Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Unaempenda hakupendi, kama uteja wa unga/
Usiyempenda haendi, kama kamba umemfunga/
Dharau haijengi, sio tofari la nyumba/
Dunia ina mengi, ila usimsahau Muumba/
Nakufundisha ukitaka niamini, ukitaka jifundishe mwenyewe/
Ila kumbuka mke wa masikini, kuwadi mumewe/
Nawafundisha madogo, naona life linawatatiza/
Wakinyoa kwenye kichogo, wanahisi wamemaliza/
Wanawadharau wanaokula mihogo, kisa wao wamehongwa Pizza/
Kesho wakiombwa ndogo, wanasema utani umepitiliza/
 
Kuna hawa maboya wanajikuta wanajua sana/
Wanachonga wakati hawajui wanachokifanya/
Wana maneno mengi kama kelele za spana/
Wanatuponda daily usiku na mchana/
Wakati wapo pia hawana cha maana wanachofanya/
Si wengine ni arsenal a.k.a maboya wa london/
Ushindi wao ni kupiga vyenga wanjani wao wanaita burudani/
Point tatu muhimu wahajui walizipata lini/
Kote wana suffer nyumbani na ugenini/



Ndukiiiii [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Utani ukipitiliza dharau huibuka, Mvumbo kaza acha kubabaika/

Nafurahi kuona hip hop inatangazwa jf, taarabu na bana pua ni zaidi ya kichefuchefu/
Hip Hop wanaiogopa ka' marehemu, acha Mvumbo nilibebe bango/
Maana watoto wanaikimbia Game, ka' mwanamke mwenye chango/
Wanatangaza kila sehemu, haiuzi haina mpango/
Ona wanabana pua kama mademu, na bado wanatoa matango/
Daima Mvumbo sijaribiwi, kama Siasa za Magu/
Kaniki naweza kuipaka Kiwi, na ikawa nyeupe kama shabu/
Huu ni zaidi ya moto, ambao unangoja sababu/
Ukishindwa kuniamkia mtoto, basi nipe salamu ya Kiarabu/
 
Kuna hawa maboya wanajikuta wanajua sana/
Wanachonga wakati hawajui wanachokifanya/
Wana maneno mengi kama kelele za spana/
Wanatuponda daily usiku na mchana/
Wakati wapo pia hawana cha maana wanachofanya/
Si wengine ni arsenal a.k.a maboya wa london/
Ushindi wao ni kupiga vyenga wanjani wao wanaita burudani/
Point tatu muhimu wahajui walizipata lini/
Kote wana suffer nyumbani na ugenini/



Ndukiiiii [emoji125][emoji125][emoji125]
Hauna haja ya kutoka nduki, mkuu Injili ya Gheto/
Bali hakikisha hawainuki, wanao ku snitch na kufuata upepo/
wasivamie Tempo/ warudi Depo/ tukiwaona hatuna mchecheto/ kama tumemuona Mobetto/ Mvumbo sina mbeleko/ wananiogopa kama Meko/ Ukonga na Keko/ kote mpaka Soweto/
 
Huzuni isije kukumba, maisha yakikupiga kabari/
Imani weka kwa Muumba, atakupa ridhiki isiyo na shari/
Achana na kasumba, kujidharau kisa habari/
Za JF kila mtu ana nyumba, na kila mtu ana gari/
Ni watoto wa vyuoni, ambao hawajashika hata KILO/
Wanaoota maisha ya Peponi, kama Kiduku Lilo/
Kwani ukuu wa Mungu hauuoni, au umesahau hilo/
Ya kwamba wewe unaomba uwe Don, wenzako hawatimizi hata milo/
Kama pesa haikutaki, na maisha ni mafupi/
Basi vua samaki/ usivue chupi/
 
Kuna hawa maboya wanajikuta wanajua sana/
Wanachonga wakati hawajui wanachokifanya/
Wana maneno mengi kama kelele za spana/
Wanatuponda daily usiku na mchana/
Wakati wapo pia hawana cha maana wanachofanya/
Si wengine ni arsenal a.k.a maboya wa london/
Ushindi wao ni kupiga vyenga wanjani wao wanaita burudani/
Point tatu muhimu wahajui walizipata lini/
Kote wana suffer nyumbani na ugenini/



Ndukiiiii [emoji125][emoji125][emoji125]

Nakubali mwana, tuko pamoja kimtazamo hadi ki chama/

Man u huleta burudani, sio kama timu za mchangani/

Mpira dakika tisini, wapinzani tushawavua vimini/

Arsenal ilikua ile ya wenga, hii ya sasa haina tofauti na yanga/
 
Hip Hop wanaiogopa ka' marehemu, acha Mvumbo nilibebe bango/
Maana watoto wanaikimbia Game, ka' mwanamke mwenye chango/
Wanatangaza kila sehemu, haiuzi haina mpango/
Ona wanabana pua kama mademu, na bado wanatoa matango/
Daima Mvumbo sijaribiwi, kama Siasa za Magu/
Kaniki naweza kuipaka Kiwi, na ikawa nyeupe kama shabu/
Huu ni zaidi ya moto, ambao unangoja sababu/
Ukishindwa kuniamkia mtoto, basi nipe salamu ya Kiarabu/

Hip hop haiuzi, aliongea nani huo upuuzi?/

Kaimbe tarabu hip hop imekutupa mkono, ila mzee yusuph kaibwaga sa sijui utapata wapi promo/

Wanaojiita ma mcee, wengi wao siwasikii
Nawaficha kwa mic, kamuulize izo b/

Karanga za chuma kibogoyo kaa mbali, navyo toa flow sina choyo natisha zaidi ya jua kali/

Kwa spidi ya duma, nawakimbiza marapa bila huruma/

Wengi wao ni watoto wamama hawajui kuchana, nawapiga kwa rhythms siogopi lawama/
 
Back
Top Bottom