INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Na budding ni nini?
 
Mie natamani ungekuwa dar, ukatembelea shambani kwangu, ulione ndio mengine yasogee.

Shamba lipo mkuranga(lubambawe.)
Huduma ya kutembelewa shambani ipo,na huwa inaambatana na kufanyiwa layout pamoja na kupandiwa miche na team yetu.
Huduma hii ina malipo kama utaihitaji nitakuunganisha na kiongozi wa team akupe muongozo
 
Na budding ni nini?
Ni kitendo cha kupandikiza sehemu ya mche mmoja kwenye mche mwingine(Yote iwe ya jamii moja)
Sijui kama nimekupa maelezo ya kukutosheleza mkuu.
jaribu google pia unaweza pata maelezo na picha
 
Na budding ni nini?
Ni kitendo cha kupandikiza sehemu ya mche mmoja kwenye mche mwingine(Yote iwe ya jamii moja)
Sijui kama nimekupa maelezo ya kukutosheleza mkuu.
jaribu google pia unaweza pata maelezo na picha
 
Kila siku nitatoa kwa uchache maelezo muhimu ya awali ya miche yetu ya matunda inayopatikana kwenye bustani yetu iliyopo ndani ya chuo kikuu cha kilimo SUA

Karibuni,Lily loves you all[emoji7]
Kasoro mimi tu.. Usinilavu pliizii[emoji23]
 
Haina ukomo wa kuzaa?
 
Nimesoma uzi woote, nimeng'amua changamoto moja,
Kuna watu waliwahi kununua miche(sio kwako) na haijaleta matokeo(mavuno)

Je nyinyi sasa mnatusaidia vipi wateja wenu likitokea suala kama hilo?

Maana kununua miche ya miembe/mipapai ya heka 3-10 halafu zote zikafeli mie si nitakufa kwa kihoro. [emoji854]
 
Huduma ya kutembelewa shambani ipo,na huwa inaambatana na kufanyiwa layout pamoja na kupandiwa miche na team yetu.
Huduma hii ina malipo kama utaihitaji nitakuunganisha na kiongozi wa team akupe muongozo
Gharama ni kiasi gani?
 
Ni kitendo cha kupandikiza sehemu ya mche mmoja kwenye mche mwingine(Yote iwe ya jamii moja)
Sijui kama nimekupa maelezo ya kukutosheleza mkuu.
jaribu google pia unaweza pata maelezo na picha
Miche yote ni ya kiasili ama ya kisasa?
 
Niko Krt nahitaji ila naomba kujua kama miche ypte hii inastawi karatu

Kama ndivyo miche inayofaa huko ni
parachichi,Makadamia,Passion,komamanga,papai,embe,stafeli,fenesi etc
 
Nina eno langu 2000 sqm nataka niwe na kila mche uliotaja na bado niwe na sehemu ya kahawa ba jussi Joe unaweza e kunifanyia upembui yakinifu na mpangilio Niko Tegeta
Tuna aina tofauti tofauti 45 za miche na kila siku tunaongeza aina mpya kulingana na upatikanaji wa mbegu.
Nadhani ungekuwa specific utahitaji miche aina gani ,tuanzie hapo
 
Hizi za kienyeji(bolibo na dodo) zinachukua muda gani kuzaa..

Hizi za kisasa zinakoma muda gani kuzaa(kusimama kutoa mazao) nimesikia baada ya muda fulani haizai tena.
 
Hizi za kienyeji(bolibo na dodo) zinachukua muda gani kuzaa..

Hizi za kisasa zinakoma muda gani kuzaa(kusimama kutoa mazao) nimesikia baada ya muda fulani haizai tena.
bolibo na dodo baada ya miaka 3
Kinachotokea ni kuwa baada ya miaka kadhaa mche utaanza kupunguza rate ya kutoa matunda.Hapo inabidi mkulima/mmiliki ufanye prunning,weka mbolea,mwagilia maji ya kutosha,baada ya hapo mti wako utaanza kutoa matawi kwa upya na matunda .Ukifika Horticulture utaweza kuona sample ya mti ambayo imefanyiwa prunning na kuanza kuzaa tena baada ya muda.

Lakini pia hakuna mche wa ambao utazaa milele mkuu,lazima utafika umri mti utachoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…