Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Ok ok twende pamoja/
naona wengine wanazidi kuleta vioja/
mimi ndo mwenye ngumu kali zisizochuja/njaza moto kama fast charger/
nipo hewani kama pikipiki baja/
Sina mengi wazee asanteni kwa kuja.
Mwanangu Mchumia tumbo/
hii sanaa ina mafumbo/
wengi watakupiga vikumbo/
ila usiwajibu utumbo/ Mvumbo/
 
Me ndo naingiza humu balaa, mpaka mnipe murder case

Flow zangu ni za a million dollar, fake MC's wa JF hamuogopi kuniface

Acha kuwasanda ma mwelaa, moshi wa jani hewani kwa confidence

Hizi ndo stanza usidatee tu na color, watu uzini wanapagawa na hizi verse

Vichwa panzi ombeni ku confess, nawamurder sijali zenu weakness

sio wino ni penseli kwa karatasi, muhuni sihanyi hata kiba akinigasi
Kabla hujaleta balaa, hujui umeingia chaka?/
Mvumbo nina silaha, na nimevaa za Mabaka/
Kwanza chini kaa, kabla sijakupa mashaka/
Na ukisikia paa, ujue tayari imekupata/
Ukinisikia naghani, chunga usinyee kambi/
Mvumbo ni mwembe wa uwani, nyani hatambi/
 
Maneno yako ya busara, hakika jamii umeipa somo/
Ukikaza utakuwa kinara, japo game ni ya Promo/
Zama tena maabara, leta vitu wafunge midomo/
Kukata tamaa ni hasara, najua hujafika kikomo/
maneno ndio kitu gani?/andika yako akili
Ndio nyinyi wa lumumbani /saanane mmemkill
ila bado tupo njiani /safari ndio adhuhuri
Jiwe atumtaki mjengoni/na katiba tutaibadiri
 
Asiyekiri ni kafiri, basi mimi nina kiri/
Wakuu mmekithiri, kwenye tenzi ninyi ni killer/
Kwa jinsi mnavyo flow, Denvers naomba poo/
Sio kwamba nawabeza, Ngoja nigonge meza.
Hizi flow za moto, kama bin unuki/
Zinaweza fanya mtoto, akavua chupi/
Zinaweza fanya Mpoto, akavaa gambuti/
Zinaweza fanya uoto, ukamfuata nyuki/
Madogo wanapima, kama mifupa au minofu/
Hii game ya watu wazima, nakemea kama Askofu/
Mvumbo sicheki na kima, namfanya kipofu/
Kama roho sina, jinsi nisivyo na hofu/
 
maneno ndio kitu gani?/andika yako akili
Ndio nyinyi wa lumumbani /saanane mmemkill
ila bado tupo njiani /safari ndio adhuhuri
Jiwe atumtaki mjengoni/na katiba tutaibadiri
Karibu himayani, nikufunze adabu/
Huwezi kughani, na umechezea sharubu za babu/
Bora ungejificha chumbani, au kuvaa hata nikabu/
Umekuja hadharani, nimepata sababu/
Mi ndio ticha/ nakuficha/ hupati picha/ lazima ulie/
Macho fikicha/ pia licha/ kama mchicha/ peleka kwa mama ntilie/
 
maneno ndio kitu gani?/andika yako akili
Ndio nyinyi wa lumumbani /saanane mmemkill
ila bado tupo njiani /safari ndio adhuhuri
Jiwe atumtaki mjengoni/na katiba tutaibadiri
Napata woga kuichana serikali nisije nikateleza, uhai nilionao naogopa kuupoteza/

Katiba ndio muongozo ila bado inapuuzwa, tumewekewa vikwazo hakuna uhuru wa kujieleza/

Na viapo walikula kuahidi katiba wataitekeleza, sasa wameingia mitini baada ya kuitelekeza/

Swali nyeti ambalo hata wewe waweza kujiuliza, kwanini wasigawe bure vyeti vya kuzaliwa bila kuuza?
 
