Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Mvumbo,

Mademu wakali na pesa Bado ni ngumu, kama hutojali shika jero mrembo unichumu/

Sina hela ya baga mrembo usinichune, kukosa pesa ya kukuonga ndiyo sababu unitukane?/

Mfukoni nimechacha ila usiende kwa mwingine, ela ya mboga sina ngoja nikadake senene/

usishoboke na mataita wapenda anasa kisa pochi nene, wengi wao wanangoma chunga usije nasa ukapata umeme/

Mapenzi kitu gani yamejaa nuksi, demu kaniacha eti kwa ofa ya chips/

Nadhani hii ndo sababu mpaka wanakufa kwa risasi, nami najivika ukauzu mithiri ya gadafi/
 
Scars, ]Mitaa imetulea, zaidi bibi mwenye mkongojo/
Na madem hatuwezi kuwapondea, hawa ndio wanatupa sotojo/
Hivyo usione vyaelea, watoto kama kina Jojo/
Mameni noti tumewaekea, ili life walione rojo rojo/
Ugumu ubaki kwa chuma, vingine vyote soft soft/
Bila mademu dunia hakuna, hivyo wahuni hatuogopi kulost/
Maradhi kuyavuna, umalaya ndiyo una cost/
Ila tu mmoja ukimfuma, aliyetulia mbona konki/
 
Mvumbo,
Ila tu mmoja ukimfuma, aliyetulia mbona konki/[/QUOTE]

Najikoki ki komando naingia vitani, mrembo nipe upendo nisikuache hasilani/

Bila mademu dunia itapooza, wamasai watakufa njaa hadi wauza supu ya pweza/

Sabuni zitauzwa bei juu kuanzia bongo hadi uingereza, tutoe magoli kilazima japokua mechi hatuja cheza/

Kwakweli kwa hili mademu wametuweza, ataebisha hana akili ni zaidi ya kilaza/
 
Mvumbo siku hizi silali, wachawi wananiita Bundi/
Wakija mkononi nina pombe kali, pembeni dem akinionyesha ufundi/
Na mtoto akilala chali, muhuni nahamia kiwenye mirungi/
Nakesha kama sadali, maafande wanakuta vishungi/

Kipyenga kimelia mcees mbona mnakimbia?, au kwasababu mi mkali ndicho mnacho hofia/

kiuwezo nimewazidi hilo nalitambua, get back to the pitch leo ntacheza fea/
 
Meneja wa benki hana elimu hakwenda skuli, kazidisha chenji halafu bado ana jeuri/

Nashabikia genki samata piga hao livapuli, mo salah kapaki basi sijui anataka kwenda misri?

Hata kama mnaongoza goli mbili sisi wala hatujari, tunachotaka kuona ni samata katupia goli/
 
Wana unajua hiphop tamu/
Mistari haishi nipeni kalamu
Sio kama Big g haishi hamu/
Boom kitambo kwa hii gemu/
Wabana pua mjipeleke lamu/
Zenu skendo nani hafahamu/
Taarab,zuku zote marehemu/
Tifu hiphop iko kwenye damu/
Eti haiuzi ndo mnavyo hukumu/
Dume unaimba uno
 
Wana unajua hiphop tamu/
Mistari haishi nipeni kalamu
Sio kama Big g haishi hamu/
Boom kitambo kwa hii gemu/
Wabana pua mjipeleke lamu/
Zenu skendo nani hafahamu/
Taarab,zuku zote marehemu/
Tifu hiphop iko kwenye damu/
Eti haiuzi ndo mnavyo hukumu/
Dume unaimba uno

Mi ndo musa wa dijitari nawavusha kwenye bahari ya shamu, bila safina wala meli halafu niko live instagramu/

Natoa rhythms kali zaidi ya moto wa jehanamu, mi ndo mcee mahili niliyefanya mpaka mchalo kawa mtamu/

Mi ndo dokta wa mistari natibu hadi wenye pumu, wenye ukimwi siwataki maana hamkuvaa ndomu/

Tupige kazi tuache kulaumu eti life gumu, vyuma vimekaza na Magu bado hajaenda dom/
 
Life tight na pesa imekua overrated,
Mpango wa family haujatukuka Medicated,
Pigo za kutomasa kwa tax ndo imekua dedicated,
Niggas tuna hustle lakini bahati iko faded,
Ibada tuko pamoja mbona cash zangu ziko delayed,
Sir God,Oh Lord umetoa neema wengine A na sisi umetupa Z,
Hatulaumu,majukumu yanafanya tucheke na Bar maid,
Kama Sumu,ugumu na hukumu ni kwa kila mtu,
kwa fununu, sio kila siku tunapata mkate wetu,
We ndo Mungu,tupe baraka nasi tufuruhie mifuko yetu.......
 
Dunia mapito yenye tabu na wingi wa mateso, tuishi kwa amani hakuna aijuaye kesho/

Njaa imezonga tumbo kazini sijapewa posho, madeni yameniandama pesa hakuna full michosho/

Demu wangu wakunifariji kanikimbia bila sababu, hajui hili ni jaribu ipo siku mungu ataniinua kama ayubu/

Wale wote wanaonitambia siku yaja watatubu, unachomfanyia mwenzako saizi hifadhi katika kumbukumbu/

siku hiyo kwako haitasahaulika japokua dunia huzunguka, yani kama petro kumkana yesu baada ya jogoo kuwika/

Utalia na kusaga meno wakati huo mimi hoi nacheka, maisha ni betting mwingine aki win mwingine atachana mkeka/
 
Dunia mapito yenye tabu na wingi wa mateso, tuishi kwa amani hakuna aijuaye kesho/

