Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Yes mkushi niko nyuma ya mic, nasambaza upendo kama mkwepu kwenye batani ya like.../

Niko humu na nyinyi kama chain kwenye bike, kwa hii michano kama kampuni sio metl ni nike.../

Scars anavina vitamu ila ukimuomba hakupi, anavimba sana mwana anabana ka lastic ya chupi.../
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hizi freestyle hata ukiwa na stress lazima utoe tabasamu bila kutaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Punchlines geto la msela

Karibu geto usijisumbue kuvua viatu mlangoni, we timba nalo mpaka ndani kama vile chooni.../

Karibuni masela na wahuni wote SupperVillain hadi Mvumbo, silaha za kijadi nyuma ya mlango nondo shoka na nyundo.../

Geto kuchafu unasikia harufu ya uvundo uvundo, vitu haviko kwenye mpangilio mzuri minguo ipo lundo lundo.../

Unanicheki kwa jicho la kuonesha umekasirika unakuta mi nimesizi, unaomba maji ya kunywa nakupa unakuta yamejaa sisimizi.../

Geto ni full joto hakuna kiyoyozi, wanatimba masela sijawahi leta totozi.../

Nikianza kufagia kama upo ndani utapata kikohozi, geto la kigumu nachukiwa mtaani nafananishwa na walozi.../

Mlangoni hua sina kitasa wala komeo, natumia kimsumari nabado sijawahi kuibiwa mpaka leo.../
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah nimecheka mpaka mbavu zinaniuma umejua kunifurahisha hakika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji119]
 
Skiza nikupe adress mahali ninapotokea, mitaa nayokaa wengi tuna exepeience ya kupelekwa segerea.../

Ukiona vijana wanazungumza na hujasikia tusi ujue umepotea, penye wanawake wawili au watatu basi pana msuto au umbea.../

Mabishoo wa huku wengi nguo wanagongea, wakilipuka viwanja hata demu wako akijichengua wanakubebea.../

Giza totoro ka ni bishoo kua makini na chocho, uswazi full vibaka wahuni wanapiga kabali si kitoto/

Wanamafunzo ya karate kungfu hadi taichi, kama ulivaa tai watakukaba nayo hata ukilia hawakuachii.../

jumamosi vigodoro ndo siku mabinti huvaa nusu uchi, wakimwaga radhi we bana zipu kuzuia ashki.../

Mitaa nayotokea sio siri imejaa vurugu, usishangae siku umekuja ukaona doka limejaa mamwela wameshika virungu.../
Hii mitaa kizungu zungu, mabitozi hawawezi kupaona/
Watu wamejaa majungu, na bado inafika Corona/
Mchana wezi usiku ndio sungu sungu, wanabana kila kona/
Bange inalindwa na virungu, mpaka manjagu wanachoma/
Media wanataka mapeni, hatusikiki japo tunaijua shughuli/
Hip Hop imebaki kilingeni, kama vile tunguri/
 
Hii mitaa kizungu zungu, mabitozi hawawezi kupaona/
Watu wamejaa majungu, na bado inafika Corona/
Mchana wezi usiku ndio sungu sungu, wanabana kila kona/
Bange inalindwa na virungu, mpaka manjagu wanachoma/
Media wanataka mapeni, hatusikiki japo tunaijua shughuli/
Hip Hop imebaki kilingeni, kama vile tunguri/
Media zinasapoti beef ili ziuze habari/
Ukitoa ngoma mpya kwao wao si habari/
Madini ya hip hop yanafia migodini/
Rapa mkali ila anasikika mwisho sombetini/
That's how things go in this fu*kin' game industry/
Nothin' precious just lame n' damn cemetery/
Ni bora nimwage manii ya lines hapa jf/
'Cause I'm a great thinker so siwezi handle huo uchafu/
 
