bottom