Njaa imezonga tumbo kazini sijapewa posho, madeni yameniandama pesa hakuna full michosho/

Demu wangu wakunifariji kanikimbia bila sababu, hajui hili ni jaribu ipo siku mungu ataniinua kama ayubu/

Wale wote wanaonitambia siku yaja watatubu, unachomfanyia mwenzako saizi hifadhi katika kumbukumbu/

siku hiyo kwako haitasahaulika japokua dunia huzunguka, yani kama petro kumkana yesu baada ya jogoo kuwika/

Utalia na kusaga meno wakati huo mimi hoi nacheka, maisha ni betting mwingine aki win mwingine atachana mkeka/
Mwanangu nakuombea mema, kaza utapata mapeni/
Mungu atakupa rehema, akuepushe na madeni/
Unapaswa kutambua mapema, bora wewe una ahueni/
Wengine wana vilema, wengine wanakufa kondeni/
Life haliko sawa, na tumeletwa kwa makusudi/
Demu wako mikono amenawa, mwache aondoke ipo siku atarudi/
Omba Mungu usije pagawa, na nguvu za ubani na udi/
Acha wakuone chawa, ila ipo siku life litakuwa good/
 
Life tight na pesa imekua overrated,
Mpango wa family haujatukuka Medicated,
Pigo za kutomasa kwa tax ndo imekua dedicated,
Niggas tuna hustle lakini bahati iko faded,
Ibada tuko pamoja mbona cash zangu ziko delayed,
Sir God,Oh Lord umetoa neema wengine A na sisi umetupa Z,
Hatulaumu,majukumu yanafanya tucheke na Bar maid,
Kama Sumu,ugumu na hukumu ni kwa kila mtu,
kwa fununu, sio kila siku tunapata mkate wetu,
We ndo Mungu,tupe baraka nasi tufuruhie mifuko yetu.......
Ni kweli life linabana, zaidi ya chupi ya mtoto/
Inatupasa kupambana, kwetu ni kama changamoto/
Leo si juzi na jana, tukale kwa mjomba kama MPOTO/
Siku hizi hakuna kujuana, watakutenga kama Arosto/
Kata ngebe/ piga debe/ beba zege/ wakileta ny*ge/ waambie wajibebe/
Umasikini umetukumba, hata mademu siku hizi bahati hawachezei/
Wanatusaka kwenye ndumba, mtaani chupi zimeshuka bei/
 
Wana unajua hiphop tamu/
Mistari haishi nipeni kalamu
Sio kama Big g haishi hamu/
Boom kitambo kwa hii gemu/
Wabana pua mjipeleke lamu/
Zenu skendo nani hafahamu/
Taarab,zuku zote marehemu/
Tifu hiphop iko kwenye damu/
Eti haiuzi ndo mnavyo hukumu/
Dume unaimba uno
Hip Hop ni Tamaduni, zaidi ya kuvaa ngozi/
Inaelimisha kuhusu uchumi, na maisha hii ndio balozi/
Na sio mistari ya kubuni buni, siwaelewi hawa Matozi/
Wanaosema ni uhuni, ni kanuni za kichokozi/
 
Babe wangu huyoo, uko vizuri kila sekta nitaki nini tena, nnachotaka napata!

I love you babe kichwaaa[emoji3] [emoji3]
Ma love hadharani, zaidi Film za kihindi/
Natamani nikuweke ndani, ila Kichwa kichafu ndiye mshindi/
Naepuka ushindani, na vile sina shilingi/
Acha tu nile majani, kama Sele Msindi/
 
Ma love hadharani, zaidi Film za kihindi/
Natamani nikuweke ndani, ila Kichwa kichafu ndiye mshindi/
Naepuka ushindani, na vile sina shilingi/
Acha tu nile majani, kama Sele Msindi/
Huwezi kumpata kwasababu unaimba ngumu, mademu wanataka ulegeze kama msaga sumu/

Wanadhani kila mcee anavuta ndumu, ndio sababu inayowafanya watuhukumu/

Gumzo mtaani Eti wagumu hatuna majukumu, nyie kweli mnawazimu/
 
Ok ok twende pamoja/
naona wengine wanazidi kuleta vioja/
mimi ndo mwenye ngumu kali zisizochuja/njaza moto kama fast charger/
nipo hewani kama pikipiki baja/
Sina mengi wazee asanteni kwa kuja.
 
Jumamosi ya leo mkosi mvua haiishi, masaa matatu tangu ianze na wala haikati/

Au kwakua sina demu ndomana inafanya kusudi, ila getto nina mafuta kuyatumia sinabudi/

Sio mbaya acha inyeshe ilete na baridi, tena inyeshe nyingi ije kwa kasi mithiri ya abood/

Wazee wa jangwani mnisamehe leo sina pesa ya tembele, acha bogi linyeshe nikadake kambale/
 
Ok ok twende pamoja/
naona wengine wanazidi kuleta vioja/
mimi ndo mwenye ngumu kali zisizochuja/njaza moto kama fast charger/
nipo hewani kama pikipiki baja/
Sina mengi wazee asanteni kwa kuja.
mchumi tumbo, unaundugu na Mvumbo/

Au ndio nyie mnaosalimiana mambo/

Na flow pana kama kitambi cha bambo/

Jeshi la mtu mmoja kama rambo/

Nilikua nakupa hai vipi hujambo?
 
Moja mbili tatu, nateleza kama chatu/
Akili yangu chafu, kama soli ya kiatu/
Japo nimevamia kwa watu, ila najaribu kama upatu/

Wana hongereni sana maana kuchana sio lelemama.
 
Back
Top Bottom