Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

We assasin nigga, ukipotezwa usianze kidenzi kulalamika

Mistari kwenzi ndo naipanga, vitu konki utavipata ondoa mashaka

Toka Long fakes nawakaanga, wachawi wakasanda miiko wakaipa taraka

Mtu mmoja ila kijeshi nishajipanga, nataka kuwapanda kipigo bila jezi mabakabaka

Mvumbo jipange kwa matanga, me ndio idiot ntakufanya kuteseka.
Lot infront..
Never force matter I dont...
I gotta Fcuk dese bitch whu wanna rend ma bond...
 
Lot infront..
Never force matter I dont...
I gotta Fcuk dese bitch whu wanna rend ma bond...
Wakichana kiswahili wanasikika kama kichina, kiingereza ndo unaweza kusema aisee zima

Acha wenge Ushapigwa katerero, we ni ms*nge na mi ndo hero/
 
Ngumu kumezaa
Utanifaaa dadaaa
Nakuhitaji mazima zimaa
Mtoto ulivo ng'aa
Umesimama wima wimaa

Umenizamisha ndani ya kisima sima
Chamalavidavi sijiwezi unanilima lima
Nitakacho unanipa bila kuninyima nyima
Kwako nadata umekoleza mtima

We ndo verse, maishani nakwona nesi
Watunge tetesi, kwako wala sina stress
Na sina kibesi tu kwako face to face.
 
Scarz duanz kwenye tungo..Me ndo Mc mkali..//
Kuhusu upishi wa vina..Mwamba me ni mchuzi kwenye wali../

Hahahaha

Hakuna mc mchaga anayetokea arusha, labda wauza ganja na mapusha/
 
Hiyo sio hiphop kurap unajipa upumavu../
Chalii kuwa mwelevu..//
Au jipe shavu..//
Mistari ganja nawasha naichoma inabaki jivu..//
Reply chap dingii acha uvivu..//
 
Hahahaha

Hakuna mc mchaga anayetokea arusha, labda wauza ganja na mapusha/
Me mmaasai aka njeree sio mchaga..//
Tuliumbwa kwa udongo ndo maana dogo ulipozaliwa ukaitwa kichanga..//
 
Naskia Mvumbo ni supu. maana una sura ya Mbuzi../
We ni kuku bado kinda sikwangui v*zi../
Tabia za ki mamsapu, huwa hazina kificho/
Wengi wame Rap, ila kwa Mvumbo unatoa jicho/
 
Hiyo sio hiphop kurap unajipa upumavu../
Chalii kuwa mwelevu..//
Au jipe shavu..//
Mistari ganja nawasha naichoma inabaki jivu..//
Reply chap dingii acha uvivu..//

Jifunze kuandika kiufasaha ndio uje ukosoe, hii mistari imeshika faya isubiri kwanza ipoe/

Naongea na wewe unayejiita chalii, nayekufananisha na binti wa kihindi chakolii/
 
Tabia za ki mamsapu, huwa hazina kificho/
Wengi wame Rap, ila kwa Mvumbo unatoa jicho/
Jicho?may be kisogo../
Ntakuzamishia muhogo../
We dogo mtumia mikorogo../
ili upendwe bongo..//
Hahah una verses za uwomgo..//
 
Hiyo sio hiphop kurap unajipa upumavu../
Chalii kuwa mwelevu..//
Au jipe shavu..//
Mistari ganja nawasha naichoma inabaki jivu..//
Reply chap dingii acha uvivu..//

Hey we ni masai unayesalimia kwa kusema yello?, sa kivipi umpe hai demu halafu mfukoni huna hata jelo?/

Mnazingua mjini mshakua kero, na ndio maana kesi ndogo tu mnasekwa sello/
 
Jifunze kuandika kiufasaha ndio uje ukosoe, hii mistari imeshika faya isubiri kwanza ipoe/

Naongea na wewe unayejiita chalii, nayekufananisha na binti wa kihindi chakolii/
Panua paja fikra,,Nichomeke mawazo...
Biti nalitoa bikra,,verse zako hazina ujazo..//
 
Jicho?may be kisogo../
Ntakuzamishia muhogo../
We dogo mtumia mikorogo../
ili upendwe bongo..//
Hahah una verses za uwomgo..//

Umeme huu ni mwingi ongeza kebo, masai pekee aliyeweza kuimba ni mr ebo/

Waliobaki wauza mikuyati na sendo, labda na hawa walinzi wazee wa lindo/
 
Jicho?may be kisogo../
Ntakuzamishia muhogo../
We dogo mtumia mikorogo../
ili upendwe bongo..//
Hahah una verses za uwomgo..//
Usijesema unaonewa, maana hujui kutunga/
Kama umefuata hewa, basi we punga/
Na kama kibendi umepewa, mi' siyo mkunga/
Unachopaswa kuelewa, hizi level we chunga/
Umevamia Gheto, na chupi hujavaa/
Wahuni mambo mpeto, niachieni nina njaa/
Kila siku nyeto, leo ngoja nipate raha/
Na kiunoni nina beto, siogopi wake jamaa/
 
Hey we ni masai unayesalimia kwa kusema yello?, sa kivipi umpe hai demu halafu mfukoni huna hata jelo?/

Mnazingua mjini mshakua kero, na ndio maana kesi ndogo tu mnasekwa sello/
Yeroo suvai apa utakaa..Shiee Tabalai..//
Mwanaume wa Dar..Lowassa mpe ikulu aongoze wamaasai..//
Sikupi chochote nakuona ndezi../
Sugu nampa Mic bungeni awe mchochezi../
Msukuma nyavu avue samaki wa mchuzi..//
 
Panua paja fikra,,Nichomeke mawazo...
Biti nalitoa bikra,,verse zako hazina ujazo..//
😀😀😁

Binti wa kimasai kweli unajua kuchamba, nafurahi kua we si tapeli haujui kudanga/

Wewe sio mbegu wala farasi,,na ninauwezo wa kukupanda, wenye wivu na wanaotughasi ipo siku watasanda/
 
Usijesema unaonewa, maana hujui kutunga/
Kama umefuata hewa, basi we punga/
Na kama kibendi umepewa, mi' siyo mkunga/
Unachopaswa kuelewa, hizi level we chunga/
Umevamia Gheto, na chupi hujavaa/
Wahuni mambo mpeto, niachieni nina njaa/
Kila siku nyeto, leo ngoja nipate raha/
Na kiunoni nina beto, siogopi wake jamaa/
Ukiwa unapambana na hali yako../
Angalia usitingishe hali ya mwenzako..//
Una flow za kichoko..//
Mc fake huna maajabu huwezi battle..//
 
Yeroo suvai apa utakaa..Shiee Tabalai..//
Mwanaume wa Dar..Lowassa mpe ikulu aongoze wamaasai..//
Sikupi chochote nakuona ndezi../
Sugu nampa Mic bungeni awe mchochezi../
Msukuma nyavu avue samaki wa mchuzi..//

Piga mayowe sema yeroo suvaru, mwenzako nimetulia kwenye yellow subaru
 
Back
Top Bottom