Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Aliesema bongo bahati mbaya apewe kret la safari maana aliona mbali../Hii nchi bado inaujinga mwingi, vitu bei juu afu eti mama anaupiga mwingi.../
Viongozi wengi bado ni walowezi, kutoka ngazi ya kata hadi wakurugenzi.../
Ni mafisadi kiufupi ni wezi, kodi za wanachi wanazila bure kila ifikapo mwisho wa mwezi.../
Mgao wa umeme naskia umewekewa ratiba, aisee huu uongozi hautufai ebu tupeni katiba.../
Tozo za miamala zimeongezewa riba, uamuzi ni wako kukaa na govi au kumfata ngariba.../
Nchi imepwaya kila sekta, maskini hawana hali wanashindia ugali na kachumbali../
Hakuna michongo wala ajira, vijana wanafilisika kwa kamari/
Rais kapagawa taifa lipo chini ya utawala wa uza madawa../
Tumekubali tuna vuna tulichopanda, ila tayari wingu limetanda 2025 tumejipanga kwa mapigano/