Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Moja mbili tatu, nateleza kama chatu/
Akili yangu chafu, kama soli ya kiatu/
Japo nimevamia kwa watu, ila najaribu kama upatu/

Wana hongereni sana maana kuchana sio lelemama.

Hahaha

Hiyo verse nilichana nikiwa darasa la tatu, ilibamba miaka hiyo ila kwasasa si kitu/

Kuchana kunahitaji akili walinena wabantu, nami ndo jaji nawahukumu kwa mistari kuntu/

Hip hop tamu zaidi ya penzi la wema sepetu, mi ndio chanzo mpaka mpoto kutembea peku/
 
Naona mwachana ka watoto,wkt ni watu wazma
Mnataka mshikiwe kiboko,ili muanze kuimba
Toka mbeya mpka arusha,vjana wananikubari
Nami sitastop kuwarusha,kwa mistari mikali
Ni mwanzo tu ,hatamwisho hapaonekani
I love her too,thus why naish nae maskani
Kijana Fanya kazi,ili uishe vyema
Acha kutegemea wazazi,koz we MTU ni mzma
Let me stop ..tumeet tena
Scars,
 
Asiyekiri ni kafiri, basi mimi nina kiri/
Wakuu mmekithiri, kwenye tenzi ninyi ni killer/
Kwa jinsi mnavyo flow, Denvers naomba poo/
Sio kwamba nawabeza, Ngoja nigonge meza.
 
Nakupenda financial services, kwako mimi sijiwezi/
Sauti yako benzi, imeniteka mimi mpenzi/
Mwanzo nilikua Da'Vinci member, sasa nimekua Denver/
Kwa jinsi navyokupenda, Nipo tayari kukubeba/
Umbo lako nalipenda, na midomo yako ya denda/
Ukosefu wa pesa, umenifanya nikakukosa/
Ila bado moyoni upo, kwako sitaomba poo/
Aiseeeeeee, are you Davinci[emoji3] ?, umetishaaa ,hizo sifa si zanguu lakini
 
Siku hizi game ni ya uchumi, mitandaoni ni vita/
Dudu harushi tena ngumi, bali anachamba Insta/
Wawili ndio manyangumi, japo Harmo nae anaita/
Wanaojua hawavumi, kabisa hawana pa kupita/
Fid na Joh kwenye dimba, Media daily wanang'aa/
M'bishi ni kama Simba, utumwa waliukataa/
Hata wakiniundia tume, waambie Mvumbo ni balaa/
Mimi ndiye kidume, niliyemfanya ng'ombe wa masikini akazaa/
 
Naona mwachana ka watoto,wkt ni watu wazma
Mnataka mshikiwe kiboko,ili muanze kuimba
Toka mbeya mpka arusha,vjana wananikubari
Nami sitastop kuwarusha,kwa mistari mikali
Ni mwanzo tu ,hatamwisho hapaonekani
I love her too,thus why naish nae maskani
Kijana Fanya kazi,ili uishe vyema
Acha kutegemea wazazi,koz we MTU ni mzma
Let me stop ..tumeet tena

Isaya luvanda umebugi njia sa kwanini hukuuliza, naogopeka na waliokutuma huoni kwamba wamekuponza?/

Waliotaka kunivuta shati wameishia kuteleza, wamekosa chakufanya sasa wanibeza/
 
Siku hizi game ni ya uchumi, mitandaoni ni vita/
Dudu harushi tena ngumi, bali anachamba Insta/
Wawili ndio manyangumi, japo Harmo nae anaita/
Wanaojua hawavumi, kabisa hawana pa kupita/
Fid na Joh kwenye dimba, Media daily wanang'aa/
M'bishi ni kama Simba, utumwa waliukataa/
Hata wakiniundia tume, waambie Mvumbo ni balaa/
Mimi ndiye kidume, niliyemfanya ng'ombe wa masikini akazaa/

Instagramu imekua jalala haramu, mashoga wanajinadi hadharani kutoa utamu/

mwanzo insta ulionekana kua mtandao wa mastaa, saizi unatisha unatumiwa na malaya ku promote zinaa/

Uchafu mwingi umefichwa kwa kivuli cha sanaa, wengi wao hujiuza kwa kugawa nyuma bila kinyaa/
 
Sifa zote hizo zako, nzuri kama sura yako
Ninapenda macho yako, bila kusahau tako/
Namiss sauti yako, kutoka kinywani mwako/

Sauti yako yavutia,Uu mzuri kama malkia/
Kiss Lini utanipatia, au kunikumbatia/
Dah, but that's not meeee
 
