Kabla ya hii mijengo, na hizi fedha/
Hip Hop ilikuwa ndiyo lengo, na walisema naweza/
Ila watu wa kitengo, bila pesa ngoma hawawezi cheza/
Sikuwa Tembo, kusema Wasafi watanitengeza/
Na baba aliacha pengo, kabla sijajiweza/
Nikabadili Engo, kipaji nikakitelekeza/
Mungu hakunipinga, nashukuru akanitoa Selo/
Siku hizi na change mandinga, kama na change kapelo/
So msikate tamaa, bora mkate mitaa/
Msidate na chapaa/ na msimfuate njaa/
Msipate kichaa/ mkate ni wa Jah/ msinate na U star/ MSINIFATE MTAKAA/