Michano ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke

Oa kwanza.
 
Tafuta mayai viza sita yakaange na kitunguu saumu na hoho kidogo piga kutwa Mara tatu na chukua zima changanya kwenye mafuta ya nywele upake kila unapoenda kwa demu utakuja kunishukuru
 
Tafuta mayai viza sita yakaange na kitunguu saumu na hoho kidogo piga kutwa Mara tatu na chukua zima changanya kwenye mafuta ya nywele upake kila unapoenda kwa demu utakuja kunishukuru
[emoji23][emoji23]
 
Wakuu hebu tujaribu kupeana maujanja ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke.

Hebu fanya kutafuta choir master ama voice coach....
 
Mkuu hii ni michano ya kuwaimbisha ama kutusuta? Ahsante lkn😀
 
Ni kwel pesa ndio kila kitu lkn jaribu pia kuchek muonekano wako girls yoyote ukimwita anachochek first ni appearance yko ulivovaa sura yko simu yko viatu vyako etc kisha akija jaribu kuwa straight on point ukiishiwa mistar weka bridge omba namba akijikologa mwaga upupu sifia akileta ujot mwambie umeona bpra umueleze tu apo apo umempenda we apo ushamalizq kaz yko cheza na feedback
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…