Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hizi freestyle hata ukiwa na stress lazima utoe tabasamu bila kutaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]Yes mkushi niko nyuma ya mic, nasambaza upendo kama mkwepu kwenye batani ya like.../
Niko humu na nyinyi kama chain kwenye bike, kwa hii michano kama kampuni sio metl ni nike.../
Scars anavina vitamu ila ukimuomba hakupi, anavimba sana mwana anabana ka lastic ya chupi.../
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah nimecheka mpaka mbavu zinaniuma umejua kunifurahisha hakika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji119]Punchlines geto la msela
Karibu geto usijisumbue kuvua viatu mlangoni, we timba nalo mpaka ndani kama vile chooni.../
Karibuni masela na wahuni wote SupperVillain hadi Mvumbo, silaha za kijadi nyuma ya mlango nondo shoka na nyundo.../
Geto kuchafu unasikia harufu ya uvundo uvundo, vitu haviko kwenye mpangilio mzuri minguo ipo lundo lundo.../
Unanicheki kwa jicho la kuonesha umekasirika unakuta mi nimesizi, unaomba maji ya kunywa nakupa unakuta yamejaa sisimizi.../
Geto ni full joto hakuna kiyoyozi, wanatimba masela sijawahi leta totozi.../
Nikianza kufagia kama upo ndani utapata kikohozi, geto la kigumu nachukiwa mtaani nafananishwa na walozi.../
Mlangoni hua sina kitasa wala komeo, natumia kimsumari nabado sijawahi kuibiwa mpaka leo.../
Hii mitaa kizungu zungu, mabitozi hawawezi kupaona/Skiza nikupe adress mahali ninapotokea, mitaa nayokaa wengi tuna exepeience ya kupelekwa segerea.../
Ukiona vijana wanazungumza na hujasikia tusi ujue umepotea, penye wanawake wawili au watatu basi pana msuto au umbea.../
Mabishoo wa huku wengi nguo wanagongea, wakilipuka viwanja hata demu wako akijichengua wanakubebea.../
Giza totoro ka ni bishoo kua makini na chocho, uswazi full vibaka wahuni wanapiga kabali si kitoto/
Wanamafunzo ya karate kungfu hadi taichi, kama ulivaa tai watakukaba nayo hata ukilia hawakuachii.../
jumamosi vigodoro ndo siku mabinti huvaa nusu uchi, wakimwaga radhi we bana zipu kuzuia ashki.../
Mitaa nayotokea sio siri imejaa vurugu, usishangae siku umekuja ukaona doka limejaa mamwela wameshika virungu.../
Media zinasapoti beef ili ziuze habari/Hii mitaa kizungu zungu, mabitozi hawawezi kupaona/
Watu wamejaa majungu, na bado inafika Corona/
Mchana wezi usiku ndio sungu sungu, wanabana kila kona/
Bange inalindwa na virungu, mpaka manjagu wanachoma/
Media wanataka mapeni, hatusikiki japo tunaijua shughuli/
Hip Hop imebaki kilingeni, kama vile tunguri/
Ooooh [emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ni hatari lakini ni salama [emoji119]Hii game inanitamani, ninapo flow wanasanda wanasema okey/
Ninapo ghani wapinzani hawaonekani, kama msambwanda wa Ebitoke/
Bado nipo namba one, nashika namba msinichoke/
Mi ndio nashika usukani, halafu watoto wanajigamba je nikunje wadondoke?/
Scars weka beat ngumu, mwanao niteme duku duku/
Si walishaweka sumu, wanajiuliza nimemtafunaje kuku/
Wanajishuku/ Hip Hop imenitunuku/ nawazima kama Luku/ wanapima hawa kasuku/ mtu mzima nina muku/ vina kama ukurutu/
Haina kupagawa, hiki ndiyo chumba cha sindano/
Na hapa usiulize dawa, ndiyo hii michano/
Wow wow [emoji119] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina mchezo kwenye mic ndo maana ma emcee hawanitaki, maana nawaficha hawaonekani ka matako ya samaki/
Unataka battle we jilete dingi, nikupe punchlines fupi ka miguu ya pig/
Wape taarifa wahuni waliotaka ligi, waambie hii bahari nipo nyangumi na sio papa ya gigy/
Mistari yako ya kitoto, dizain ya Tom and Jerry/Mvumbo huwezi kuwa kigogo ,wewe bado ligi ndogo
Raia wanakulamba kisogo,we tulia jilie zako mihogo,
Humu hatutaki zogo,toka kwako bwana mdogo
Wewe twende mdogomdogo,kama FA na Namungo
Haya maji ya shingo, dogo usiyapime kwa goti.../Y'all Wack Mceez..mna'rap kaa mme'sizz..//
Me nuksi lazima nikuangushe me usingizi..Maji ya Bukoba so msipige mbizi..//
Info zikufikie unaejiita mlabata akati ni mlandizi..//Hamna metaphor mna vina vya kiwiziwizi .//
Nimerudi upya kuwapa utenzi, tenzi zilizo tata sio kama wale washenzi.../
Wanaotumia manati kukamata kuku, baada ya kuishiwa ulezi.../
wanao honga buku, kwa mashori ili wapewe penzi.../
Nao waumini sijui nani kawatia upofu, japo video wameitazama bado wanamuita askofu.../
Kagombea na ubunge, bila wasi wala hofu.../
eti mkono tumuunge, atatupeleka kwenye mtari nyoofu.../
Hali tight leteni magurudumu ya kupumulia, huko mbeya ni kampeni kati sugu na tulia.../
Siasa za vitisho sio makuzi, tuliyo kulia.../
nec msipotezwe na miluzi, mnayopigiwa.../
Ona mmeegemea upande mmoja mpaka chombo kimezidiwa, fitna mlizozionesha ni dalili ya kura za upinzani kuibiwa.../