Why are we trying so hard to blend in while we were born to stand out?True, matrimonial issue in Islam have been simplified to affordable liquidity! Sasa katikà jumuiya ya "kikristo" utafiti vipi Kama hujawaalika and therefore michango? Si vizuri katika social life kuwa outlier . Ningelipendabkuja kwenu kwanhili kusema kweli, lakini macho ya society [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Kwamba alitumia nichangie ya harusi?Nina jirani yangu alikuwa akiishi uchumba sugu na nyumba yake imejengwa bila finishing kahamia kitambo,kaamua kubariki ndoa baada ya harusi kuisha huwezi kuitambua Tena Ile nyumba Hadi kazungushia ukuta na rangi keshapaka na geti la kibabe!Hatari Sana
Obviously..Kwamba alitumia nichangie ya harusi?
Hamna mbwembwe nyingi hata kama mtu ana uwezo shida sisi uku utasikia bi harusi anakuambia anataka wageni 600 😄😄😄😄hapa hua wanaupiga mwingi sana
Upande mwingine ssTent moja kwenye baraza, spika moja na maandazi na chai ya rangi. Vazi ni dela na kanzu, tena ya mitumba toka Tangamano gulio.....sherehe kubwa usiombe.... ni marafiki zangu sana naona very simple harusi among them. Hiace moja na costa moja. Huwa napenda sana simplicity yao
Ww sherehe zote hizo ni mwanakamati? Huo ni ujinga wako mwenyewe wa kujitakia pambana naoWe sherehe zote 10 unakuwa mwanakamati? Inamaana ni watu wa karibu sana so jitahidi tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nadhani wa kupambana na umasikini ni yule anayeomba mchango, matajiri hawana swaga hizo [emoji3]Michango ya harusi sio mzigo umaskini wako ndio mzigo wewe mleta mada
Pambana na umaskini wako utoke mleta mada .Umaskini ukikutoka hutaona michango ya harusi mzigo lofa mkubwa wewe pamoja na malofa wenzie walio like mada yako na kukuunga mkono
Mo Dewjiau Bakheresa hata apeleke kasi za michango laki moja haimpi shida kuchangia
Ulofa unakusumbua
Ndo maana tunataka kila mtu apambane na umasikini wake, sio sherehe zako ziwe kero kwa wengine. Umepanga kufanya harusi ya million 50 basi hakikisha benki una hizo 50m, kama huna pesa fanya harusi unayoweza kuimudu.Hakuna kitu kibaya kama umaskini uogope kama ukoma vikao vya harusi vya matajiri wala hata hawapangiani viwango
Wanauliza bajeti shilingi ngapi ? anaibuka mmoja tu anaandika cheque ya bajeti yote anasema pelekeni kadi bure kwa ndugu na marafiki waje hakuna mchango ila zawadi kuja nazo ruksa ruksa
Umaskini ndio Tatizo usipochangia kiharusi cha mtu anaapa kutokuchangia chochote cha shida au kufika hata msiba wa familia yenu kisa wewe lofa hukumchangia kaharusi kake au nduguye kanakomhusu!!!
Umaskini mbaya sana
Hahahahahahaha labda kwwenu huko.wapi nimesema ni ukristo ndiyo maagizo? wapi? Nimesema unaish katika jumuiya ya kkristo by 90% utakwendaje kinyume na wanachofanya as a social being? Kwaheri!
Ww sherehe zote hizo ni mwanakamati? Huo ni ujinga wako mwenyewe wa kujitakia pambana nao
Kuna watu waongo Sana, kuwa mwanakamati harusi zote ni ngumu labda kama Hana kaziWe sherehe zote 10 unakuwa mwanakamati? Inamaana ni watu wa karibu sana so jitahidi tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe hata kibanda Cha kuishi hamiliki? Huyu mpangaji tajiri Sana.wakati wanakuchangia na wao walikuwa hivohivo
komaaaa ndugu usisahau after may kuna kodi ya nyumba june[emoji1][emoji1]
Kuoa wanne utachosha watu na michango.Dini ya haki haina harusi za michango kma ivo
Ni ulimbukeni tu.Hapa ndipo napowapendea wale wenzetu wa upande wa pili
Na kukununia juu[emoji23][emoji23][emoji23]Tena wanadai sana,
unazijua harusi za kiislam ww?Kuoa wanne utachosha watu na michango.
Kuna watu waongo Sana, kuwa mwanakamati harusi zote ni ngumu labda kama Hana kazi