Apple hustawi kwenye mikoa yenye joto la wastani,mvua ya kutosha,ardhi yenye rutuba ya kutosha.Apple zinastawi zaidi na kutoa matunda mazuri kwa ardhi ya aina gani mkuu, na pia mikoa ipi inafaa kupanda Apple
Sipendi ligi, sitakanyaga tena kwenye huu uziKwanza ,mkuu hili sio jibu la kumpa mteja,kuna lugha ya kumjibu mteja hata kama kitu anachotaka kununua kwako hakitaleta matokea aliyotarajia,Rejea comments zangu za nyuma utaelewa nini nina maanisha.
Pili,Kati ya mikoa ambayo nina wateja wengi wa parachichi ni Dar(Hass ni moja wapo),umeprove vipi kama kweli hao rafiki zako parachichi zao zimeshindwa kustawi sababu ya hali ya hewa.Zipo sababu nyingi ambazo zinasababisha mche/miche kushindwa kuleta matokea mazuri.
Tatu,naomba mkuu unipe nafasi kwenye huu uzi wangu.
Comment yake imenikatisha tamaa. Naomba wiki ijayo nitumie miche mi3 ya varieties tofauti tofauti za parachichi.Kwanza ,mkuu hili sio jibu la kumpa mteja,kuna lugha ya kumjibu mteja hata kama kitu anachotaka kununua kwako hakitaleta matokea aliyotarajia,Rejea comments zangu za nyuma utaelewa nini nina maanisha.
Pili,Kati ya mikoa ambayo nina wateja wengi wa parachichi ni Dar(Hass ni moja wapo),umeprove vipi kama kweli hao rafiki zako parachichi zao zimeshindwa kustawi sababu ya hali ya hewa.Zipo sababu nyingi ambazo zinasababisha mche/miche kushindwa kuleta matokea mazuri.
Tatu,naomba mkuu unipe nafasi kwenye huu uzi wangu.
Usikate tamaa boss,nilianza kuona mwenda anaokwenda nao sio rafiki.Comment yake imenikatisha tamaa. Naomba wiki ijayo nitumie miche mi3 ya varieties tofauti tofauti za parachichi.
Sawa, pia unakumbuka order yangu ya apple? Au moro haiwezekani kupatikana.Usikate tamaa boss,nilianza kuona mwenda anaokwenda nao sio rafiki.
Kuhusu odder yako ya next week,hakuna shida.Ukiwa tayari utanijulisha ili nikutumie.
Asante kwa kuendelea kuniamini katika kukuhudumia na kupata kilicho bora.
Basi utaniunganishia na hizo parachichi. Nitumie invoice [emoji1649] 3 hass moja na varieties nyingine na apple [emoji519] 4Apple zipo mkuu
sawa,kuhusu apple nitakuunganisha na Agent wetu yuko Dar,yeye ana apple pia.Nadhani nitakuwa nimekurahisishia zaidiBasi utaniunganishia na hizo parachichi. Nitumie invoice [emoji1649] 3 hass moja na varieties nyingine na apple [emoji519] 4
Safi sana yaani hapo Monday tu naendaana kitalu cha apple.Nakutumia namba yake akupe direction
Mkuu dawa gani ya kuzuia majani kujikunyata kwenye mche?1.Dawa ambayo tumekuwa tukiwashauri wateja wetu waitumie kuboost na kuua wadudu inaitwa FARM GUARD,na wamekuwa wakitupa feedback kuwa inafanya vizuri.Lakini pia zipo dawa ambazo pia mkulima anapaswa kuzipiga kwenye miche ili kuondoa ukungu ,ukungu hujitokeza kipindi cha mvua nyingi.
Changamoto hii husababishwa na wadudu ambayo wanafyonza utomvu wa mche.Na hawa wadudu wanauwezo wa kuhama kutoka mche mmoja kwenda mwingine.Hivyo hatua ya kwanzaMkuu dawa gani ya kuzuia majani kujikunyata kwenye mche?
Kwa bahati mbaya Arusha hatuna agent.Lakini ukifika wakati unahitaji msaada,utanitafuta ili nikuunganishe na mtaalamu wa mbogamboga.Nina amini atakusaidia hatua kwa hatua hata kama mtakuwa mikoa tofauti.Mna Agent/partners Arusha reliable,atakaeweza kunishauri na kunisimamia kwa karibu kwa Mimi ninayeanza bustani ya mbogamboga na matunda?
"Be Humble"
Hali ya hewa ya Manyoni(Singida) haina tofauti sana na Dom.Dada wilaya ya manyoni hapa nishauri aina ya matunda yanayoweza stawi fresh kutokana na hali ya hewa ya hapa