Michano ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke

Michano ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke

Wakuu hebu tujaribu kupeana maujanja ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke make kuna watoto wengine wazinguaje unamfata mpaka mara therathini lakini bado kakaza kamba.
Kwa walio pitia magumu kuwapata watoto mpaka wakalegeza vikwazo tupieni michongo yenu hapa.
Oa kwanza.
 
Tafuta mayai viza sita yakaange na kitunguu saumu na hoho kidogo piga kutwa Mara tatu na chukua zima changanya kwenye mafuta ya nywele upake kila unapoenda kwa demu utakuja kunishukuru
 
Tafuta mayai viza sita yakaange na kitunguu saumu na hoho kidogo piga kutwa Mara tatu na chukua zima changanya kwenye mafuta ya nywele upake kila unapoenda kwa demu utakuja kunishukuru
[emoji23][emoji23]
 
Wakuu hebu tujaribu kupeana maujanja ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke.

Hebu fanya kutafuta choir master ama voice coach....
 
Binti akaweka pozi matata, kibabu akaona huu ni msosi akaja

Binti akamkonyeza kibabu, kibabu akajibu, kibabu akafungua pochi binti akifungua zipu

Binti akavua nguo zake za mwili akideka, akimuacha yule kibabu tajiri akitweta

Hakujali kuitwa malaya hakuona haya kwa maana akili yake iliwaza pesa. akathibitisha kibabu anasumu za kutupa, alikua na mvi kuonesha kua umri ni mkubwa

Akajisemea kibabu anafaa kua baba yangu, ni ajabu kuona anapiga hatua kwa machangu

Akaendelea kuwaza kwamba pengine hana mke, kwamba ndio maana huu utamu anaufata nje

Au mkewe ni mvivu utamu anaupata nusu, akaacha kuwaza baada ya kugundua hayamuhusu

Binti akalikabidhi tunda, ilikua shughuli kamili shahidi kuta

Alijituma kuigiza furaha ilipobidi, aishinde dhiki maana babu alimuahidi bunda

Binti akaweka mashauzi kistaa mpaka, kibabu akaenda round kadhaa hata...vyumba vya jirani wote walishtuka kuskiza babu akitoa sauti za raha

Na sisi mashahidi tulikuwepo, na hii ndio inafanya hii ahadithi iwe spesho...binti aliwaza leo hakukumbuka jana na upeo wake haukumrushusu kuitabiri kesho
Mkuu hii ni michano ya kuwaimbisha ama kutusuta? Ahsante lkn😀
 
Ni kwel pesa ndio kila kitu lkn jaribu pia kuchek muonekano wako girls yoyote ukimwita anachochek first ni appearance yko ulivovaa sura yko simu yko viatu vyako etc kisha akija jaribu kuwa straight on point ukiishiwa mistar weka bridge omba namba akijikologa mwaga upupu sifia akileta ujot mwambie umeona bpra umueleze tu apo apo umempenda we apo ushamalizq kaz yko cheza na feedback
 
Back
Top Bottom