INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Nahitaji miche 780 ya papai, je nitapata kwa bei gani kwa mche?
Na usafiri utagharimu bei gani hadi kibaha pwani? na ni kwa usafiri aina gani?
Na nikihitaji wataalam wenu wa SUA kuja kuiipanda itagharimu bei gani?

Nashukuru kwa kuleta uzi huu. Tujenge Taifa.
Boss ukinunua miche zaidi ya 50 ya papai unapata punguzo, badala ya sh 3500 unauziwa kwa 2500. Lakini nitakuunganisha na HQ nina amini watakupa punguzo kubwa zaidi.

Kuhusu usafiri tunasafirisha kwa njia ya mabasi. Na kwa Kibaha gharama za usafiri ni sh 10000(elfu 10).

Kuhusu watalaamu kuja kufanya layout na kukupandia miche shambani kwako, huduma hii ipo boss, gharama yake ni kuanzia sh 300,000(laki 3) .

Kwa maelezo zaidi naomba tuwasiliane, niko available 24/7. Karibu sana boss.
 
Boss ukinunua miche zaidi ya 50 ya papai unapata punguzo,badala ya sh 3500 unauziwa kwa 2500.Lakini nitakuunganisha na HQ nina amini watakupa punguzo kubwa zaidi.

Kuhusu usafiri tunasafirisha kwa njia ya mabasi.Na kwa Kibaha gharama za usafiri ni sh 10000(elfu 10).

Kuhusu watalaamu kuja kufanya layout na kukupandia miche shambani kwako,huduma hii ipo boss,gharama yake ni kuanzia sh 300,000(laki 3) .

Kwa maelezo zaidi naomba tuwasiliane,niko available 24/7.Karibu sana boss.
Sawa kiongozi, hebu waulize uniunganishe tafadhali. Maana wakinipa punguzo la hiyo Miche 784 nitakuja haraka na canter kununua maana haitatosha kwenye Basi la abiria. Nakupa big up kwa kutupa fursa namna hizi, usichoke kutoa maelezo..
 
Nyongeza:

Ukwaju 2000/=
Balungi 2000/=
Embe(Alphonso,Kent,Tomyy,Dodo,red indian)@ 2000/
Apple 2000/=
Seedless oranges(Zimetuishia kwasasa ila tunapandikiza nyingine ) bei 2000/=

Karibuni na asante kwa wote wanaendelea kutuamini katika kuwapatia huduma nzuri.
 
Sawa kiongozi, hebu waulize uniunganishe tafadhali. Maana wakinipa punguzo la hiyo Miche 784 nitakuja haraka na canter kununua maana haitatosha kwenye Basi la abiria. Nakupa big up kwa kutupa fursa namna hizi, usichoke kutoa maelezo..
0719527062. Namba yangu naomba tuwasiliane ili nikuunganishe na mkuu. Karibu sana
 
Sawa kiongozi, hebu waulize uniunganishe tafadhali. Maana wakinipa punguzo la hiyo Miche 784 nitakuja haraka na canter kununua maana haitatosha kwenye Basi la abiria. Nakupa big up kwa kutupa fursa namna hizi, usichoke kutoa maelezo..
Asante boss kwa kutuapreciate.
 
Shukrani nyingi kwa members wanaondelea kutuamini na kupata huduma kwetu, Karibuni sana.
 
20200902_120921.jpg
Cocoa
 
Naomba kujua aina ya hiyo miche ya mipapai mliyonayo, iliyo common ninayoijua ni Carina na Malkia.
 
Back
Top Bottom