maneno ndio kitu gani?/andika yako akili
Ndio nyinyi wa lumumbani /saanane mmemkill
ila bado tupo njiani /safari ndio adhuhuri
Jiwe atumtaki mjengoni/na katiba tutaibadiri
Hapa kazi tu sasa imegeuka kua hapa unazi tu, wanyonge wanaumia pesa umebana we unaona safi tu/

Kitambulisho cha mjasiliamali sasa si kitu, hakina kazi wala si mali tena kimeshika na kutu/

Sikufichi Kadi ya mpiga kura nipanga lililo butu, na hakina kazi tena labda ashuke kristu/

Eti Lipia Elfu ishirini upate cheti cha kuzaliwa, wakati mwenzenu naugulia kifua nimekosa buku ya maziwa/

Bila pesa huwezi hudumiwa, na ukikaidi line zako zitafungiwa/

Nashusha pumzi nakulegea kama mkiwa, nawaza hivi haya majaribu yesu aliwahi kujaribiwa?

Serekali kwa hili wananchi tunadhurumiwa, maana hata ukipeleka kadi ya kupiga kura cheti utakataliwa/

Ulisema Elimu bure na tusitoe elfu ishirini ya ada, sasa mbona umezileta kivingine kwa jina la nida?

Kama ada kwao ilikua ni shida, basi suala la line kufungiwa liongezewe muda/
 
Mwandishi na msanii kipi ni kipi,siasa na fasihi bora ipi
Fanani na hadhira chanzo nini,Msata mpaka Chato mbali wapi
 
Kabla hujaleta balaa, hujui umeingia chaka?/
Mvumbo nina silaha, na nimevaa za Mabaka/
Kwanza chini kaa, kabla sijakupa mashaka/
Na ukisikia paa, ujue tayari imekupata/
Ukinisikia naghani, chunga usinyee kambi/
Mvumbo ni mwembe wa uwani, nyani hatambi/
We assasin nigga, ukipotezwa usianze kidenzi kulalamika

Mistari kwenzi ndo naipanga, vitu konki utavipata ondoa mashaka

Toka Long fakes nawakaanga, wachawi wakasanda miiko wakaipa taraka

Mtu mmoja ila kijeshi nishajipanga, nataka kuwapanda kipigo bila jezi mabakabaka

Mvumbo jipange kwa matanga, me ndio idiot ntakufanya kuteseka.
 
Napata woga kuichana serikali nisije nikateleza, uhai nilionao naogopa kuupoteza/

Katiba ndio muongozo ila bado inapuuzwa, tumewekewa vikwazo hakuna uhuru wa kujieleza/

Na viapo walikula kuahidi katiba wataitekeleza, sasa wameingia mitini baada ya kuitelekeza/

Swali nyeti ambalo hata wewe waweza kujiuliza, kwanini wasigawe bure vyeti vya kuzaliwa bila kuuza?
Unaonekana kama wewe ni rapper wa mataga, nawachana mwambieni dingi yenu tumemchoka

Me sio mtumwa wa chama cha mbogamboga, ubabe umetamalaki misingi wanaibaka

Wanachukua chao mapema doo wanazichanga, mitaani hali ngumu watu wanaishi kwa mashaka

Ajira hakuna watoto wamebaki wanadanga, na wanajiona malaika wenye sifa za kutukuka

Cheki sasa kimafungu wanatupanga, huyu Ccm huyu upinzani ubaguzi uliokamilika

Wapinge hadharani ki mbwa koko watakupiga, aliyemdungua tundu bado ni patashika
 
Baada ya pruuuuu mpaka makka,najichenga kwa kulside navyotaka
Na kamvua kananyesha,fasta fasta kitandani najitupa
Kashuka kanameremeta,si unajua upya hakuna kunuka
Usingizi unaniteka,mara paap nastuka niko Jf mistar nashuka.
M16
 