Mkuu scars nakusifia, tenzi wajua kuzitupia/
Japo hujanifikia, tungo kuzitambia

Bila kusahau mvumbo, mwenye kiriba tumbo
Hauandiki utumbo, Japo unavidonda tumbo
 
Dah, but that's not meeee
Acha kukaza mkubalie braza, mapenzi upofu na bado hutaki kutoka kwenye kiza/

Kwasababu Mwenye upendo wa kweli unamuona kama anaigiza, unashoboka na mapedeshee matapeli waliopata mali kwa miujiza/

Yai laweza kuwa leupe kwa nje ila ndani ni vinza, utajiri wa magari na pesa ni vitu vya kuvipuuza/

Wao wakila piza nyie kuleni chenza, hata kama limeoza usiteme we meza/
 
Acha kukaza mkubalie braza, mapenzi upofu na bado hutaki kutoka kwenye kiza/

Kwasababu Mwenye upendo wa kweli unamuona kama anaigiza, unashoboka na mapedeshee matapeli waliopata mali kwa miujiza/

Yai laweza kuwa leupe kwa nje ila ndani ni vinza, utajiri wa magari na pesa ni vitu vya kuvipuuza/

Wao wakila piza nyie kuleni chenza, hata kama limeoza usiteme we meza/
Heee[emoji3] [emoji3] , hii michano ni nomaa
 
Heee[emoji3] [emoji3] , hii michano ni nomaa
Michano ni noma sa kivipi services unagoma?, mapenzi ugonjwa utamuua Denvers kwa homa/

Tatizo ninini mama ebu sema, au dini kwasababu ye ni mroma?

Au pesa jamaa hamiliki hammer?, usiwe na roho ya kwanini kua na roho ya huruma/

Unamnyima usingizi sikuhizi halali mapema, hafatilii simulizi za jokeri wala davinci kwenye maonesho ya sinema/
 
Mkuu scars nakusifia, tenzi wajua kuzitupia/
Japo hujanifikia, tungo kuzitambia

Bila kusahau mvumbo, mwenye kiriba tumbo
Hauandiki utumbo, Japo unavidonda tumbo
Simama piga saluti, kisha sema Mvumbo ni soo/
Wanaochana hukumbuki, mimi ndio nawa control/
Hata wakija na bunduki, bado nawapiga K.O/
Ndoto zao wenye chuki, ni kutoa nami droo/
Hawaniwezi mamluki, ona wanaomba poo/
Wanarudi kama mama KUKI, na kukiri mimi ndo jogoo/
Wamechokoza nyuki, kisha wanajifanya watumishi wa kiroho/
Lazima niwatoe nduki, kila chimbo kila stoo/
Kitambo nakaza buti, kabla ya hawa mabishoo/
Wanaosema ya kale hayanuki, waende wakazibue choo/
Nipo juu zaidi ya Parachuti, wapinzani bado wapo low/
Wao kama moto mbona haufuki?, ni kelele tu kama Kariakoo/
Vina vyao havina UTI, hawasimami bora wanipe shikamoo/
 
Me ndo naingiza humu balaa, mpaka mnipe murder case

Flow zangu ni za a million dollar, fake MC's wa JF hamuogopi kuniface

Acha kuwasanda ma mwelaa, moshi wa jani hewani kwa confidence

Hizi ndo stanza usidatee tu na color, watu uzini wanapagawa na hizi verse

Vichwa panzi ombeni ku confess, nawamurder sijali zenu weakness

sio wino ni penseli kwa karatasi, muhuni sihanyi hata kiba akinigasi
 
Unangoja sifa, usifiwe na binadamu?/
Subiri rabda ukifa, sifa zitashika hatamu/
Hii dunia ukiwa na wadhifa, hawatatabasamu/
Watakupiga vita, hata ndugu wa damu/
Hawataki upate, japo hilo hufahamu/
Ukikosa mkate, wao wanafanya karamu/
Kikulacho ki nguoni mwako, bado hujanisoma?/
Anaekuua ni ndugu yako, na sio uchawi wa Sangoma/
Usiruhusu wakujue sana, kama shilingi ya Nyerere/
Maana mwisho wa kujuana, ni dharau tele/
Hata wakisema unabana, usijali songa mbele/
Unachotakiwa kupambana, mpaka waone gere/
Usitegemee kupewa moyo, hata ubuni ndege ya mbao/
Pumbavu wana roho za choyo, mithili ya Farao/
 
Back
Top Bottom