Hii game inanitamani, ninapo flow wanasanda wanasema okey/
Ninapo ghani wapinzani hawaonekani, kama msambwanda wa Ebitoke/
Bado nipo namba one, nashika namba msinichoke/
Mi ndio nashika usukani, halafu watoto wanajigamba je nikunje wadondoke?/
Scars weka beat ngumu, mwanao niteme duku duku/
Si walishaweka sumu, wanajiuliza nimemtafunaje kuku/
Wanajishuku/ Hip Hop imenitunuku/ nawazima kama Luku/ wanapima hawa kasuku/ mtu mzima nina muku/ vina kama ukurutu/
Haina kupagawa, hiki ndiyo chumba cha sindano/
Na hapa usiulize dawa, ndiyo hii michano/
 
Sina mchezo kwenye mic ndo maana ma emcee hawanitaki, maana nawaficha hawaonekani ka matako ya samaki/

Unataka battle we jilete dingi, nikupe punchlines fupi ka miguu ya pig/

Wape taarifa wahuni waliotaka ligi, waambie hii bahari nipo nyangumi na sio papa ya gigy/
 
Hii game inanitamani, ninapo flow wanasanda wanasema okey/
Ninapo ghani wapinzani hawaonekani, kama msambwanda wa Ebitoke/
Bado nipo namba one, nashika namba msinichoke/
Mi ndio nashika usukani, halafu watoto wanajigamba je nikunje wadondoke?/
Scars weka beat ngumu, mwanao niteme duku duku/
Si walishaweka sumu, wanajiuliza nimemtafunaje kuku/
Wanajishuku/ Hip Hop imenitunuku/ nawazima kama Luku/ wanapima hawa kasuku/ mtu mzima nina muku/ vina kama ukurutu/
Haina kupagawa, hiki ndiyo chumba cha sindano/
Na hapa usiulize dawa, ndiyo hii michano/
Ooooh [emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ni hatari lakini ni salama [emoji119]
 
Sina mchezo kwenye mic ndo maana ma emcee hawanitaki, maana nawaficha hawaonekani ka matako ya samaki/

Unataka battle we jilete dingi, nikupe punchlines fupi ka miguu ya pig/

Wape taarifa wahuni waliotaka ligi, waambie hii bahari nipo nyangumi na sio papa ya gigy/
Wow wow [emoji119] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi ni bendera isiyofuata upepo, bendera ya chuma/
Naogopwa hadi na mapepo, maana nayaroga bila huruma/
Call me nabii wa gheto, injili kote inavuma/
Nyie sunche na kapeto nendeni siti za nyuma/
Nyote hamnikuti nina mbio za farasi/
Mistari inatema laana hadi inakausha nyasi/
Kichwani nipo smart, mrefu ka ngongoti/
Umekinga mdomo ukidhani mvua, kumbe ni mi nakojoa juu ya bati/
 
Bado punch line naandika, nauza ng'ombe kwenye kesi ya mbuzi/
Ninapotimba Mc's wanaadimika, kama mimba za wanafunzi/
Ruksa mistari kuishika, mkajitambe kwa kina Suzi/
Ila hapa nawafunika, kama msosi wa juzi/
Ah! Naghani mzuka umepanda/ nawatamani kama msambwanda/ sina mpinzani nainua chanda/ Mvumbo namba one wengine wamesanda/
Sina urafiki kwenye kazi, kama duka la Mangi/
Hii mistari chupi ya mzazi, watoto hamuijui rangi/
 
Mvumbo kutawala dimbani, Ma Mc's wamekuwa wapole/
Mi na rhymes hatuachani, sio ndoa ya Shilole/
Natupa jiwe gizani, likikupata nakupa pole/
Utakuja na kisirani, ila utaondoka Mlokole/
Ole ni kwa mrembo anae dilei, kusubiri mwanaume wa ndoto/
Mtaani chupi zimeshuka bei, na hatuwezi lala arosto/
 
taarifa kwa uma dodoma kuna bonge la part, magu anaunguruma kusherekea uchumi wa kati.../

wanangu wa ukawa mko wapi, wabunge wamesaliti chama now wanasukuma harakati.../

kwenye beat nikiganda sibanduki ka utomvu wa ndizi, natamba bila mpinzani kama bull kwenye zizi.../
 