Baada ya pruuuuu mpaka makka,najichenga kwa kulside navyotaka
Na kamvua kananyesha,fasta fasta kitandani najitupa
Kashuka kanameremeta,si unajua upya hakuna kunuka
Usingizi unaniteka,mara paap nastuka niko Jf mistar nashuka.
M16
Asiyehusika na rap akimbie na kama ikibidi atoke, ntazua utata waniamulie kama bifu la ebitoke/
 
wanaojiita great thinker, wamejazana kwenye mada ya mshana wana selfika/

Jf imepoa imefikia kiwango sasa inaboa, mademu wanafikiria kudanga wala hawana hamasa ya ndoa/

Scars nifanye nini kuepusha haya maovu, kama ninao wafundisha wananicheka kwa yangu makovu?

Jf is where we dare to talk openly, msiwe wakosefu punguzeni uhuni na maneno ya kejeri/

Kutoka "mchomoa betri" mpaka kufikia "upepo wa kisulisuli," siachi kufoka ndani ya beti kukemea misemo feki inayoharibu kiswahili/

Nawachana kwa vina ikikuuma vunga, utanifanya nini we kima mi ni simba katika mbuga/
 
Demu unayenidanga na penzi hujanipa, mambo ni kemkem ndo namalizia kunoa panga/
 
Mi mlokole nalindwa na simba wa yuda, ukitaka vidole utavikuta kwenye usajili wa nida/
 
Ukinikuta uso wa kuku basi we chunga/
Ukiongea kama kasuku we punga/
Na ukitaka andika huku we tunga/
Ila kama zumbukuku basi we vunga/
Mimi nanyonga kama pusha/
Hawa watoto nawapeleka leba/
Mistari yangu mizito kama busha/
Wanashangaa ni vipi naibeba/
Saluti hewani kwa makamanda/
Wanaoendeleza huu uzi/
Jeshi daima hakuna kusanda/
Tusonge yaani kama jana na juzi/
Mvumbo sasa napiga parapanda/
Nawaamsha hawa wapuuzi/
Daima nalitawala hili kandanda/
Napiga kimo cha mbuzi/
 
wanaojiita great thinker, wamejazana kwenye mada ya mshana wana selfika/

Jf imepoa imefikia kiwango sasa inaboa, mademu wanafikiria kudanga wala hawana hamasa ya ndoa/

Scars nifanye nini kuepusha haya maovu, kama ninao wafundisha wananicheka kwa yangu makovu?

Jf is where we dare to talk openly, msiwe wakosefu punguzeni uhuni na maneno ya kejeri/

Kutoka "mchomoa betri" mpaka kufikia "upepo wa kisulisuli," siachi kufoka ndani ya beti kukemea misemo feki inayoharibu kiswahili/

Nawachana kwa vina ikikuuma vunga, utanifanya nini we kima mi ni simba katika mbuga/
Tunapaswa kuwatema, misemo yao ya kipuuzi tuu/
Mara baba kasema, mara mji mzito huu/
 
Tunapaswa kuwatema, misemo yao ya kipuuzi tuu/
Mara baba kasema, mara mji mzito huu/

Njoo mmu ucheki mada za wanabodi, stori mpya ni mali ya milion ishirini ipelekwe kwa shamsha ford/
 
Ukinikuta uso wa kuku basi we chunga/
Ukiongea kama kasuku we punga/
Na ukitaka andika huku we tunga/
Ila kama zumbukuku basi we vunga/
Mimi nanyonga kama pusha/
Hawa watoto nawapeleka leba/
Mistari yangu mizito kama busha/
Wanashangaa ni vipi naibeba/
Saluti hewani kwa makamanda/
Wanaoendeleza huu uzi/
Jeshi daima hakuna kusanda/
Tusonge yaani kama jana na juzi/
Mvumbo sasa napiga parapanda/
Nawaamsha hawa wapuuzi/
Daima nalitawala hili kandanda/
Napiga kimo cha mbuzi/
Naskia Mvumbo ni supu. maana una sura ya Mbuzi../
We ni kuku bado kinda sikwangui v*zi../
 
Back
Top Bottom