Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri hili jibuHiyo mbegu ya mipapai inachukua muda gani hadi kuanza kuvuna?
Naomba ukija Dar na mimi unileteeBoss tunakutumia kwenye basi kwa uaminifu mkubwa.Lakini pia ninataraji kuja Dar siku za usoni naweza kuja na package yako.Naomba tuwasiliane zaidi
Kipi ni kipindi kizuri kupanda miche ya minazi na mipapai?Karibu sana Morogoro,lakini karibu pia SUA tukuhudumie boss.Tutakuwa bega kwa bega katika kufikia malengo yako.
Asante kwa kuni-appreciate boss. Uko sahihi kabisa muda wa mchana nakuwa kwenye vitalu. Karibu sana nikuhudumie. Ila mimi ni Fe boss wangu.😊Huyu jamaa muda wa mchana anakuwa shambani (kitaluni) Night kali ndio atajibu maswali yenu yote.
Kimsingi yupo vizuri anajielewa.
Hizo zimetuishia boss wangu,ila zilikuwepo(jokes)😃😃Koundou boy aka Nyani Ngabu anatafuta mbegu za chin nuts au chest nuts, mnazo? 😂😂😂