Muda unakwenda kasi, watu macho pima/
Unaweza kuwa mkuu wa Wasafi, na usiwe wa jiji la Mzizima/
Haiji heshima/ gwiji narindima/ kwa bibi bado nalima/ hata Gigy akiwa na kisima/
Mvumbo naitawala ligi, mpaka wananiita kigogo/
Nina msuli wa kilo nyingi, so tozi usinipe ndogo/
 
Mvumbo huwezi kuwa kigogo ,wewe bado ligi ndogo

Raia wanakulamba kisogo,we tulia jilie zako mihogo,

Humu hatutaki zogo,toka kwako bwana mdogo

Wewe twende mdogomdogo,kama FA na Namungo
 
Mvumbo huwezi kuwa kigogo ,wewe bado ligi ndogo

Raia wanakulamba kisogo,we tulia jilie zako mihogo,

Humu hatutaki zogo,toka kwako bwana mdogo

Wewe twende mdogomdogo,kama FA na Namungo
Mistari yako ya kitoto, dizain ya Tom and Jerry/
Mvumbo nikiwasha moto, ujue nakuchinja kuku mwenye kideri/
 
Y'all Wack Mceez..mna'rap kaa mme'sizz..//
Me nuksi lazima nikuangushe me usingizi..Maji ya Bukoba so msipige mbizi..//
Info zikufikie unaejiita mlabata akati ni mlandizi..//Hamna metaphor mna vina vya kiwiziwizi .//
 
Y'all Wack Mceez..mna'rap kaa mme'sizz..//
Me nuksi lazima nikuangushe me usingizi..Maji ya Bukoba so msipige mbizi..//
Info zikufikie unaejiita mlabata akati ni mlandizi..//Hamna metaphor mna vina vya kiwiziwizi .//
Haya maji ya shingo, dogo usiyapime kwa goti.../
Nakupa somo bila ya fimbo, acha mziki kasake manoti.../

Kwenye game we ni begeener mi ni pro, we ni teenager mi ni bro.../
 
Nimerudi upya kuwapa utenzi, tenzi zilizo tata sio kama wale washenzi.../

Wanaotumia manati kukamata kuku, baada ya kuishiwa ulezi.../

wanao honga buku, kwa mashori ili wapewe penzi.../

Nao waumini sijui nani kawatia upofu, japo video wameitazama bado wanamuita askofu.../

Kagombea na ubunge, bila wasi wala hofu.../

eti mkono tumuunge, atatupeleka kwenye mtari nyoofu.../

Hali tight leteni magurudumu ya kupumulia, huko mbeya ni kampeni kati sugu na tulia.../

Siasa za vitisho sio makuzi, tuliyo kulia.../

nec msipotezwe na miluzi, mnayopigiwa.../

Ona mmeegemea upande mmoja mpaka chombo kimezidiwa, fitna mlizozionesha ni dalili ya kura za upinzani kuibiwa.../
 
Huko chaumma mambo si haba, kampeni zimenoga kila kona harufu ya ubwabwa.../

Membe naye usawa usha kaba, ajaribu ubunge uraisi kakosa namba.../
 
Ngoja siku yako ipo Dingilai,,saiv sina time ila ntakunyokalism ujapata ona asee
Nimerudi upya kuwapa utenzi, tenzi zilizo tata sio kama wale washenzi.../

Wanaotumia manati kukamata kuku, baada ya kuishiwa ulezi.../

wanao honga buku, kwa mashori ili wapewe penzi.../

Nao waumini sijui nani kawatia upofu, japo video wameitazama bado wanamuita askofu.../

Kagombea na ubunge, bila wasi wala hofu.../

eti mkono tumuunge, atatupeleka kwenye mtari nyoofu.../

Hali tight leteni magurudumu ya kupumulia, huko mbeya ni kampeni kati sugu na tulia.../

Siasa za vitisho sio makuzi, tuliyo kulia.../

nec msipotezwe na miluzi, mnayopigiwa.../

Ona mmeegemea upande mmoja mpaka chombo kimezidiwa, fitna mlizozionesha ni dalili ya kura za upinzani kuibiwa.../
 
Back
Top Bottom