INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Nahitaji miche 780 ya papai, je nitapata kwa bei gani kwa mche?
Na usafiri utagharimu bei gani hadi Kibaha Pwani? Na ni kwa usafiri aina gani?
Na nikihitaji wataalam wenu wa SUA kuja kuiipanda itagharimu bei gani?

Nashukuru kwa kuleta uzi huu. Tujenge Taifa.
 
Boss tunakutumia kwenye basi kwa uaminifu mkubwa.Lakini pia ninataraji kuja Dar siku za usoni naweza kuja na package yako.Naomba tuwasiliane zaidi
Naomba ukija Dar na mimi uniletee
Nahitaji mti wa Peach 2, apple 2, strawberres minne
 
Back
Top Bottom